zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Mmejaa mimaji kwa njia ile mimaji lundoNenda ukayanywe,upate majibu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmejaa mimaji kwa njia ile mimaji lundoNenda ukayanywe,upate majibu!
Pumbavu ndio umeona bonge la tusi wewe kikumakidogoNenda kayanywe sasa,pumbavu!
1.Vipi fursa za huko kibiashara kama unataka anza kidogo let say mil 10?Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Nitajibu kila swali leo
- Uchumi
- Wakazi na Makazi
- Historia
- Makabila
- Fursa za Uchumi
- Hali ya hewa
- Mahusiano n.k
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
- Bukoba manispaa
- Karagwe
- Ngara
- Biharamlo
- Muleba
- Kyerwa
- Misenyi
- Bukoba vijijini
Kwambi mikoa mingine ipo tajir kwasababu miundo mbinu ipo poaMaji yapo ya kutosha
Tuna Ziwa Victoria, na baadhi ya maziwa madogo kama ziwa Burugi
Kuna mto Kagera, na mito mingine kama vile mto Ruvuvu wa Ngara na Rusumo
Umasikini wa Kagera umesababishwa na Serikali
Kutokujenga miundo mbinu kama airport, stend za mabasi,
Kutopeleka huduma za jamii kama maji na umeme
Umenikumbusha mwalimu tumwesige jamaa ni mbabe/ mtata mtata..Sio biharamlo
Ni biharamulo
Moja ujalijibu.Maji yapo ya kutosha
Tuna Ziwa Victoria, na baadhi ya maziwa madogo kama ziwa Burugi
Kuna mto Kagera, na mito mingine kama vile mto Ruvuvu wa Ngara na Rusumo
Umasikini wa Kagera umesababishwa na Serikali
Kutokujenga miundo mbinu kama airport, stend za mabasi,
Kutopeleka huduma za jamii kama maji na umeme
hahahaa wa wapi huyoUmenikumbusha mwalimu tumwesige jamaa ni mbabe/ mtata mtata..
Ni wilaya gani inaongoza kwa kuwa na Watu mashuhuri wengi ikijumuisha na wasomi wabobevu excluding PhD za heshima!Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Nitajibu kila swali leo
- Uchumi
- Wakazi na Makazi
- Historia
- Makabila
- Fursa za Uchumi
- Hali ya hewa
- Mahusiano n.k
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
- Bukoba manispaa
- Karagwe
- Ngara
- Biharamlo
- Muleba
- Kyerwa
- Misenyi
- Bukoba vijijini
Bukoba hapo kagemu secondary school.hahahaa wa wapi huyo
mkuu hili jina la TUMWESIGE ninalotumia ni la mwananguBukoba hapo kagemu secondary school.