Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Kutokana na maelezo yako hata mtu akikueleza hutaelewa kwani umeisha jipanga katika mtazamo fulani dhidi ya rwanda,hebu nikupe kidogo France ndio waliandaa genocide ya watutsi wakishirikiana na serikali ya habyarimana eti wakilinda kifaransa dhidi ya watusi wanao ongea kiingereza waliotokea uganda,hivi rwanda inataka kuwashitaki na france haitaki kuona ina aibishwa na kainchi kadogo ka afrika,rwanda ilikua imeanza kua na influence ndani ya congo kiasi kwamba ilikua ikiingia na kuwinda FDLR vibaraka wa wafaransa,sasa ndio france inatumia mwanya wa UN kufikia malengo yake.

Sidhani...hizi sababu haziwezi hata siku moja kujustify nchi kama ufaransa kuyafanya hayo unayoyasema...too minor issues.......Ishu ya msingi hapa ambayo inabidi tu uikubali ni kwamba M23 imetumiwa na PK kama force inside DRC Congo ili kuzuia FDLR isikue ....pia M23 inatumiwa na PK kuiba madini ya Congo.......Kelele za UN kwa Rwanda kufadhili makundi ya waasi huko Congo ni za mda mrefu kabla hata Ufaransa hajachukua uongozi wa Security Council...............Yaani wewe kweli unasema dunia nzima .....security Council ya dunia nzima hawana macho....wanabebwa tu na Ufaransa bila kuhoji....kwamba Rwanda haina hata marafiki wa kuwatetea huko...Come on friend.....Ongeeni na FDLR Kikwete aliwaambia mkaishia kumtukana...kaamua kunyamaza Prezidaa wetu
 
Sasa kwa taarifa yako FDLR wamo ndani ya FRDC na juzi juzi kunajamaa wa FDLR alikamatwa na majasusi wa rwanda kigoma akiwa ametoka kuonana na viongozi wa kijeshi wa tz,UN ndio ilikua ikiuzia silaha FDLR mpaka sasa kwa kubadilishana na zahabu,Kumbuka france ndio wali create FDLR ili kuishambulia rwanda na France kwa sasa ndiye anayeongoza hiyo department ya usalama ya UN,na agenda yao nikuwatumia kupambana na m23 ambayo inaonekana geti ya kuingia rwanda,na baada ya kuiondoa m23 ndio watawasaidia kuingia rwanda hilo linajulikana sio siri,na haiwezekani UN kuingia rwanda kiwazi wazi bali ni kwanjia hizo za uani.

Tatizo la watusi kama wewe ni kulazimisha dunia nzima iwa-define FDLR mnavyotaka nyie. Sote tunajua kuwa FDLR ndio lililokuwa jeshi la Rwanda, ambalo Kagame alilipiga kwa kushirikiana na Uganda. Na kinachowatisha ni kuwa jeshi hili lina support kubwa ya majority ndani ya Rwanda.
France ilisupport serikali halali ya habyarimana wakati RPA akiwa supported na marekani while they were "rebels" from NRA. You can make your own arguments but not your own facts! FDLR was never created by France.
 
Sijajua uhusiano wa Rwanda na France kwa sasa ingawa huko nyuma walishamwagana. Bila shaka na wao wwamekata misaada kwa Rwanda.

Hakuna uhusiano mzuri france itapumua siku itaona watusi hawako madarakani kigali kwani kwao ni aibu,walijaribu kuisaidia serikali ya wauaji kwa hali na mali wakashindwa,wakaendelea kuwasaidia ndani ya congo wakashindwa tena, sasa ndio wakati muafaka wa kutumia UN,hilisakata lilikua rahisi tu hapakua na haja ya kumaliza kwa vita,hawa jamaa wa m23 tangu mwanzo waliomba mazungumuzo lakini france alimshurutisha kabila kutoongea nao,akitegemea ataona rwanda ikijingiza direct katika vita hiyo ili aiumize na ndio muliona reports nyingi zikilaumu rwanda lakini kukosekana kwa ushaidi ndio iliokoa rwanda lakini yote ilikua mpango wa france,sasa wafrika wengine wanatumiwa tu dhidi ya wafrika wenzao.
 
