umetupatia habari njema sehemu kubwa uliyosema imebidi niende kwenye source zangu at least 90% upo sahihi,turushie picha hata moja tuu kuonyesha hali halisi ilivyo,
una habari zozote kwanini Malawi wamechelewa kufika Goma?
Naomba unitajie fursa zilizoko hapo hasa upande wa madini?
una habari zozote kwanini Malawi wamechelewa kufika Goma?
Naomba unitajie fursa zilizoko hapo hasa upande wa madini?