Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Mimi sijabisha hayo nasema kwamba and I am sticking to my point that Kagame ni kikwazo katika ukanda huu wa Afrika. Yeye na Museveni wakiendelea kuishi ukanda wetu wa Afrika hautakuwa na amani which will give al shabab nguvu zaidi ya kushambulia Kenya na zitazuka chaos za hajabu hajabu tu kiasi kwamba wananchi wengi watateseka. Uganda kuna wanyarwanda wengi sana wakimbizi na wengi wao wanamlalamikia Kagame na utawala wake ila wakiwa Rwanda hawawezi kulalamika kuogopa kunyongwa na kufungwa. Sasa jiulize watu kama hawa wakipata fursa ya kumpindua Kagame na kumfanyia maovu unafikiri watamwachia? People are tired na the day will come tu. Watutsi walikimbia Rwanda na kuishi nje ya nchi toka 1959 mpaka 1994.....kwa nini wahutu waliopo Uganda na DRC pamoja na European diaspora wasijipange upya (which they do) kuja kuichukua Rwanda? Kumbuka vita vya kikabila ni sawa na vita ya kidini kwani wanaoshindwa wanakuwa hawakubali matokeo.

hawa jamaa hawataki kuuamini ukweli huu mchungu na mara wahutu wakigain power ya kigali hamna wakuwaonea tena watusi huruma kwani walishapata nafasi ya kuuonyesha ulimwengu wakaitumia kuangamiza jamii nyingine
 
Nikikutazama unamatatizo makuu mawili ni mtu mwenye roho mbaya na tena unawivu hupendi kuona mtu mwingine akiendelea,unamchukia pk anaishi kwa mali zako?

Siyo mali zangu, ni mali zinazopatikana kwa kumwaga damu ya wa Congo, na kwa Taarifa yako M23 wakishang'olewa Congo ndiyo itakuwa mwanzo wa kuteteleka kwa uchumi wa Rwanda. Wanya Rwanda lazima mjue Mungu hakukusudia Kivu iwe mali yenu, acheni Tamaa, hizo tamaa zenu zitaja wapelekea muutamani hata mkoa wa Kagera kama Id Amin kitu kitachopelekea JWTZ iwagonge wanajeshi wa Rwanda, na ikumbukwe kwamba wanyarwanda mmeumbika kwakweli
 
Mhutu Pasteur Bizimungu mlimfanya nini? na DRC mnatafuta nini?

Huyu bizimungu alikua raisi wa kwanza wa serikali ya RPF lakini kwa sababu za hao watu wa ulaya walianza kumdanganya akatoka katika mstari akaanza kutaka kuleta mambo ya ukabila ndio kuwekwa kando,rwanda haiko congo lakini congo kuna wauaji FDLR waliojihami kisilaha ambao wakotayari kuishambulia rwanda wakiungwa mkono na france,congo,sadic na UN,kwahiyo usalama wa rwanda uko hatarini,sasa hawajamaa mipango yao huwa inatatizwa na hao watusi wa congo kwani na wao vilevile wana athiliwa na FDLR kwakua rais wa rwanda ni mtusi basi watu hu conclude kwamba watusi wa congo ni watu wa kigali hiyo ndio sababu rwanda ina changanywa katika sakata la congo.
 
Mimi sioni nikwa jinsi gani kagame na museveni wanachangia usalama mdogo afrika mashariki,al shabab kuishambulia kenya na fikiri yanatokana na uhusiano wa amerika na kenya sio m7 na pk,hao walio nje ni percentage ndogo ya wanyarwanda tena sio wote wanaopinga selikali ya rwanda,wengi wa hao wapinzani ni watu wasio kubaliana kisiasa,wengie walishiriki mauaji na wengine wezi walio toroka mkono wa sheria,naweza kukuambia kitu kidogo tu,mara baada ya kuingia madarakani kuna watu walio kamata ardhi kubwa kwasababu walikua na connection na utawala wa sasa na kagame hakulifuraia hilo ilibidi awanyanganye na kupatia wanchi hizo aridhi basi wengi wahao watu walio nyanganywa walikimbia nchi nakuanza kusema ni dikteta yeye ni mtu wa watu,hao siotishio sana,tukija kwa amani ya afrika hawa watu wako mstali wambele kupambana na ukoloni mambo leo na hili wazungu hawalifurahii ndio maana nchi za kiafrika zinatumiwa kubomoana ndio sababu utaona muungano wa nchi za afrika haita wezekana,ukichukulia mfano wakaribu EAC.