Nilitahadharisha mwanzoni mjadala huu usitawaliwe na jazba. Mimi sioni sababu ya France kutaka kuiangamiza Rwanda. Kwa hiyo M23 ni Rwanda? Kama ni kweli basi kuna tatizo. Haiwezekani ukawa unaki-support kikundi chenye silaha kwenye nchi ya mwenzio.

Yes...There you are FLASH HIDER kila nchi ina sovereignty yake...haiwezekani kabisa wewe unakitetea kikundi kinacho de stabilize nchi ya mwenzako......How comes watetezi wa Rwanda ndio wanaitetea M23? That means Rwanda=M23....Simple arithmetics.
 
Last edited by a moderator:
Flash hider sina tatizo lolote na unayo ongea bali kuna jamaa anaitwa ALEYN anaitikadi ya mauaji ya kimbali ndiye nilikua najaribu kumjibu kwani kwa mawazo yake nikwamba amani itapatikana mtusi akiondolewa katika hili eneo.
Mi nadhani kinachowagharimu Watsi ni mentality yao ya kudhani kuwa they were born to be Leaders.Should they empty this mentality by knowing that Leadership is personal centered talent then surely they will be well accepted by other societies.
 
Kwani FDLR wanapigania haki gani? kama nikusamehewa waombe msamaha,na kama ni mtutu huo walishindwa tangu zamani na kama kuna anayetaka kuja kwa mtutu anakaribishwa na atapatiwa jibu sahihi kwani wanalijua hilo.

Kama mtu ana nia ya dhati ya kuleta amani ya kudumu ni rahisi hata kuchukua hatua kuwaita hao FDLR na kusikilizana....FDLR wanataka kuwa involved kwenye serikali.........Lakini hata hizo haki unazozisema wanapigania mnaweza kukaa mezani na kujua what is what...hakuna haja ya kutengeneza maadui wa kudumu...Dunia ya sasa inataka Peace and Reconcilliation....Mambo ya Visasi kama mliyonayo hayatawafikisha mbali...Inatengeneza tu tension......Leo FDLR watakuwa weak...miaka 20 ijayo watajiimarisha na kuwa imara then itatokea vita huko Rwanda....Permanent solution ni kujishusha na kukutana katika meza ya mazungumzo ....Mambo yanaweza kuwa rahisi kuliko inavyofikiriwa......Pk na watutsi wengine hamuwezi kulazimisha dunia nzima ifikirie kama mnavyofikiri nyie.........Hamuwezi kulazimisha watu wawaone wahutu FDLR hawana haki........No.....Kumbuka hata FDLR walipokua madarakani kabla ya 1994 walikiona RPF kama kikundi kiovu........Haya mambo hua yanajirudia...Amani ya kudumu ni kuongea tu..........
 
Sidhani...hizi sababu haziwezi hata siku moja kujustify nchi kama ufaransa kuyafanya hayo unayoyasema...too minor issues.......Ishu ya msingi hapa ambayo inabidi tu uikubali ni kwamba M23 imetumiwa na PK kama force inside DRC Congo ili kuzuia FDLR isikue ....pia M23 inatumiwa na PK kuiba madini ya Congo.......Kelele za UN kwa Rwanda kufadhili makundi ya waasi huko Congo ni za mda mrefu kabla hata Ufaransa hajachukua uongozi wa Security Council...............Yaani wewe kweli unasema dunia nzima .....security Council ya dunia nzima hawana macho....wanabebwa tu na Ufaransa bila kuhoji....kwamba Rwanda haina hata marafiki wa kuwatetea huko...Come on friend.....Ongeeni na FDLR Kikwete aliwaambia mkaishia kumtukana...kaamua kunyamaza Prezidaa wetu

