FLASH HIDER
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 397
- 508
- Thread starter
-
- #581
Lakini hata wewe kijana wa Goma unaniuliza hilo swali? Hawa Fdlr wanaua ndugu zao,wanakula n'ombe zao wanaiomba congo iwaondoshe hao FDLR badala yake wanawashirikisha katika jeshi ili wafyeke kitu kinachoitwa mtusi congo sasa wewe unaniuliza kama madai yao yana maana? hata hao unaosema wakija gisenyi na wakiwa na madai yanayo eleweka nafikiri itabidi wasikilizwe kama sivyo lazima wapigane,sasa nikuulize kama chadema ikianzisha kikundi cha kijeshi kupambana na CCM unafikiri watakosa support ya wananchi hakuna kisicho wezekana,umesema M23 kwasababu ni wacongo tena hao wasomali ni kwasababu ni wasomali sio watanzani,please jaribu kuheshimu shida za wengine.
pia naomba ufafanuzi wanaongea kinywaranda ni kabila gani? Maana hapa usi associate na rwanda. Maana kw maelezo yako kinyarwanda kilikuwepo kabla ya rwanda. Sasa wanaongea kinywaranda ni kabila gani?
Pia naomba ufafanuzi wanaongea kinywaranda ni kabila gani? maana hapa usi associate na Rwanda. maana kw maelezo yako kinyarwanda kilikuwepo kabla ya rwanda. Sasa wanaongea kinywaranda ni kabila gani?
[/quote]mh!! Naomba unijibu kwa mstari mmoja tu, rwanda inawasaidia m23?
Lakini rwanda ina utajiri gani wa ku support vita ya m23? Mara rwanda masikini,mara matajiri sasa mimi siwaelewi,jamani tuongee ukweli hapo.
Ndugu yangu katika hili swala la watusi watu wengi huongea uongo dhidi yao na ndio maana wahutu waliweza kuwaangamiza juu ya hayo masomo yachuki waliyo tiwa kichwani,na kinacho nishangaza nina wapa ukweli wote kuhusu hao watu lakini watu wanang'an'gania wanayotaka kusikia,ninacho jua ukweli utajulikana,watusi wanaonewa sana,hata wakichinjwa hakuna mtu wa kuwatetea lakini kinacho julikana mungu yuko pamoja nao atawalinda kama walivyo weza kuwashinda wauwaji nchini rwanda.
Nadhani muda mfupi ujao sitaendelea kuumiza kichwa kumjibumukamusima
.
[h=5]Patrick KambaleBana Goma
[/h]Options for this story
Fred Mwasa mwasa 1m
‪#‎Uganda‬ sends chopper to Bunagana to transport ‪#‎M23‬ delegation for beginning of Kampala talks M23 rebel leader in Uganda for peace talks ‪#‎DRC‬ ‪#‎Rwanda‬
Kumbe nia ya M23 ni kupambana na FDLR?
Wanao ongea kinyarwanda niwanyarwanda pure,lakini ukumbuke rwanda kabla ya mipaka ya wakoloni haikua ndogo kama hii ya sasa,sasa katika kukatakata ndio wengine walibaki congo,uganda,na kama congo kunawano itwa abanyamasisi,abanyarucuro,abajomba lakini wanaongea kinyarwanda na wengine wako uganda wanaitwa abafumbira wanaongea kinyarwanda,kitu kinacho watofautisha na watu wengine wao huifadhi culture ya kinyarwanda hawaipotezi ndio sababu wakati wate wanaongea kinyarwanda wanaitwa wanyarwanda kwa mtu yeyote atamwambia rudi rwanda kwasababu unaongea kinyaranda tu.
Hivi Mukasama!! hawa M23 wana madai ya maana kweli? hivi kikitokea kikundi cha watu ndani ya Rwanda wakakalia hapa Gisenyi wakaanzisha serikali yao, wataachwa kweli na Kagame? Nakwambia tena DRC imekuwa na subira sana, waingie TZ waone. Nakumbuka kulizuka Wasomali TZ ilichofanyika hadi leo imebaki historia.