watu tunajua tunachokiandika, wanyarwanda waliolazimishwa ukimbizi na kagame ni bomu linalosubiri kulipuka, sema vizuri usikike kupambana na ukoloni mambo leo kwa kuvamia mataifa mengine? Rwanda inaongoza kwa kupokea misaada mingi kutoka mataifa ya ulaya magharibi kama fidia ya kusaidia uporaji wa maliasili ya DRC hili ni wazi na wala halina mjadala, Kagame aliyewekwa madarakani kwa msaada wa FBI hawezi kuwa mpinga ukoloni mambo leo hta siku moja, rwanda tangu uhuru haina historia ya kuupinga ukoloni mambo leo ndani na nje ya rwanda. stuka
 
Watu mnamatatizo hamtaki kuusikia ukweli,majibu yangu yote yanaambatana na comment niyotaka kujibu,watusi,kagame ni nyie mnao ileta humu jamvini kuhusu ujasusi hapo mnajidanganya,mimi siyo jasusi,ukweli najua haufurahishi wengi kwani wengi humu wanataka kusikia wanavyo taka wao kusikia,nasema watusi kwani wao ndio target ya wauaji,na sema kagame ni kiongozi bora na shupavu anaye thamini utu na uafrika.
Lindeni ajira zenu nyie watusi, tumikia kafiri upate ujira wako.
 
Siyo mali zangu, ni mali zinazopatikana kwa kumwaga damu ya wa Congo, na kwa Taarifa yako M23 wakishang'olewa Congo ndiyo itakuwa mwanzo wa kuteteleka kwa uchumi wa Rwanda. Wanya Rwanda lazima mjue Mungu hakukusudia Kivu iwe mali yenu, acheni Tamaa, hizo tamaa zenu zitaja wapelekea muutamani hata mkoa wa Kagera kama Id Amin kitu kitachopelekea JWTZ iwagonge wanajeshi wa Rwanda, na ikumbukwe kwamba wanyarwanda mmeumbika kwakweli

Nafikiri uchumi wa nchi sio madini bali ni kua na viongozi wenye uwezo wakuongoza nchi na hicho rwanda inacho kuna nchi nyingi zenye madini lakini mpaka sasa ni masikini ikiwemo tz,nafikiri kwasasa rwanda ina vision nzuri na inawatu walio serious tena amani ndogo congo inaathiri uchumi wa rwanda kwani congo ikitengamaa rwanda itafaidika kwa kufanya business nayo lakini kwa sasa utajiri unaenda kwa watu wachache na ambao hawachangii lolote kwa ukuaji wa uchumi wa rwanda .
 
Huyu bizimungu alikua raisi wa kwanza wa serikali ya RPF lakini kwa sababu za hao watu wa ulaya walianza kumdanganya akatoka katika mstari akaanza kutaka kuleta mambo ya ukabila ndio kuwekwa kando,rwanda haiko congo lakini congo kuna wauaji FDLR waliojihami kisilaha ambao wakotayari kuishambulia rwanda wakiungwa mkono na france,congo,sadic na UN,kwahiyo usalama wa rwanda uko hatarini,sasa hawajamaa mipango yao huwa inatatizwa na hao watusi wa congo kwani na wao vilevile wana athiliwa na FDLR kwakua rais wa rwanda ni mtusi basi watu hu conclude kwamba watusi wa congo ni watu wa kigali hiyo ndio sababu rwanda ina changanywa katika sakata la congo.

kwa asili DRC haina kabila la watusi, wote ni wakimbizi waliohifadhiwa baada ya vita ya mwaka 1959 na kuendelea HADI 1994 na hili ndio tatizo kubwa la DRC pale kagame anapotaka kuwatimua wenyeji kutoka kivu ya kaskazini na kuanzisha bahima empire ya watusi hili haliwezi kukubalika na ulimwengu uliostarabika. FLDR ni wanyarwanda walionyimwa haki ya kuishi nchini mwao kwa kuhofiwa kumwondoa kagame na genge lake la kitusi madarakani. FLDR ni mchanganyiko wa wahutu na watusi wasiopenda udikteta na ukandamizaji wa kagame.
 
Kitu ambacho nimegundua nikwamba watu wengi hawana information kuhusu jinsi ufaransa iliendelea kuandaa na kusupport FDLR ndani ya kongo mpaka leo,imetoa mafunzo,silaha na fedha kwa FDLR hilo linatambuliwa,sasa kwakua M23 iko against FDLR ndio maana hawa jamaa wameikomalia tatizo hamtaki kuelewa hiyo connection.
Mkuu,Hiyo quote uliyoifanya na majibu uliyotoa ni too irrelevant.Kwa hio kwa sababu ufaransa ili wa train FDLR ninyi mkaamua kuifadhili M23? Gentleman,two wrongs does not make a right.And why should france need to go to Rwanda? kwa sababu ya U francophone?? really...come on ...be serious chap...too low arguments
 
