Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Tunawakaribisha wote kuuliza chochote kuhusu Buddha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Qur'an inathibitisha kwamba Uislamu ni dini kwa watu wote, bila kujali kabila, rangi, au utaifa. Miongoni mwa aya zinazosisitiza jambo hili ni:Tunawakaribisha wote kuuliza chochote kuhusu Buddha
Sasa mbona hapa unatumia dini nyingine kumuongelea huyo budha, yeye hana maelezo ya kujitosheleza mpaka uhusie kina Mohammed na Yesu??Buddha alikuwa mwanadamu wa kawaida.
Isipokuwa kuna kitu kinaitwa "transmigration", roho kuingia katika mwili mwingine.
Katika dini ya Kikristu Yesu alibatizwa katika mto Jordan halafu roho ikatua huu yake kama njiwa.
Mwili wa Yesu ulichukuliwa na toho ya Kristu.
Kwa hiyo Buddha alikuwa ana akili zaidi ya binadamu wa kawaida.
Pia Nabii Muhammad hakuwa binadamu wa kawaida.
Au Shakespeare alikuwa mkulima maskini,aliwezaje kuandika hadithi zake?
Na pia hapa tumemtaja Shakespeare, tukumbuke Shakespeare alikuwa msomi lakini alikuwa mtiifu kwa Serikali,kwa hiyo kuwa msomi siyo maana yake kuiponda Serikali.
Sijakuelewa,Yesu,Shakespeare na Mohamed wanaingiaje hapa?Buddha alikuwa mwanadamu wa kawaida.
Isipokuwa kuna kitu kinaitwa "transmigration", roho kuingia katika mwili mwingine.
Katika dini ya Kikristu Yesu alibatizwa katika mto Jordan halafu roho ikatua huu yake kama njiwa.
Mwili wa Yesu ulichukuliwa na toho ya Kristu.
Kwa hiyo Buddha alikuwa ana akili zaidi ya binadamu wa kawaida.
Pia Nabii Muhammad hakuwa binadamu wa kawaida.
Au Shakespeare alikuwa mkulima maskini,aliwezaje kuandika hadithi zake?
Na pia hapa tumemtaja Shakespeare, tukumbuke Shakespeare alikuwa msomi lakini alikuwa mtiifu kwa Serikali,kwa hiyo kuwa msomi siyo maana yake kuiponda Serikali.
Je, Buddhism ni dini?Tunawakaribisha wote kuuliza chochote kuhusu Buddha