Siyo utofauti wa majina na maanisha uingiliano kimitaala na mipangilio ya course.....ODL inamaana online and distance learning
Naomba kuuliza je inawezekana nimesoma chuo fulani mfano udom nikaishia mwaka wa pili nikahamia Open University na nikaendelea nilipoishia?Heee mbona mnahangaika sana kutafuta wanafunzi
Ndio unaendelea ulipoishia kwa kufuata hatua zote za kuhamisha kozi zako yaani credits transfer.Naomba kuuliza je inawezekana nimesoma chuo fulani mfano udom nikaishia mwaka wa pili nikahamia Open University na nikaendelea nilipoishia?
Chuo kitampa usaidizi wote unaohitajika.Ukishajiunga Open,
Chuo kinamsurpot namna gani mwanachuo?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Website ipo katika maboresho katika mfumo wa DNS, muda si mrefu itakuwa sawa.Kulikoni website ya open university haifunguki
Nahitaji WhatsApp group link ya open university kama una acces nayo au niadiwe boss. Haswa ilalaWebsite ipo katika maboresho katika mfumo wa DNS, muda si mrefu itakuwa sawa.
Habari za Leo mkuu,naomba kuuliza Kwa tulifanya mitihani mwezi wa pili mwaka huu Kwa makadirio matokeo yetu yanaweza kutoka lini ? maana hatuelewi kabisaUdahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ingia kwenye saris ucheki matokeo yakoHabari za Leo mkuu,naomba kuuliza Kwa tulifanya mitihani mwezi wa pili mwaka huu Kwa makadirio matokeo yetu yanaweza kutoka lini ? maana hatuelewi kabisa
Mkuu samahani sana nimejisajili ili nichukue bachelor lakin sijapata username wala password kila nikimaliza kipengele cha awali nikibonyeza next naambiwa niingize username na password wakati huo sijatumiwa nimejaribu kuangalia kwenye email lakin hakuna naomba msaada tafadhali kwa anaejua ili niweze kusonga mbeleUdahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
+255 755 858 265wasiliana moja kwa moja na mtoa huduma. OUTMkuu samahani sana nimejisajili ili nichukue bachelor lakin sijapata username wala password kila nikimaliza kipengele cha awali nikibonyeza next naambiwa niingize username na password wakati huo sijatumiwa nimejaribu kuangalia kwenye email lakin hakuna naomba msaada tafadhali kwa anaejua ili niweze kusonga mbele
pole jaribu kuingia katika Website ya OUT - admission panel na uwapigie simu kwa usaidizi zaidiMkuu samahani sana nimejisajili ili nichukue bachelor lakin sijapata username wala password kila nikimaliza kipengele cha awali nikibonyeza next naambiwa niingize username na password wakati huo sijatumiwa nimejaribu kuangalia kwenye email lakin hakuna naomba msaada tafadhali kwa anaejua ili niweze kusonga mbele
Mkuu samahani sana nimejisajili ili nichukue bachelor lakin sijapata username wala password kila nikimaliza kipengele cha awali nikibonyeza next naambiwa niingize username na password wakati huo sijatumiwa nimejaribu kuangalia kwenye email lakin hakuna naomba msaada tafadhali kwa anaejua ili niweze kusonga mbeleUdahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuupole jaribu kuingia katika Website ya OUT - admission panel na uwapigie simu kwa usaidizi zaidi
Asante nimefanikiwa barikiwa sana mkuu+255 755 858 265wasiliana moja kwa moja na mtoa huduma. OUT