watu tunajua tunachokiandika, wanyarwanda waliolazimishwa ukimbizi na kagame ni bomu linalosubiri kulipuka, sema vizuri usikike kupambana na ukoloni mambo leo kwa kuvamia mataifa mengine? Rwanda inaongoza kwa kupokea misaada mingi kutoka mataifa ya ulaya magharibi kama fidia ya kusaidia uporaji wa maliasili ya DRC hili ni wazi na wala halina mjadala, Kagame aliyewekwa madarakani kwa msaada wa FBI hawezi kuwa mpinga ukoloni mambo leo hta siku moja, rwanda tangu uhuru haina historia ya kuupinga ukoloni mambo leo ndani na nje ya rwanda. stuka
Serilali ya sasa inalijua hilo kwani wana experience yake na ndio maana wanafanya iwezekanavyo ku poza hali hiyo kwa kuunganisha watu kwani wengi wako inje kwa sababu ya uoga wabure tu walifikiri patakua kulipiza kisasi,lakini wako makini kwahilo it is aprocess huwezi geuza mind za mtu siku moja,sijui kama unafuatilia speech za kagame ungeweza gundua kua ni panafrikan,rwanda haipokei misaada mingi kutoka kwa nchi za ulaya kwa sababu hizo.
 
kwa asili DRC haina kabila la watusi, wote ni wakimbizi waliohifadhiwa baada ya vita ya mwaka 1959 na kuendelea HADI 1994 na hili ndio tatizo kubwa la DRC pale kagame anapotaka kuwatimua wenyeji kutoka kivu ya kaskazini na kuanzisha bahima empire ya watusi hili haliwezi kukubalika na ulimwengu uliostarabika. FLDR ni wanyarwanda walionyimwa haki ya kuishi nchini mwao kwa kuhofiwa kumwondoa kagame na genge lake la kitusi madarakani. FLDR ni mchanganyiko wa wahutu na watusi wasiopenda udikteta na ukandamizaji wa kagame.

Mkuu naona historia ya rwanda unaijua kwa undani sana. Au na wewe ndio wale wale wa 1994?
 
Mkuu,Hiyo quote uliyoifanya na majibu uliyotoa ni too irrelevant.Kwa hio kwa sababu ufaransa ili wa train FDLR ninyi mkaamua kuifadhili M23? Gentleman,two wrongs does not make a right.And why should france need to go to Rwanda? kwa sababu ya U francophone?? really...come on ...be serious chap...too low arguments

Wewe nafikiri umeshindwa kuelewa mfaransa ana interest gani na kuishambulia rwanda kwasababu huelewi interest za ufaransa afrika,mfaransa usicheze na lugha yake,nakutokana na jeuri ya rwanda mfaransa ameanza kupoteza influence katika nchi ambazo alikua akizitawala wengi wameanza kumchallenge na kwayeye kuipatisha adabu rwanda nikutaka kutoa message kwa hizo nchi zingine,na kingine ni ushiriki wao katika genocide in 1994 wanataka hiyo kashifa ifutike so long hii serikali itakua madarakani hiyo case ya mauaji ya kimbali itakua palepale.
 
nafikiri mukamasimba atafurahi maana anapenda sana sifa za kijinga

Wapi nimepewa sifa?na hizo sifa za kijinga nizipi? najua always ukweli unauma,yani watu wamekomalia rwanda,rwanda,mtusi,mtusi,kagame,eti wanaleta matatizo congo liinchi lenyewe kubwa,hata mnashindwa kuangalia tatizo halisi la congo ni uongozi na kujichanganya kwa wazungu katika siasa za congo,hivi pakija tokea vita za ndani tanzania kutokana na siasa mbovu mtaanza kusema ni rwanda,please rwanda ni nchi ya amani hawana muda wakuingilia siasa za mataifa mengine matatizo waliyo nayo yakuunganisha wanyarwanda yanatosha.
 
hawa jamaa hawataki kuuamini ukweli huu mchungu na mara wahutu wakigain power ya kigali hamna wakuwaonea tena watusi huruma kwani walishapata nafasi ya kuuonyesha ulimwengu wakaitumia kuangamiza jamii nyingine

Lakini lini muhutu alimuonea huruma mtusi?watusi ndio wanajaribu kuonyesha wahutu kwamba wao nitofauti hawana haja ya revange,na nikweli wahutu wakichukua madaraka hawatakua na huruma na watusi na hilo ndio agenda ya france na sadic,lakini this time watusi hawata tega mashingo ili wakatwe bali watajitetea kwa hali na mali pindi wakijaribu kurudisha wauaji madarakani,cha muhimu ni dunia kuipa muda serikali ya sasa ili iweze kuelimisha wanyarwanda kuishi pamoja kwa amani na kuachana na itikadi za kimbali.
 
