Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Freeland ni zaidi ya mwalimu. Bila shaka anaweza kutujuza mengi hapa. Tumtumie jamani, elimu haina umri wala wakati.

Mimi kutoa maoni haya sio kwamba sitambui maumivu yaliyotokana na Genocide....ilikua ni maumivu makubwa...mauaji mabaya sana pia.....Watusi walikufa...wahutu wengi pia waliuawa na RPF.....Vita popote pale ni mbaya...Na sisi watanzania ndio maana kila siku tunaiombea nchi yetu Amani.......Ila hii ishu mnatakiwa kuiangalia kwa jicho pana na la mbali zaidi ili kuzuia Genocide nyingine au vita nyingine hapo baadaye......Unatakiwa kuiangalia katika mtazamo mpana wa PEACE ,FORGIVENESS AND RECONCILLIATION......Hao FDLR ni watu wa kwenu...Rwanda ni nchi yao.....Amani ya kudumu ni kuongea......Sasa mnataka waendelee kubaki Congo wajipange zaidi>? Au mnataka mkatengeneze majeshi yenu kule Congo kama M23 ili kuwapiga FDLR na ku destablize amani ya Congo? Kumbuka Congo ni Sovereign state............
 
Nakubali hata mimi ingawa wenyewe hukataa kabisa. Kuna kila ushahidi na ndiyo maana nchi zenye macho yanayoona mbali zimeamua kukata misaada Rwanda.

Yes...There you are FLASH HIDER kila nchi ina sovereignty yake...haiwezekani kabisa wewe unakitetea kikundi kinacho de stabilize nchi ya mwenzako......How comes watetezi wa Rwanda ndio wanaitetea M23? That means Rwanda=M23....Simple arithmetics.
 
Unajua unachokisema?kusaidia FDLR ni kusaidia wauaji wa kimbali,which means you are a supporter of genociders.

janja yenu ya kuuhadaa ulimwengu kwa genocide hamna asiyoijua tena, chanzo kikubwa cha mauaji ya kimbari ya rwanda 1994 yaliyoua wahutu na watusi ni kagame na uchu wa madaraka wa watusi
 
Nakubaliana na wewe moja kwa moja lakini sidhani kama suluhisho pekee ni mtutu wa bunduki. Tuache utamaduni wa visasi.

tatizo kubwa la MUKAMASIMA kama ilivyo kwa watusi wote ni kudhani wenye haki ya kuishi kwa amani bila kubugudhiwa ni wao tu, jamii nyingine hapana !
 
Mbona KAgAME alikana Kusaidia hao M23???

Je ni faida zp atapata kwa kuwafund hao M23? anataka aiteke Congo ili hao Watusi wapatw nyadhifa hapa DRC??/

Ni nin ambacho M23 wanakidsi toka kwa KABILA ili mapigano yaishe?///
 
Hakuna anae isaidia FDLR mpaka sasa, suala hapa nini njia muafaka wa kumaliza matatizo na kikundi hiki kilichopo DRC karibu miaka 20 sasa. Ukipendekeza mazungumzo basi wewe kuna wadau (hasa PK) anakuona una support Genocide.

janja yenu ya kuuhadaa ulimwengu kwa genocide hamna asiyoijua tena, chanzo kikubwa cha mauaji ya kimbari ya rwanda 1994 yaliyoua wahutu na watusi ni kagame na uchu wa madaraka wa watusi
 
Matatizo ya Congo hayataweza kuisha kwa kutumia bunduki...kuna haja na ulazima wa serikali zinazohusika kukaa katika meza ya mazungumzo....Rwanda wazungumze na hao FDLR ....kitendo cha kutotaka kuongea nao kinasababisha security threat hata Rwanda na DRC.....Kabila amejitahidi kuongea na wapinzani wake M23...Why PK hataki kuongea na FDLR???

kuna walakini hapo
 
Hizo fununu na mimi nimezisikia sana. Unajua DRC ni nchi kubwa kiasi kwamba kuna maeneo hayajawahi kabisa kukaliwa na mtu. Majeshi ya UN yamekuwa wakiweka kambi zao katika maeneo hayo. Kuna uwezekano mkubwa hayo yanafanyika au yalikuwa yanafanyika.

