Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

unapokuwa mwongo jaribu kukumbuka na ulichodanganya, ulipost hapa m 23 wameondoka GOMA kupisha mazungumzo ya amani na bisimwa kaenda kuungana na wenzake kwenye mazungumzo kampala sasa imekuwa mbinu ya kivita

Nafikiri hiyo itakua wakati ule waliondoka goma,siyo hii ya juzi wakiondoka ruchuro na kibumba.
 
MUKAMASIMBA,

..nani atatoa fedha za ku-support mradi wa kuishambulia Rwanda?

..haya mambo ninavyoelewa mimi huwa yanaamuliwa[yanapewa baraka] na wakubwa, na nchi za Kiafrika huwa ni vibaraka/watekelezaji tu.

..kwa mfano, Mzee Kabila alipowatibua wakubwa, ndipo Rwanda na Uganda zilipopewa "dili" ya kwenda kumpindua.

..unless, unaamini kuwa Rwanda waliporuka all the way to Kitona na kujaribu kuizingira Kinshasa walikuwa na nia ya kuwasaka Interahamwe.

..kwa mtizamo wangu utawala wa Kagame bado unaheshimika kimataifa, na vilevile anakingwa na guilty ya mataifa makubwa kutokushiriki kuzuia genocide ya 1994. kwa msingi huo siyo rahisi ktk siku za karibuni kwa mataifa hayo kubariki uvamizi dhidi ya Rwanda.

..kuhusu m23, na taarifa kwamba wanakimbilia porini. Really!? This is 21 century, halafu kuna watu wanafikiria kuishi maporini?! Waathirika wakubwa wa uamuzi huo ni vijana[who form the majority of m23 fighters] ambao baadaye watashindwa kujichanganya na kupambana ktk dunia hii ya utandawazi.
 
Last edited by a moderator:
Acha upuuzi wewe,hunakifua cha kuingia rwanda,huwezi hata kuingi 1cm kama huja toweka duniani.

Mukammasimba vipi we jenerali wa kagame au? Naona unajiamini sana japo naipenda Rwanda na Kagame lakini siamini kama mna nguvu kiasi hicho
 
hongera kamanda shupavu usiyeongozwa na mihemko ya ki vyama bali utaifa na uzalendo, nawashukuru wauliza maswali, wachangiaji na wadadisi kwa ushirikiano chanya mliouonyesha kwa mwanzisha mada!
Nimerejewa na imani kuwa OLE WAKE ADUI ADHANIYE WATANZANIA SI WAMOJA kwa kuangalia tu viji hoja vinavyogonganisha vichwa vya watu, na pindi atakapothubutu kwa namna yeyote ile WAZALENDO WA TAIFA HILI ( shukrani za ki pekee kwa wana JF) ambao wameonyesha sampling halisia ya jinsi tulivyo
.......viva JWTZ.....viva MWAMUNYANGE.....viva monusco...... uhuru wa Tanzania hautakuwa na maana kama nchi nyingine hazitakuwa huru
 
Mukammasimba vipi we jenerali wa kagame au? Naona unajiamini sana japo naipenda Rwanda na Kagame lakini siamini kama mna nguvu kiasi hicho

Huyo ndiyo mukamasimba bana, Rwanda iko power kuliko hata USA.
 
Utawalaani we mungu?

Hata mi sitaki kabisa walaaniwe watutsi wana wanawake wazuri sana, why walaaniwe? Afterall mi namkubali sana Kagame jamaa ana akili kaibadili rwanda kwa muda mfupi tu, sio kama Ccm huku bongo
 

Bwana joka kuu unafikiri utafanyaje wakati congo haitaki kuwapa amnesty tena congo adhabu ya muasi ni kifo hapo nikuana tu, bora wakubali waelewane yaishe.
 

Na nyinyi mnaotawaliwa kisela hii leo mko wap mna nini kama sio kuitafuta kila siku Chadema kua n magaidi na hamna ushaidi .. Go to hell ...!!!KAGAME NI RAIS WA UKWELI HAPA AFRICA ANAPIGANIA MAENDELEO MAMBO YA WATUTSI NA WAHUTU TULIYAPOTEZEA MDA SIKU HIZI WANAITWA WANYARWANDA WOTE .pia kama m23 wamepigwa why hatutajiwi idad ya m23 walifariki au kujeruhiwa ishu ni kua wameondoka maeneo waliokua wamesimika utawala anytime T watarudi KONGO HAINA JESHI LA KUWAONDOSHA HAO JAMAA NI JESHI LA WATU AMBAO WAJAFUNZWA KUA WAJEDA MARA WAASI WAMEINGIZWA KWENYE JESHI LA TAIFA NA HAO TENA WANAASI KWAHYO MARA TUNAFANYA MAZUNGUMZO NA WAASI MARA HII LEO UNAWAPIGA AU UNAWAFUKUZA THEN WANARUDI BADAE WANAJIPANGA MARA KAGAME ANAWASAIDIA WHY KONGO ISIENDE KUFANYIA NOMA KAGAME KAMA ANAWASAIDIA HAO WAASI ...???? Jaribu kujiongeza na kufanya utafiti uwe na info za ukweli
 
Hao m23 wameondoka maeneo waliokua wanakaa why jeshi la kongo halitoi maiti za wanamgambo wa m23 ...?????kama wameuwawa.
 
