Uliza chochote kuhusu mkoa wa Kagera, nitajibu kila swali

Uliza chochote kuhusu mkoa wa Kagera, nitajibu kila swali

Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
  • Uchumi
  • Wakazi na Makazi
  • Historia
  • Makabila
  • Fursa za Uchumi
  • Hali ya hewa
  • Mahusiano n.k
Nitajibu kila swali leo

Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
  • Bukoba manispaa
  • Karagwe
  • Ngara
  • Biharamlo
  • Muleba
  • Kyerwa
  • Misenyi
  • Bukoba vijijini
Kageera senene wanapaatikanaa?
 
Hakuna anayewalazimsha muwe wahaya ila dunia na nchi nzima inajua bukoba kuna kabila moja tu wahaya. Japo ni kweli msubi na muhangaza hawa wanawakosea sabab hata ongea yao hatuwezi kuelewana ila wanyambo wanakuwaga wabishi bure sababu tafauti yao ni matamshi tu muhaya atasema Kya ila mnyambo atasema Cha mfn muhaya enasema ekyawe. Mnyambo atasema echawe.
Umemaliza 100%✓
 
Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
  • Uchumi
  • Wakazi na Makazi
  • Historia
  • Makabila
  • Fursa za Uchumi
  • Hali ya hewa
  • Mahusiano n.k
Nitajibu kila swali leo

Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
  • Bukoba manispaa
  • Karagwe
  • Ngara
  • Biharamlo
  • Muleba
  • Kyerwa
  • Misenyi
  • Bukoba vijijini
KASIBANTE FM radio station ni ya KAGASHEKI?!
 
Guest za huko bukoba Wana mtindo wa kutandika ma nailoni kwenye magodoro hii ni kwanini nimeliona huko pekee na no elsewhere in TZ.
 
Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
  • Uchumi
  • Wakazi na Makazi
  • Historia
  • Makabila
  • Fursa za Uchumi
  • Hali ya hewa
  • Mahusiano n.k
Nitajibu kila swali leo

Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
  • Bukoba manispaa
  • Karagwe
  • Ngara
  • Biharamlo
  • Muleba
  • Kyerwa
  • Misenyi
  • Bukoba vijijini
Je ni kwanini mkoa wa Kagera uko nyuma sana kimaendeleo?nafasi ya pili toka mwisho nini tatizo?huku wasifika kuwa na wasomi wengi!,,na Kama ni kweli nini suluhisho?
 
Naomba kufahamu hotel nzuri (namba moja kwa uzuri, huduma) iliyopo Bukoba Mjini. Ninaomba na mawasiliano yao.
 
Je ni kwanini mkoa wa Kagera uko nyuma sana kimaendeleo?nafasi ya pili toka mwisho nini tatizo?huku wasifika kuwa na wasomi wengi!,,na Kama ni kweli nini suluhisho?
Tatizo la mkoa wa Kagera ni serikali kuutelekeza mkoa wetu
Hawaweki miundo mbinu kama barabara, bus stend nzuri, madaraja, meli n.k

Huduma duni za jamii kama shule, hospital n.k
Sisi Kagera sijui tuliwakosea Nini serikali yetu jamani
 
Tatizo la mkoa wa Kagera ni serikali kuutelekeza mkoa wetu
Hawaweki miundo mbinu kama barabara, bus stend nzuri, madaraja, meli n.k

Huduma duni za jamii kama shule, hospital n.k
Sisi Kagera sijui tuliwakosea Nini serikali yetu jamani
Uenda ikawa ivyo,lkn mi sometime ata wenyeji hawayataki maendeleo,mfano kuna kipindi soko la kisasa lilitaka kujengwa na serikali,lkn baadhi ya watu (wafanyabiashara na wanasiasa)wakatia fitina na majungu hadi soko likahamishiwa mkoa mwingine,you can imagine,nk nk.labda awamu hii naona Kuna miradi inaendelea Kama barabara bukoba mjini,stand hapo town,na soko nasikia liko mbioni,ngoja tuone.lkn
 
Mmmmmm!!! Wanyaiyangilo na waganda kyaka ni makabila!! Tango pori hili.
Hakuna mwanamke anakosa maji, akikutana na mtaalam laZima maji atamwaga

Makabila makubwa Kagera ni
Wahaya
Wanyambo
Wasubi
Washubi
Wanyaiyangiro
Waganda kyaka
Wahangaza n.
 
Back
Top Bottom