Nia yao kuu ni kujilinda na mashambulizi ya FDLR na kuhakikisha jamii zao zinaishi kwa amani ndani ya congo lakini hao FDLR wanakumbatiwa na wakuba france kabila hawezi kufanya chochote kwa sasa ndio maana unaona wameanza kushinikiza rwanda kuongea nao ili waende kwa usalama bila kuchukuliwa kwa nguvu,unajua tangu FDLR ingie kivu watusi wa hapo hawajawa na amani tena.
Lakini hata wewe kijana wa Goma unaniuliza hilo swali? Hawa Fdlr wanaua ndugu zao,wanakula n'ombe zao wanaiomba congo iwaondoshe hao FDLR badala yake wanawashirikisha katika jeshi ili wafyeke kitu kinachoitwa mtusi congo sasa wewe unaniuliza kama madai yao yana maana? hata hao unaosema wakija gisenyi na wakiwa na madai yanayo eleweka nafikiri itabidi wasikilizwe kama sivyo lazima wapigane,sasa nikuulize kama chadema ikianzisha kikundi cha kijeshi kupambana na CCM unafikiri watakosa support ya wananchi hakuna kisicho wezekana,umesema M23 kwasababu ni wacongo tena hao wasomali ni kwasababu ni wasomali sio watanzani,please jaribu kuheshimu shida za wengine.
Lies! What talks? Talking to who? Few weeks ago they walked out....now what talks in Kampala? According to media,He is just running away because FARDC and FIB forces are just 5 km away from his last camp at Bunagana!
Acha wewe, nadhani wewe hujawahi kukaa hapa GOMA. ---- mtu anawataka hao M23. Wanalinda maslahi ya nani. Kama ni ya wananchi wa KIVU kwani tena wawabake, wawapole mali zao. Jamii zipi unazozitaja? Hoja zako hazina mashiko, zimetawaliwa na utashi wa kifikra.
Pia naomba ufafanuzi wanaongea kinywaranda ni kabila gani? maana hapa usi associate na Rwanda. maana kw maelezo yako kinyarwanda kilikuwepo kabla ya rwanda. Sasa wanaongea kinywaranda ni kabila gani?
Wanao ongea kinyarwanda niwanyarwanda pure,lakini ukumbuke rwanda kabla ya mipaka ya wakoloni haikua ndogo kama hii ya sasa,sasa katika kukatakata ndio wengine walibaki congo,uganda,na kama congo kunawano itwa abanyamasisi,abanyarucuro,abajomba lakini wanaongea kinyarwanda na wengine wako uganda wanaitwa abafumbira wanaongea kinyarwanda,kitu kinacho watofautisha na watu wengine wao huifadhi culture ya kinyarwanda hawaipotezi ndio sababu wakati wate wanaongea kinyarwanda wanaitwa wanyarwanda kwa mtu yeyote atamwambia rudi rwanda kwasababu unaongea kinyaranda tu.
Naomba MUKAMASIMBA asikimbi uzi huu baada ya siku bili au tatu. Huyo Makenga ametajwa kukimbillia Rwanda bila walinzi. Rais ndiyo huyo!
Samahani mkuu,unasema ukweli uzalendo sometimes inabidi ukomalie kitu hatakama sivyo ndivyo,lakini sikutaka kuishambulia tanzania tatitizo ni kwamba hawa wabongo kunawakati wanaiongea rwanda utafikiri wao ni wa mbinguni ndio maana sometimes inabidi niwakumbushe warudisha akili kwa uzalendo mwingine unageuza watu vipofu.
swali, kwanini viongozi wa magenge ya kihuni ya m 23 wakizidiwa wanakimbilia rwanda au uganda na si majirani wengine au serikali ya DRC?