Nawewe unakua kama mtu usie elewa jinsi hizi nchi kubwa zenye kura ya veto sana sana amerika,france,uingereza kawaida wanapeana na kulindana katika masilahi yao kama ni issue yenye masilahi kwa amerika wanaisaport amerika nakama ni issue yenye manufaa kwa wafaransa wanaisaport vilevile,sasa ukiongea mambo ya UN ni hizo nchi tatu nasema ndizo zinakifua wengine ni wafuata upepo,sasa hakuna simple case kwa wafaransa ujue rwanda ilijitoa francophone community na kujiingiza commonwealth,na kuacha kutumia kifaransa,sasa kwahilo tu sio simple case kwa wafaransa,na unaweza kuniuiza kwanini amerika au uingereza isi support rwanda? hawa wazungu wana tugawana kama bidhaa sokoni wanaweza kuelewana nipe huyu nikupe huyu ndio business yao hawana rafiki.
 
Nilitahadharisha mwanzoni mjadala huu usitawaliwe na jazba. Mimi sioni sababu ya France kutaka kuiangamiza Rwanda. Kwa hiyo M23 ni Rwanda? Kama ni kweli basi kuna tatizo. Haiwezekani ukawa unaki-support kikundi chenye silaha kwenye nchi ya mwenzio.
Hiyo ni 100% pasipo hata na shaka, ila nahofu huu mjadala unakoelekea, tutakosa kilichokusudiwa.
 
Kutokana na maelezo yako hata mtu akikueleza hutaelewa kwani umeisha jipanga katika mtazamo fulani dhidi ya rwanda,hebu nikupe kidogo France ndio waliandaa genocide ya watutsi wakishirikiana na serikali ya habyarimana eti wakilinda kifaransa dhidi ya watusi wanao ongea kiingereza waliotokea uganda,hivi rwanda inataka kuwashitaki na france haitaki kuona ina aibishwa na kainchi kadogo ka afrika,rwanda ilikua imeanza kua na influence ndani ya congo kiasi kwamba ilikua ikiingia na kuwinda FDLR vibaraka wa wafaransa,sasa ndio france inatumia mwanya wa UN kufikia malengo yake.

kwa nini unadhani wewe ndio wa kunieleza mimi? Wewe una facts zako mimi nina zangu. Yani genocide nzima unataka kui-reduce kuwa vita vya lugha? Genocide haijaanza 94 ilianza toka miaka ya 50 wakati familia ya kifalme ya kagame inahamia Uganda, na let me tell you if tutsi continue acting like this, there definitely will be another genocide! vibaraka pekee hapa ni RPF wanaotumika ku-destabilize the entire region of East africa, and not FDLR.
 
Kama mtu ana nia ya dhati ya kuleta amani ya kudumu ni rahisi hata kuchukua hatua kuwaita hao FDLR na kusikilizana....FDLR wanataka kuwa involved kwenye serikali.........Lakini hata hizo haki unazozisema wanapigania mnaweza kukaa mezani na kujua what is what...hakuna haja ya kutengeneza maadui wa kudumu...Dunia ya sasa inataka Peace and Reconcilliation....Mambo ya Visasi kama mliyonayo hayatawafikisha mbali...Inatengeneza tu tension......Leo FDLR watakuwa weak...miaka 20 ijayo watajiimarisha na kuwa imara then itatokea vita huko Rwanda....Permanent solution ni kujishusha na kukutana katika meza ya mazungumzo ....Mambo yanaweza kuwa rahisi kuliko inavyofikiriwa......Pk na watutsi wengine hamuwezi kulazimisha dunia nzima ifikirie kama mnavyofikiri nyie.........Hamuwezi kulazimisha watu wawaone wahutu FDLR hawana haki........No.....Kumbuka hata FDLR walipokua madarakani kabla ya 1994 walikiona RPF kama kikundi kiovu........Haya mambo hua yanajirudia...Amani ya kudumu ni kuongea tu..........

