Uliza chochote kuhusu mkoa wa Kagera, nitajibu kila swali

Uliza chochote kuhusu mkoa wa Kagera, nitajibu kila swali

Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
  • Uchumi
  • Wakazi na Makazi
  • Historia
  • Makabila
  • Fursa za Uchumi
  • Hali ya hewa
  • Mahusiano n.k
Nitajibu kila swali leo

Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
  • Bukoba manispaa
  • Karagwe
  • Ngara
  • Biharamlo
  • Muleba
  • Kyerwa
  • Misenyi
  • Bukoba vijijini
1.Vipi fursa za huko kibiashara kama unataka anza kidogo let say mil 10?

2.Vipi wanawake wa huko ni waaminifu?kuna wanawake wa ngara naona wazuri ni waangaza kama sikosei? nataka nitembelee huko
 
Maji yapo ya kutosha
Tuna Ziwa Victoria, na baadhi ya maziwa madogo kama ziwa Burugi
Kuna mto Kagera, na mito mingine kama vile mto Ruvuvu wa Ngara na Rusumo

Umasikini wa Kagera umesababishwa na Serikali
Kutokujenga miundo mbinu kama airport, stend za mabasi,
Kutopeleka huduma za jamii kama maji na umeme
Kwambi mikoa mingine ipo tajir kwasababu miundo mbinu ipo poa
 
Maji yapo ya kutosha
Tuna Ziwa Victoria, na baadhi ya maziwa madogo kama ziwa Burugi
Kuna mto Kagera, na mito mingine kama vile mto Ruvuvu wa Ngara na Rusumo

Umasikini wa Kagera umesababishwa na Serikali
Kutokujenga miundo mbinu kama airport, stend za mabasi,
Kutopeleka huduma za jamii kama maji na umeme
Moja ujalijibu.
 
Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
  • Uchumi
  • Wakazi na Makazi
  • Historia
  • Makabila
  • Fursa za Uchumi
  • Hali ya hewa
  • Mahusiano n.k
Nitajibu kila swali leo

Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
  • Bukoba manispaa
  • Karagwe
  • Ngara
  • Biharamlo
  • Muleba
  • Kyerwa
  • Misenyi
  • Bukoba vijijini
Ni wilaya gani inaongoza kwa kuwa na Watu mashuhuri wengi ikijumuisha na wasomi wabobevu excluding PhD za heshima!
 
Ni wilaya gani inaongoza kwa kuwa na Watu mashuhuri wengi ikijumuisha na wasomi wabobevu excluding PhD za heshima!
Karagwe imepata kutoa mtu mwenye cheo cha Sir
Cheo cha Sir anatoa Malkia au Mfalme wa uingereza
Sir George Kuhama
 
Back
Top Bottom