Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

ODL inamaana online and distance learning
Siyo utofauti wa majina na maanisha uingiliano kimitaala na mipangilio ya course.....

maana niliwacheki OUT wakawa na malingo yaani mtu anaelezea kama vile kalazimishwa na ni ajira yake,

Yaani mwanaume anaringa, dadeki nikachukulia kama nilienda touring
 
Heee mbona mnahangaika sana kutafuta wanafunzi
Naomba kuuliza je inawezekana nimesoma chuo fulani mfano udom nikaishia mwaka wa pili nikahamia Open University na nikaendelea nilipoishia?
 
Naomba kuuliza je inawezekana nimesoma chuo fulani mfano udom nikaishia mwaka wa pili nikahamia Open University na nikaendelea nilipoishia?
Ndio unaendelea ulipoishia kwa kufuata hatua zote za kuhamisha kozi zako yaani credits transfer.
 
Bac in food nutrition and dietetics na Bsc environmental ipi ukisoma uka recategorize utakuwa umeupiga mwingi?
 
WALE WANAFUNZI WA LIFE SCIENCE KUANZIA FOUNDATION COURSE WANAOSOMA BIOLOGY, WANAOSOMA DEGREE ZA NUTRITION, ZOOLOGY,BOTANY COURSES NIONE PM KAMA KUNA COURSES ZINAKUSUMBUA TUTAYAJENGA

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za Leo mkuu,naomba kuuliza Kwa tulifanya mitihani mwezi wa pili mwaka huu Kwa makadirio matokeo yetu yanaweza kutoka lini ? maana hatuelewi kabisa
 
NAOMBA OUT WAONGEZE KOZI ZA MASTER KWA UPANDE WA ICT,master of cyber security,block c
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu samahani sana nimejisajili ili nichukue bachelor lakin sijapata username wala password kila nikimaliza kipengele cha awali nikibonyeza next naambiwa niingize username na password wakati huo sijatumiwa nimejaribu kuangalia kwenye email lakin hakuna naomba msaada tafadhali kwa anaejua ili niweze kusonga mbele
 
Mkuu samahani sana nimejisajili ili nichukue bachelor lakin sijapata username wala password kila nikimaliza kipengele cha awali nikibonyeza next naambiwa niingize username na password wakati huo sijatumiwa nimejaribu kuangalia kwenye email lakin hakuna naomba msaada tafadhali kwa anaejua ili niweze kusonga mbele
+255 755 858 265wasiliana moja kwa moja na mtoa huduma. OUT
 
Mkuu samahani sana nimejisajili ili nichukue bachelor lakin sijapata username wala password kila nikimaliza kipengele cha awali nikibonyeza next naambiwa niingize username na password wakati huo sijatumiwa nimejaribu kuangalia kwenye email lakin hakuna naomba msaada tafadhali kwa anaejua ili niweze kusonga mbele
pole jaribu kuingia katika Website ya OUT - admission panel na uwapigie simu kwa usaidizi zaidi
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu samahani sana nimejisajili ili nichukue bachelor lakin sijapata username wala password kila nikimaliza kipengele cha awali nikibonyeza next naambiwa niingize username na password wakati huo sijatumiwa nimejaribu kuangalia kwenye email lakin hakuna naomba msaada tafadhali kwa anaejua ili niweze kusonga mbele
pole jaribu kuingia katika Website ya OUT - admission panel na uwapigie simu kwa usaidizi zaidi
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom