Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Hawa MONUSCO kazi yao kupora madini na kuuza ughaibuni, na wala soyo kulinda raia wa Congo kama walivyotumwa na Umoja wa Mataifa.
Mbona wewe muoga? huwezi kamata silaha,halafu hakuna kichapo chochote kwa M23 wamehama tu,game lime change sasa huwezi kua mtu 2000 unapigana na watu 100000 kama siafu ahahahhaa,sasa ni kuchomoa siafu moja moja mpaka zitakapo isha.
Ukwaju ndugu zako FDLR or Congolese wakijaribu kufanya walichofanya 1994 Rwanda huo ndio utakuwa mwisho wa utawala wa Kabila na mwanzo wa utawala wa Banyamulenge Kinshasa.
Ndugu yangu katika hili swala la watusi watu wengi huongea uongo dhidi yao na ndio maana wahutu waliweza kuwaangamiza juu ya hayo masomo yachuki waliyo tiwa kichwani,na kinacho nishangaza nina wapa ukweli wote kuhusu hao watu lakini watu wanang'an'gania wanayotaka kusikia,ninacho jua ukweli utajulikana,watusi wanaonewa sana,hata wakichinjwa hakuna mtu wa kuwatetea lakini kinacho julikana mungu yuko pamoja nao atawalinda kama walivyo weza kuwashinda wauwaji nchini rwanda.
ninasikia mademu wa huko kongo wanahusudu sana wabpngo, eti ni kweli?
halfu nasikia vijana wa huko wanajiremba sana , unaweza kuta mtu anakaa kwenye kijinyumba cha ushenzi lakini amevalia kipapaa sana,, n hayo tu,naomba kueleweshwa
Where is Sultan Makenga?, (m 23 military chief) it was believed tha he was severely injured, was that true?
Hawa jamaa wanahasira za bure tu,hawautaki ukweli,hizo articles zimeandikwa na wapinzani wa pk na zingine sponsored by france ili kuharibu sura ya pk,utakua hittler ukaishi dunia yaleo? hizo ninjama za watu wachache,rwanda hivi inaongozwa vizuri na wananchi wanaufurahia uongozi wake.
Mkuu FLASH HIDER tunashukuru sana kwa taarifa unazotupatia,mimi binafsi umenifungua macho.Maswali yangu ni: 1.vipi kuhusu vikundi vingine vyenye silaha kama FDLR navyo vinanyang'anywa silaha?
2.Mbali na kunyang'anywa maeneo waliyokuwa wameyakalia je kuna maafa gani mengine makubwa ambayo M23 wameyapata?
3.Je kuna askari wa Rwanda waliouawa ambao walikuwa wanapigana sanjari na M23?
4.Vipi kuhusu Sultani Makenga na viongozi wenzie kuna ambaye kakamatwa au kuuawa au wamekimbilia wapi?
FLASH HIDER
Vipi kuhusu hili ?
"RAIS KABILA ANALIHUTUBIA TAIFA MDA HUU KUPITIA TV YA TAIFA NA KUONYA KUWA
MAKUNDI YA WAASI YA FDLR NA ADF/NALU KUWEKA SILAHA CHINI AMA LA WATAKABILI NGUVU ZA KIJENSHI NA KUNYANG'ANYWA KWA NGUVU SIALAHA."
FLASH HIDER
Inasemamwa JE KUNA UKWELI HAPO?
"JWTZ wakongo wanasema binduki ya Tanzania iko nguvu kabisa ukiishikia unayua hii niyakutanzania iko natofauti ya Zimbabwe, masasi yake iko kabambe hongera MUNUSCO ikiongozwa na majemedali toka Tz "
Don't be a fanatic for nothing. Kumbuka hata Rwanda ya kina Habyarimana iliongozwa vizuri tu kabla ya PK kuanzisha cold war, unakumbuka hii? PK baada ya kuingia Rwanda amejaribu kuzima ukweli kwa kuua watu (generals na viongozi wengine) waliomkimbia, unataka kutuambia kuwa hii wewe hujuwi na kama hujuwi sasa kwanini unabisha ama kukataa ukweli, si ni ujinga huo? PK is a blatant killer, his time is coming though because God will never let him live long enough before fate will follow him. Jiulizeni, whatever happened to Hitler, Iddi Amini, Mobutu, Sadam Hussein, Samuel Doe, Taylor, Gaddafi?
Madini ya Coltan yametajwa kuleta hali ya sintofahamu.Haya madini yanatumika kutengeneza CPU ya simu na lama unavyojua technology ya mawasiliano inavyokuwa ndivyo haya madini huitaji wake inavyoongezeka,coltan IPO CONGO kwa kiwango kikubwa sana zaidi kivu ya kaskazini.Mataifa kama USA na China wamekuwa wa watumia business elites wakibeligium kukusanya madini Congo, kunareport ya UN imewataja hao watu..hayo madini yanasafirishwa kwa ndege Tokay Congo hadi Mombasa then to China ambapo kunacheap labor of man power.Kampuni za simu tajwa ni Motorola na Nokia, so fedha inaenda master planners then inarudi kufadhili rebels Congo na associate just kufanya Congo isisettle ili wao wandelee kuchuma.So kama unadeal na madini Congo no blood miniral..hii deal Israel pia wamo ndo wanunuzi wakubwa humo...wachimbaji ni wacongo wenyewe..mamiddle men ndo nyiye...tafuta blood coltan' IPO YouTube.
As long as economic is concerned Congo won't settle hao kina Pk .nkunda.m7.etc wanatumika na visababu vya hapa na pale.Chezea midini.mafuta na gesi.
tchao.
Where is Sultan Makenga?, (m 23 military chief) it was believed tha he was severely injured, was that true?
Mauaji ya kimbari hayawezi kutokea Congo,na hata Rwanda hayawezi kutokea tena kwani mpaka sasa mataifa ya magharibi yanajuta kwanini hawakuingilia kati kijeshi kuinusuru Rwanda.Hasa Marekani wakati ule wa utawala wa Raisi Clinton-1994.
Ila kinachoweza kutokea ni kuanguka kwa serikali ya Kagame,kama hata fanya bidii ya kujenga taasisi imara za kidemokrasia inayowahusisha raia wote hata wale anaodhani wana ideology ya mauaji ya kimbari.Ikiwa reconciliation +(gachacha) ilifanyika basi hakuna haja ya kuwachukulia wengine kuwa ni kitisho ukizingatia kuwa wengi wao waliofanya mauaji hayo wengi wameishatiwa mbaroni,na wengine wameishakufa huko msituni Congo kutokana na umri wao. Hicho kizazi kilichopo huko FDLR ni kipya kwani wengi wao wakati wa mauaji 1994 walikuwa vijana wadogo sana na yamkini wengine walikuwa hawajazaliwa kabisa.
Cha msingi ni kujenga Taifa Imara lisilo na utawala wa kibaguzi kitu ambacho bado ndio kinaitafuna Rwanda kwa miaka mingi na kuwafanya watu wanao zungumza lugha moja wasiaminiane. Anyway it is a process......Lakini lazima mchakato wa unification kati ya(tus/hut/twa) ufanyike haraka iwezekanavyo.
Resources zilizokuwa zinatumika ku i finance M23 zitumike sasa kujenga umoja na mshikamano wa clans(tus/hut/twa) zote ndani ya Rwanda,achaneni na vita visivyoisha havitaleta tija yoyote kwenu ninyi jengeni Taifa lenu kwani bado liko very fragile,....wahutu wanataka nao warudi watawale nchi....!!!