MUKAMASIMBA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,655
- 362
Sina haja ya kusoma dua. Kagame has watutsi wenzake pia wanaompinga ma yeye ana act au anafanya yale anayoyafanya because he has Museveni na others (watutsi) who are advising him on matters concerning peace and looting in the DRC. You kill him, those behind the curtain will stop and point fingers toone another whilst their clown is long gone. Think about it.
Kweli watu wengine hamjui nani kiongozi na nani muuaji nenda rwanda uulize wananchi wa tabakazote jinsi walivyo na maisha mazuri ambayo hawajawahi ya shuhudi kwa marais walio mtangulia,wewe una pokea information kwa hao wauaji na wezi wa pesa zanchi walio jificha tz na sehemu zingine na kujustify mtazamo wako kwa kagame,please nenda kwa ground ujionee.