Ni wazi kuwa Rwanda walikuwa wanam-support Nkunda. CNDP (kikundi cha NKUNDA)kilikuwa kinadai kuwa kinalinda maslahi ya Watusi (Wanyamulenge) waliokimbia Rwanda miaka ya 60. Hivyo ajenda hiyo ndiyo ilichukuliwa na Rwanda katika kuhalalisha support yao kwa Nkunda. Ukisoma uzi huu, kuna sehemu nimeeleza kwa kirefu mgogoro huu.


Kilicholeta utofauti wa utendaji wa Majeshi ya UN ya awali na haya ya sasa kwanza ni uzalenda na nia ya dhati ya kutaka kumaliza matatizo ya wa cONGO waliyonayo hawa wanajeshi wa sasa (JWTZ). Inasemekana hapo awali unaweza kusikia watu wanabakwa, badala ya kuchukua hatua hao jamaa wanakuja na kuanza kuchukua video kwa ajili ya kuonyesha kwao. Wacongo hawawapendi kabisa jamaa hao.Pili nimeambiwa kuwa hawa wamepewa nguvu zaidi ya kisheria na UN kuweza kushambulia. Yaani kaka kuna tofauti kubwa sana.

nasikia hii mandate ya haya majeshi ya sasa ni ya kwanza ya aina hiyo kutolewa na UN ndio maana Kagame amepaniki
 
Mkuu nimeona katika ukanda huu wahusika wakuu wa mgogo ro wa DRC ni TZ, RWANDA na UGANDA. Vipi kuhusu BURUNDI??

Mbona wao hawatajwi tajwi katika huu mgogoro maana nachojua wana matatizo sawa na Rwanda hasa ya uhutu na utusi na pia ni jirani wa karibu sana na Congo.
 
Hakuna anae isaidia FDLR mpaka sasa, suala hapa nini njia muafaka wa kumaliza matatizo na kikundi hiki kilichopo DRC karibu miaka 20 sasa. Ukipendekeza mazungumzo basi wewe kuna wadau (hasa PK) anakuona una support Genocide.

Mkuu "mfanyabiashara", nashukuru sana kwa info hii. Wachapeni sawasawa hao jamaa... (historia yako hapa JF inaonyesha ulishaongelea mambo ya jeshi (in a positive way) zaidi ya mara mbili, na haionyeshi kabisa kuwa wewe ni mfanyabiashara). Hata hivyo umevaa neutrality fulani nzuri. Kudos...
 
Hakuna anae isaidia FDLR mpaka sasa, suala hapa nini njia muafaka wa kumaliza matatizo na kikundi hiki kilichopo DRC karibu miaka 20 sasa. Ukipendekeza mazungumzo basi wewe kuna wadau (hasa PK) anakuona una support Genocide.

kiujumla watusi ni wazuri katika propaganda, walianza na single ya genocide na wakafanikiwa kuuaminisha ulimwengu kuwa waathirika wakubwa wa genicide walikuwa watusi na wahusika ni wahutu, kitu ambacho siyo sahihi hata kidogo kwa janja hiyo wahutu wakachinjwa bila msaada wowote wa jumuiya ya kimataifa , single ikachuja sasa wakaanza na nyingine ya FLDR kwamba wanasaidiwa na DRC kuishambulia Rwanda kumbe chanzo ni uchu wa mali asili za kongo na kwa hili walianza kufanikiwa kabla ya ulimwengu kustuka na kusema hapana, hata hivyo kagame hakuchoka, kaanzisha genge la mauwaji la M 23 ili kufanikisha uharamia wake wa kuimega kongo na kuiba maliasili yake, nayo hali siyo sawia kwake na watusi wenzake, kalianzisha na TANZANIA kwa kutishia kumhit raisi Kikwete kulipa kisasi cha kuizua Rwanda kuendelea kuihujumu DRC, kaona haitoshi sasa watusi ni kichocheo ndani ya EAC kutaka kuitenga TZ ! upo mwisho wake ....
 
