Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Kozi za sheria zote hazina descriptions za fee+cordinators
Fee kwa Open university hailipwi kwa mwaka, inalipwa kwa unit.
Certificate na Diploma- unit Moja ni 40,000
Bachelor- unit Moja 60,000
Masters- unit Moja 180,000

Inategemea
umesajili Kozi ngapi kuzisoma kwa mwaka husika wa masomo.
Kusajili Kozi inategemea na uwezo wako wa kulipia na kuzisoma.
 
Hivi kwa MTU mwenye vyeti vya nje hapo anaapply vipi maana nimeelekezwa inahitajika AVN,ambayo Kama unaingiza details zako kwa vyeti vya nje unakuta havipo kwenye database...kwa hapo mnasaidiaje
 
Hivi kwa MTU mwenye vyeti vya nje hapo anaapply vipi maana nimeelekezwa inahitajika AVN,ambayo Kama unaingiza details zako kwa vyeti vya nje unakuta havipo kwenye database...kwa hapo mnasaidiaje
Peleka kwanza vyeti vyako NACTE ili vikawe verified kwanza then omba
 
Sa
Inawezekana chief, na ndio watu wanavyofanya
samahani naomba kuuliza tena hivi mtu anaweza kuajirika kama nta level 6 wa diploma kama akitokea nta level 5 akaishia foundation certificate yaan namaanisha nta level 6= nta level 5 +foundation? Mifumo hii inakaaje hapo wadau karibu
 
Sa

samahani naomba kuuliza tena hivi mtu anaweza kuajirika kama nta level 6 wa diploma kama akitokea nta level 5 akaishia foundation certificate yaan namaanisha nta level 6= nta level 5 +foundation? Mifumo hii inakaaje hapo wadau karibu
Foundation ni NTA level 6 inakupa sifa ya kuendelea kusoma degree.
 
Nilitaka kuapply chuo fulani, nikaanza kujisajili sasa nikapata changamoto siku 4 nikashindwa kulipa application fee

Je , itakuwaje ?
Siwezi apply tena ? Hata chuo kingine ?
 
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mna PhD ya Mathematics?
 
Back
Top Bottom