Wewe nafikiri umeshindwa kuelewa mfaransa ana interest gani na kuishambulia rwanda kwasababu huelewi interest za ufaransa afrika,mfaransa usicheze na lugha yake,nakutokana na jeuri ya rwanda mfaransa ameanza kupoteza influence katika nchi ambazo alikua akizitawala wengi wameanza kumchallenge na kwayeye kuipatisha adabu rwanda nikutaka kutoa message kwa hizo nchi zingine,na kingine ni ushiriki wao katika genocide in 1994 wanataka hiyo kashifa ifutike so long hii serikali itakua madarakani hiyo case ya mauaji ya kimbali itakua palepale.

Kwa hio mfaransa anapigania LUGHA? Kwamba Rwanda waongee kifaransa? Really,that is your argument.? Be serious bana. Kwa sababu hizo ulizosema hapo juu ndipo Rwanda ikaamua kuwafadhili M23 kuisumbua amani ya Congo......katika stori zako sioni kosa la Congo..........so why u guys mna disturb amani ya Sovereign DRC state?
 
Lakini lini muhutu alimuonea huruma mtusi?watusi ndio wanajaribu kuonyesha wahutu kwamba wao nitofauti hawana haja ya revange,na nikweli wahutu wakichukua madaraka hawatakua na huruma na watusi na hilo ndio agenda ya france na sadic,lakini this time watusi hawata tega mashingo ili wakatwe bali watajitetea kwa hali na mali pindi wakijaribu kurudisha wauaji madarakani,cha muhimu ni dunia kuipa muda serikali ya sasa ili iweze kuelimisha wanyarwanda kuishi pamoja kwa amani na kuachana na itikadi za kimbali.

Hapa umeleta Agenda nyingine tena ya SADC.....SADC nao wana interest gani Rwanda? Kwa hio SADC nzima inapambana na nyie......Security Council ya UN inapambana na nyie........Nchi yenyewe haina kitu ......unataka kuniambia wote hawa ni wajinga wabebwe tu...Really?
 
kwa asili DRC haina kabila la watusi, wote ni wakimbizi waliohifadhiwa baada ya vita ya mwaka 1959 na kuendelea HADI 1994 na hili ndio tatizo kubwa la DRC pale kagame anapotaka kuwatimua wenyeji kutoka kivu ya kaskazini na kuanzisha bahima empire ya watusi hili haliwezi kukubalika na ulimwengu uliostarabika. FLDR ni wanyarwanda walionyimwa haki ya kuishi nchini mwao kwa kuhofiwa kumwondoa kagame na genge lake la kitusi madarakani. FLDR ni mchanganyiko wa wahutu na watusi wasiopenda udikteta na ukandamizaji wa kagame.
Sikubaliani na wewe kwani congo ya sasa imetokana na mipaka iliyotiwa na wakoloni,lakini hapo mwanzo ilikua pori bila mpaka na eneo la kivu wakati mmoja liliku chini ya utawala wamfalme wa rwanda,hapa kua na mipaka nakubali kuna watusi wa 1959 lakini wengi walirudi rwanda lakini kuna hao wa zamani kabla ya mipaka 90%ya wakazi wa kivu kaskazini wanaongea kinyarwanda,kingine hakuna kabila ya mtusi au muhutu kabila ni mnyarwanda.
 
mkuu FLASH HIDER hongera sana kwa kazi nzuri.najua huwezi kukubari kuwa wewe "asset agent" wetu hapo goma,dah ila wewe mkareee jooo.
miaka kumi c mchezo..u must have gathered lot of intels bout m23.
 
Last edited by a moderator:
Hapa umeleta Agenda nyingine tena ya SADC.....SADC nao wana interest gani Rwanda? Kwa hio SADC nzima inapambana na nyie......Security Council ya UN inapambana na nyie........Nchi yenyewe haina kitu ......unataka kuniambia wote hawa ni wajinga wabebwe tu...Really?

SADC wao nikichekesho wao wako pale kulinda interest za south afrika,south afrika ana contracts za uchimbaji madini kivu na mafuta,M23 inaonekana kua kikwazo kwani wao hawakubaliani na contracts zinazo fanywa na kabila kwani eneo lakivu linabaki masikini wakati wana madini na kwakua kuna hiyo connection ya utusi wanafikiri jeuli ya kuchallenge kabila wanaitoa rwanda,lakini niyakawaida kwa wa mtwara wangeweza kuchallenge tz kwa silaha wenda mungesema anapata msaada toka musumbiji kutokana na umakonde.
 
pk akubali kupokea wanyarwanda wote bila kujali hutu/tutsi watoke drc no matter wamekaa miaka 50 au zaidi warudi nyumbani yao wajenge nchi yao,leadership mean you combine all that have diff idea you put them together in the manner of one things one heart and one spirit BUT PK GOES ANTICLOCKWISE he believe in separation egoism and brutality
 
Back
Top Bottom