Tatizo lako wewe huka rwanda wala sio mtusi,nafikiri hata filmu za maiti wakati wa genocide hukuziona jinsi watu walivyo kua wakiua watu kwa mapanga marungu watoto wachanga,mama wajawazito,nafikiri kama ingetokea kwa familia yako au yaliotoke rwanda yakatokea tz ndio ungejua why FDLR is a curse.
 
Nawewe unakua kama mtu usie elewa jinsi hizi nchi kubwa zenye kura ya veto sana sana amerika,france,uingereza kawaida wanapeana na kulindana katika masilahi yao kama ni issue yenye masilahi kwa amerika wanaisaport amerika nakama ni issue yenye manufaa kwa wafaransa wanaisaport vilevile,sasa ukiongea mambo ya UN ni hizo nchi tatu nasema ndizo zinakifua wengine ni wafuata upepo,sasa hakuna simple case kwa wafaransa ujue rwanda ilijitoa francophone community na kujiingiza commonwealth,na kuacha kutumia kifaransa,sasa kwahilo tu sio simple case kwa wafaransa,na unaweza kuniuiza kwanini amerika au uingereza isi support rwanda? hawa wazungu wana tugawana kama bidhaa sokoni wanaweza kuelewana nipe huyu nikupe huyu ndio business yao hawana rafiki.

Mkuu kwa taarifa yako wazungu huwa wanakomaa pale penye Interest zao...hasa za rasilimali...Wako after issue za kutafuta pesa......Sio petty issues za Sijui Francophone au commonwealth....kama ishu ni francophone...ninyi mmehamia Commonwealth...basi Uingereza ingewasupport kwenye hiyo VETO.........why hawa wa support? Propaganda zingine mzifanye kwa mtazamo mpana...that is too low......

Kitu gani hasa kipo Rwanda hadi mfaransa akishobokee kiasi hicho? Nothing is there............Kubalini ukweli...kwamba M23 imetumiwa na PK kama force inside DRC Congo ili kuzuia FDLR isikue ....pia M23 inatumiwa na PK kuiba madini ya Congo.......
 
Ngoja nione hii sinema itaishia wapi make kuna wanaotumiwa, na wanaojilinda, na UN Ngoja niendelee kufuatilia
 
Kwani FDLR wanapigania haki gani? kama nikusamehewa waombe msamaha,na kama ni mtutu huo walishindwa tangu zamani na kama kuna anayetaka kuja kwa mtutu anakaribishwa na atapatiwa jibu sahihi kwani wanalijua hilo.

Ukweli hapa PK lazima azungumze na hawa watu. Matatizo yao hayawezi kuisha kwa mtutu peke yake. Yeye alikaa Uganda kwa miaka zaidi ya 30 ndipo akarudi Rwanda na kuipindua serikali, asipoangalia hawa jamaa nao wapo wengi na anazidisha chuki miongoni mwao. Akubali kusema nao, na wengi kama ilivyoelezwa wamezaliwa baada ya Genocide, je nao wana matatizo?
 
No comment on this.

Mi nadhani kinachowagharimu Watsi ni mentality yao ya kudhani kuwa they were born to be Leaders.Should they empty this mentality by knowing that Leadership is personal centered talent then surely they will be well accepted by other societies.
 
Tatizo lako wewe huka rwanda wala sio mtusi,nafikiri hata filmu za maiti wakati wa genocide hukuziona jinsi watu walivyo kua wakiua watu kwa mapanga marungu watoto wachanga,mama wajawazito,nafikiri kama ingetokea kwa familia yako au yaliotoke rwanda yakatokea tz ndio ungejua why FDLR is a curse.

