Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Bwana Flash Hider, usijiweke wazi sana. usimwamini kila mtu kwenye mtandao huu mpaka uwe na uhakika naye sana. Wapo agents wengi wa PK hapa ambao wanaweza wakakuona sawa na wale wanajeshi wetu waliowapa kichapo hao wabakaji wanaojulikana kama M23.

Lakini na nyie mnadharau sana,yani unaona Kagame atapoteza muda wake kufuatilia huyo muuza vijiwe? kwanza story zenyewe ni copy paste hana lolote jipya aliloleta,story zake zote kazitoa kwenye magazeti ya kongo na wapinzani wa serikali ya kagame,so asiwe na wasiwasi.
 
Lakini na nyie mnadharau sana,yani unaona Kagame atapoteza muda wake kufuatilia huyo muuza vijiwe? kwanza story zenyewe ni copy paste hana lolote jipya aliloleta,story zake zote kazitoa kwenye magazeti ya kongo na wapinzani wa serikali ya kagame,so asiwe na wasiwasi.

ukiona damu ujue mnyama kachinjwa!
 
Hahahahahahaha....chama cha ukombozi. Cha kukukomboa wewe? Utasubiri sana. Utarudi Rwanda kwa pingu tu wakati tunakupeleka kwenye mahakama ya ICTR kujibu mashtaka. Unasikia wewe interahamwe.

hiyo mahakama ya ICTR ipo nchi gani vile?????
 
[video=youtube_share;p4MFzrdJr2Q]http://youtu.be/p4MFzrdJr2Q[/video]

[video=youtube_share;9k0I2-z4bOQ]http://youtu.be/9k0I2-z4bOQ[/video]
 
[h=1] M23 BOSS BADLY SI[/h]
  • M23 Boss Col. Makenga is Feared to be Carrying the HIV Virus as Ugandan Govt gets Worried he Might Die in its Custody, Plans to Relocate Him to Another Country Takes Form
By Fred Daka Kamwada & Agencies
Col sultan Makenga is a slender man in his late 30s, who walks with a limp, weighs about 55 kilograms, the same light-weight kilograms as Gen Laurent Nkunda of the CNDD another rebel group that was a precursor to the M23, is hard to predict.He doesn't look like an ambitious military leader like so many rebel leaders. He speaks fluent Swahili with a soft touch but doesn't seem to know a word of English or French. He virtually looks lazy and clueless and doesn't seem to have the shrewdness akin to rebel leaders or the fortitude associated with rebel leaders. There are whispered rumours that he carries the HIV Aids virus which he could have contracted during the years they plundered eastern Congo and raped many.

Source: www.investigator.co.ug
 
Hata mimi nimewaeleza kuwa story hizi nazitoa kwenye vyanzo mbalimbali za habari mojawapo magazeti. Bila shaka hata wewe unatumia njia hiyo, labda uwe M23 member. Najua nimekukera sana wewe pamoja na jamaa zako wengine wenye msimamo kama wako, lakini nia yangu ni kuelezana ukweli. Nashukuru kwa ushauri wa kutojiweka wazi sana maana hawa jamaa wanaweza kunimaliza na hii wanayoiita COPY AND PASTE yangu.

Lakini na nyie mnadharau sana,yani unaona Kagame atapoteza muda wake kufuatilia huyo muuza vijiwe? kwanza story zenyewe ni copy paste hana lolote jipya aliloleta,story zake zote kazitoa kwenye magazeti ya kongo na wapinzani wa serikali ya kagame,so asiwe na wasiwasi.
 
Hapa mimi ninawasisi na uhai wa EAC. Inawezekana kinachotafutwa kikishindikana kupatikana, basi wanaweza kuhama kama wanavyofanya sasa.


Mkuu wanajaribu kuingia congo kwa mlango mwingine. Pengine kuna mathaifu huko central maana huku east kimenuka kwa rwanda. Hv ndio nafikirja. Wewe unaonaje
 
Jamani karibuni DRC kuna fursa nyingi sana. Kwa nini jamaa wa West Africa wawe wengi hapa kuliko Wabongo? Kama issue ni usalama sasa hivi mambo shwari kabisa. Mkuu MKAMASIMBA upo wapi? Tunaomba update ya afya ya GEneral Makenga.
 
