Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimeshatoka Ila application zinaendeleaSelection za Masters lini??!
Sheria unasoma minimum three academic years.Naomba kujua shahada ya kwanza sheria ni shiling ngapi kwa mwaka, inasomwa kwa muda gani, kila mwaka unasoma kozi ngapi na ni zipi
Sheria unasoma minimum three academic years.Naomba kujua shahada ya kwanza sheria ni shiling ngapi kwa mwaka, inasomwa kwa muda gani, kila mwaka unasoma kozi ngapi na ni zipi
Sheria unasoma minimum three academic years.Naomba kujua shahada ya kwanza sheria ni shiling ngapi kwa mwaka, inasomwa kwa muda gani, kila mwaka unasoma kozi ngapi na ni zipi
Haipungui 850,000 Kwa mwakaKusoma library& information management gharama zake ni kiasi Gani?
Username na password za sehemu gani hasaKiongozi mm nashindwaa ku log in kilaa nkijaribu kuweka password ya kubahatisha nilshasahau nashindwaa na hkn option nyingin
Mathematics unapaswa kuwa na ufauluNina certificate ya education . Nataka diploma ya IT. itakubalika?
Unaweza kuanza level ya certificateNahitaji computer science ila nipa form 4 na Ni mwal pri. Naweza anzia diplom?
RPL ilisitishwa Kwa mudaMkuu selection ya kusoma RPL inatoka lin nimeomba toka mwez wa kumi?
Check kwenye list niliyoattach hapo chiniKuna kozi gani mpya mmeongeza mwaka huu za postgraduate?
#MaendeleoHayanaChama
Asante kiongozi vp khs wigo wa ajira katika hyo faniHaipungui 850,000 Kwa mwaka
Zinahitajika credit ngapi za o level Ili kuisoma hyo kozi?Haipungui 850,000 Kwa mwaka
RPL ilisitishwa Kwa muda
Bado hayajatolewa maelekezo