Mkuu nimeona katika ukanda huu wahusika wakuu wa mgogo ro wa DRC ni TZ, RWANDA na UGANDA. Vipi kuhusu BURUNDI??

Mbona wao hawatajwi tajwi katika huu mgogoro maana nachojua wana matatizo sawa na Rwanda hasa ya uhutu na utusi na pia ni jirani wa karibu sana na Congo.

hilo nalo neno, mkuu mfanyabiashara tunaomba msaada wako katika hili
 
Lakini watu wengine mnapenda kuandika ilimuradi umeandika,ungejua yanayo tendeka goma usinge kua unaongea hayo,watu warwanda wanapiga mzigo kama kawaida kama vile hakuna vita kwa jirani yani hata Gisenyi mji ambao uko mpakani watu wanavuka mpaka kilasiku wakienda goma na wagoma wakiingia gisenyi yani maisha niya kawaida.

kagame na watusi wenzake ni janga katika eneo la maziwa makuu
 
Sidhani kama mjadala umelenga katika kuleta ushabiki wa vita inayoendelea. Mimi si mwuumini wa vita kabisa.Kama ungekuwa huku GOMA ndiyo ungeona madhara ya vita. Hebu fikiria hapo Kariakoo mchana wa saa tano asubuhi mabomu matatu tanatua, nini madhara yake kwa maisha ya watu, mali na akili za watu hao. Huku hayo mambo nimeyashuhudia watu wakifiwa na watoto na ndugu zao, wanapata walemavu na mali zao kuteketea kwa gharama ya POLENI SANA. Hii ni kwa raia, achilia mbali wanajeshi ambao kwa mujibu wa mazingira yao ya kazi, suala la kifo lipo mkononi kwa maana wamejitolea maisha yao kwa mani ya DRC. Asikwambie mtu, maisha ndiyo kila kitu. Msishabikie vita ndugu zangu.
Mkuu FLASH RIDER huyu MUKAMMASIMBA ni idara ya intrllijensia ya Rwanda na si mtu mmoja bali seversl people uding the same ID.
Its easy to note.
 
Hata Burundi nako kuna tatizo. Unajua FNL wapo ndani ya DRC na wapo mpakani kabisa na Burundi. Pia historia ya Burundi haijahusisha sana DRC. Kama utafuatilia mauaji ya Kimbari, utagundua kuwa Warundi hawakuathirika sana kama Rwanda. Hawakukimbia sana nchi yao kwenda DRC kama Rwanda. Wakimbizi wao wengi walikimbilia kigoma TZ ambako walipewa hifadhi na baadae wakarejea kwao. Watusi na Wahutu wa Rwanda walikimbia Rwanda na kuingia DRC kwa nyakati na vipindi tofauti. Walipokutana huko kama wapinzani wa jadi wakaanza kupigana. Suala lingine linatajwa kama personality/characters. Inawezekana kama akiingia rais mwingine Rwanda, huenda hali ikawa tofauti. Tatu ni kuwa kinachotafutwa hapo ni eneo la KIVU KASKAZINI kwani huko ndiko kuna mali na kunaingilika kiraisi. Kule walikopakana na Burundi (KIVU YA KUSINI) hakuna utajiri na pia wamepakana sehemu ndogo sana ambako pia kuna waasi wa FNL wamejichimbia huko.

hilo nalo neno, mkuu mfanyabiashara tunaomba msaada wako katika hili
 
SItaki kulaumu mtu ila ukweli tusiwe na misimamo mikali na isiyo ya ukweli.

Mkuu FLASH RIDER huyu MUKAMMASIMBA ni idara ya intrllijensia ya Rwanda na si mtu mmoja bali seversl people uding the same ID.
Its easy to note.
 
Back
Top Bottom