Hao m23 wameondoka maeneo waliokua wanakaa why jeshi la kongo halitoi maiti za wanamgambo wa m23 ...?????kama wameuwawa.

Siunajua jinsi wa congo eanavyo shangilia wakiua mtu,kwataarifa yako hawa kupata mtu,na hivi sasa kuna mapigano makali yanaendelea karibu ya bunagana.
 
Hao m23 wameondoka maeneo waliokua wanakaa why jeshi la kongo halitoi maiti za wanamgambo wa m23 ...?????kama wameuwawa.
Haya na wewe umeamua kuiharibu Post yetu ya FLASH HIDER hivi hata vyombo vya habari husikilizi ???
saa hizi BBC inawahoji, Wakazi wa Mji wa mpakani walikofurushwa M23
WEWE unataka maiti zioneshwe hadharani na kwenye vyombo vya Habari Ni kosa kuonesha maiti yoyote ya kivita
Chunga akili yako usiwe km MUKAMASIMBA ameweza kuipotosha thread nzima na ana uwezo wa kujibishana na hata post 100
Mwenzako yupo kazini analipwa na PK & M7

Basi hata km Kiswahili hukijui fuatilia Al Jazeera Kiingereza na link ya Video hiyo hapo imetoklewa usiku huu
http://www.aljazeera.com/news/afric...ajor-rebel-stronghold-2013103014241563261.htm

[h=2]Offensive of DRC's UN-backed military sends thousands fleeing into neighbouring Uganda.
[/h]


[TD="class: articleTitle"][h=1] Congo army enters last major rebel stronghold
[/h] [/TD]

[TD="class: Tmp_hSpace10"]
[/TD]
Congolese government troops have entered the eastern border town of Bunagana as M23 rebels abandoned what was the last significant town they were holding.
The town was first seized by the rebels last year and its loss is the latest success in an offensive by Democratic Republic of Congo's UN-backed army, which is seeking to crush a 20-month rebellion.
Al Jazeera's Malcolm Webb, reporting from Bunagana, said the town was deserted when government forces swept in because civilians and rebels had fled fearing the advance.
"The civilians came running back when they saw the army come in," said Webb, who was travelling with government forces. Now, it's a very jubilant mood. People were cheering and hugging the soldiers."
"
 
Last edited by a moderator:
Mimi nawatetea wote kwani nimegundua asilimia kubwa humu jamvini wana tetea FDLR.

Pole sana, Unadhihirisha UTUSI wako kwa chuki zako dhidi ya FDLR, Ila ulisikilia Hotuba ya Kabila ya Jana?
kama umesikiliza utakuwa umeelewa kuwa hakuna kikundi cha waasi kitachwa na hata hao FDLR kzamu yao yaja, ila ki;lichotokea ni kuwa M23 ndio walikuw akimbelmbele kwahoiyoi kichapo ilibidi kainze kwao kwanza ili kutoa mfano kw ahao wengine wadogowadogo.
 
Siwezi kusema lolote hapa. Unanionea kwa kuniuliza swali la mikataba ya DRC na SA, mimi ni MTZ nipo tu DRC kutafuta maisha, na huenda hali ikiwa mbaya zaidi nitarudi bongo kubananana na wabongo wenzangu. Hata hivyo sielewi hapo penye red umefanya reference wapi kwani sijaona kwenye quotation yako.

 
vipi yale mabomu yaliyopiga rwanda kagame akawa analilia UN kama mbuzi unafikiri ni kifua cha nani?

Mokala, the fact that Rwanda did not act on the provocation by DRC forces does not mean that they are cowards. From my experience i know rwandese are not cowards.
 
Bwana joka kuu unafikiri utafanyaje wakati congo haitaki kuwapa amnesty tena congo adhabu ya muasi ni kifo hapo nikuana tu, bora wakubali waelewane yaishe.

We jamaa mbona unapotosha sana?
Kabila kahutubia sana, na wapiganaji wote wamesamehewa na wanatakiwa kujisalimisha wao na Silaha zao zote,
Ila kwa wale wenye makoza ya Kiviza VIONGOZI zaidi ya 50/100 wa M23 hao wataend akujibu kesi zao huko ICC na kwingineko kwani Msamaha huo ni nje ya Rwanda, unafikiri wanajeshi wa FIB na MONOSCU walio uwawa na M23 wakiwa kwenye mission ya UN watapata wapi haki yao kama sio ICC na mahakama zingine xza kimataifa?
 
Ona wenzenu wanasaini madeal ya pesa nyingi nyinyi -->## #WHAT WE GET IS IN GOV'T SECRET, AND THIS IS FOR GENUINE AND PARMANENT ELECTRICITY FOR DRC, INCLUDING POWERFULL ARMY BASE WITH MODERN ARTiLLARY.SO THAT RESOURCE THIEVES CAN'T SUCCESS ANY MORE
 
THE REPORT OF IT IS OUT, NOT FARDC but M23 who fired.

Mokala, the fact that Rwanda did not act on the provocation by DRC forces does not mean that they are cowards. From my experience i know rwandese are not cowards.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…