Jamani karibuni DRC kuna fursa nyingi sana. Kwa nini jamaa wa West Africa wawe wengi hapa kuliko Wabongo? Kama issue ni usalama sasa hivi mambo shwari kabisa. Mkuu MKAMASIMBA upo wapi? Tunaomba update ya afya ya GEneral Makenga.

Mkuu fursa gani zinapatikana huko tuje kuangalia ustarabu mana mi niko boda apa tunduma af kuna wakongo weng sana
 
Kaka ni kweli kabisa sasa FARDC na majeshi ya UN yameanza operesheni zake dhidi ya FDLR. Mapigano yameanza eneo la Pinga (about 60 km from Goma). Tunashindwa kupata updates zake kuhusu uwanja wa vita kutokana na umbali. Ila nimeambiwa kuwa kuna wapiganaji zaidi ya 4000 walijisalimisha kutoka makundi mbalimbali. Hali hiyo inakuja kama hofu baada ya M23 kupata kipigo.Jambo moja muhimu ni kuwa nasikia hatimaye M23 na serikali wamesaini mkataba huko Nairobi. Nimeambiwa serikali ya DRC imewaban M23 na kukuibali kuwa amnesty si kwa wote bali individual bases. Weale wenye makosa watafikishwa mahakamani. Hapa Makenga ana hali mbaya. Pia nasikia wamekubaliana kurejesha vifaa na silaha zote mali ya DRC vilivyovushwa kuingia DRC na Uganda. Updates za azimio hilo nitawapa soon.
Mkuu FLASH HIDER; nasikia (BBC) MUNUSCO imenza kupambana na waasi wa FDRL, naomba updates
 
Flash Hider
umekuwa mtu muhimu sana kwa wafuatiliaji wa jukwaa hili. Ubarikiwe.
 
Ahsante sana FLASH HIDER maana tamko la amani ni ushindi kwa DRC. Lakini kwanini mwenyeji wao amekuwa Uhuru na si M7 kama ilivokuwa? (Kwanini yamefanyika Nairobi na si Uganda). Pia FARDC na MUNUSCO wakiwadefeat FDRL hawaoni utakuwa ushindi zaidi kwa serikali ya Kagame?
 
Ni kweli kuwa huu ni ushindi mkubwa kwa serikali kwani imafanikiwa yale iliyokuiwa inauyataka. Kwanza ilikataa kusaini "agreement" bali ni "declaration". Pili ni term zote ilizozitaka zimekubaliwa na kusainiwam. Kwa mantiki hii tinaweza kushudia Makengha akirejeshwa DRC na kufikishwa mahakamani. Kuhusu uenyeji ni kweli amekuwa Uhurui na si M7. Waliamua ICGLR na SADC wasaini kwa pamoja na siku nzuri ni ile ya Uhuru wa 'Kenya ambapo viongozi wengi watakutana pamoja. Na azimio hilo limesainiwa na M7(ikiweakilisha ICGLR) na mama Banda (SADC). Kuhusu FDLR kwa mtazamo wangu ni kuwa suala hilo ni la kisiasa ili kui- please Rwanda ambayo imekuwa ikiituhumu DRC kuwasaidia FDLR. Nia ni DRC kuwa huru dhidi ya makundi yenye silaha. Kwa jinsi hali ilivyo bila shaka TZ itsingis kwenye records za kumaliza mgogoro wa DRC kama ilivyokuwa kwa Commoro na nchi nyingine.
Ahsante sana FLASH HIDER maana tamko la amani ni ushindi kwa DRC. Lakini kwanini mwenyeji wao amekuwa Uhuru na si M7 kama ilivokuwa? (Kwanini yamefanyika Nairobi na si Uganda). Pia FARDC na MUNUSCO wakiwadefeat FDRL hawaoni utakuwa ushindi zaidi kwa serikali ya Kagame?
 
Back
Top Bottom