Mimi kutoa maoni haya sio kwamba sitambui maumivu yaliyotokana na Genocide....ilikua ni maumivu makubwa...mauaji mabaya sana pia.....Watusi walikufa...wahutu wengi pia waliuawa na RPF.....Vita popote pale ni mbaya...Na sisi watanzania ndio maana kila siku tunaiombea nchi yetu Amani.......Ila hii ishu mnatakiwa kuiangalia kwa jicho pana na la mbali zaidi ili kuzuia Genocide nyingine au vita nyingine hapo baadaye......Unatakiwa kuiangalia katika mtazamo mpana wa PEACE ,FORGIVENESS AND RECONCILLIATION......Hao FDLR ni watu wa kwenu...Rwanda ni nchi yao.....Amani ya kudumu ni kuongea......Sasa mnataka waendelee kubaki Congo wajipange zaidi>? Au mnataka mkatengeneze majeshi yenu kule Congo kama M23 ili kuwapiga FDLR na ku destablize amani ya Congo? Kumbuka Congo ni Sovereign state............
 
Labda niulize swali kwa wanaoijua vizuri Rwanda. Hivi wanazalisha nini. Mimi nimepita Rwanda zaidi ya mara 100 sijawahi kuona kiwanda kikubwa zaidi ya kile cha kutengeneza Pilipili. Nchi ni ndogo yenye milima na watu ni wengi. Tuwe wakweli bila ushabiki, huu utajiri wa One student, one laptop unatoka wapi kama si Coltani za DRC?

Mkuu kwa taarifa yako wazungu huwa wanakomaa pale penye Interest zao...hasa za rasilimali...Wako after issue za kutafuta pesa......Sio petty issues za Sijui Francophone au commonwealth....kama ishu ni francophone...ninyi mmehamia Commonwealth...basi Uingereza ingewasupport kwenye hiyo VETO.........why hawa wa support? Propaganda zingine mzifanye kwa mtazamo mpana...that is too low......

Kitu gani hasa kipo Rwanda hadi mfaransa akishobokee kiasi hicho? Nothing is there............Kubalini ukweli...kwamba M23 imetumiwa na PK kama force inside DRC Congo ili kuzuia FDLR isikue ....pia M23 inatumiwa na PK kuiba madini ya Congo.......
 
Dah huu uzi nao ni mzuri kuna mengi ya kujifunza
 
Wadau mnaohusika na mambo ya usalama naomba mnifahamishe uhalisia wa kuibuka kwa kundi jipya la wapiganaji kinachoitwa m18. Kulingana na bbc news inasemekana hakina undugu na m23, swali langu je, hili kundi limeibuka kwa madai yapi na linataka nini? Inasemekana lipo uganda mara congo sasa naomba wadau mnisaidie juu ya hilo suala.
 
Nakubaliana na wewe moja kwa moja lakini sidhani kama suluhisho pekee ni mtutu wa bunduki. Tuache utamaduni wa visasi.

Tatizo lako wewe huka rwanda wala sio mtusi,nafikiri hata filmu za maiti wakati wa genocide hukuziona jinsi watu walivyo kua wakiua watu kwa mapanga marungu watoto wachanga,mama wajawazito,nafikiri kama ingetokea kwa familia yako au yaliotoke rwanda yakatokea tz ndio ungejua why FDLR is a curse.
 
Kaka hapa DRC kuna vikundi karibu 25 vyenye silaha. Pamoja na kwamba ndiyo kwa mara ya kwanza nimekisikia, ila najua itakuwa ni moja ya vikundi hivyo. Swali la kujiuliza, WANAPATA WAPI SILAHA?

Wadau mnaohusika na mambo ya usalama naomba mnifahamishe uhalisia wa kuibuka kwa kundi jipya la wapiganaji kinachoitwa m18. Kulingana na bbc news inasemekana hakina undugu na m23, swali langu je, hili kundi limeibuka kwa madai yapi na linataka nini? Inasemekana lipo uganda mara congo sasa naomba wadau mnisaidie juu ya hilo suala.
 
Back
Top Bottom