Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

SADC wao nikichekesho wao wako pale kulinda interest za south afrika,south afrika ana contracts za uchimbaji madini kivu na mafuta,M23 inaonekana kua kikwazo kwani wao hawakubaliani na contracts zinazo fanywa na kabila kwani eneo lakivu linabaki masikini wakati wana madini na kwakua kuna hiyo connection ya utusi wanafikiri jeuli ya kuchallenge kabila wanaitoa rwanda,lakini niyakawaida kwa wa mtwara wangeweza kuchallenge tz kwa silaha wenda mungesema anapata msaada toka musumbiji kutokana na umakonde.

Hapa tunazunguka point....All this does not justify Rwanda ninyi wanyarwanda kuitetea M23.............m23 Wanapata wapi silaha? mtwara walileta upinzani hawakuwa na silaha...hao M23 wanapata wapi silaha? Na ni kwa nini kwa sababu ni watutsi wawe linked na Rwanda? huko Rwanda hakuna wahutu? au bado mambo yenu ya ukabila mnayaendeleza?

SADC.....Specifically Tanzania iko makini sana kujiingiza sehemu katika missions za UN........Amani ya Congo ni muhimu kwa ukanda wa SADC ambayo DRC ni mwanachama wake....SADC ina haki ya kumlinda mwanachama mwenzake kutokana na threat yoyote ile.....M23 ni waasi .....Serikali halali ni ya Kabila...SADC inatetea serikali halali......hata kama kuna internal weaknesses ndani ya serikali ya Congo...ni lazima SADC iisaidie DRC.....Sasa inashangaza sana ninyi waheshimiwa wa Rwanda mnawatetea waasi wanaopigana na serikali halali.......How comes msiandamwe na dunia nzima?

SADC kama jumuiya ya kimaendeleo inakaribisha investments between member countries...SA kuwa na migodi DRC sio dhambi kwa kuwa imeingia mikataba na serikali HALALI Ya DRC......Ndio maana hata huku Tanzania kuna makampuni mengi tu ya South Africa....Sasa how Comes kikundi cha waasi cha M23 kilazimishe kukalia sehemu ya Sovereign state na kuanza kujichimbia madini....That is un acceptable duniani kote...Cha ajabu Rwanda ndio ina wa support
 
pk akubali kupokea wanyarwanda wote bila kujali hutu/tutsi watoke drc no matter wamekaa miaka 50 au zaidi warudi nyumbani yao wajenge nchi yao,leadership mean you combine all that have diff idea you put them together in the manner of one things one heart and one spirit BUT PK GOES ANTICLOCKWISE he believe in separation egoism and brutality

Man ....you have given out a very brilliant point.
 
Sikubaliani na wewe kwani congo ya sasa imetokana na mipaka iliyotiwa na wakoloni,lakini hapo mwanzo ilikua pori bila mpaka na eneo la kivu wakati mmoja liliku chini ya utawala wamfalme wa rwanda,hapa kua na mipaka nakubali kuna watusi wa 1959 lakini wengi walirudi rwanda lakini kuna hao wa zamani kabla ya mipaka 90%ya wakazi wa kivu kaskazini wanaongea kinyarwanda,kingine hakuna kabila ya mtusi au muhutu kabila ni mnyarwanda.

Hapa napo unajichanganya....Kama DRC haikuwepo basi na Rwanda haikuwepo..........
 
Sikubaliani na wewe kwani congo ya sasa imetokana na mipaka iliyotiwa na wakoloni,lakini hapo mwanzo ilikua pori bila mpaka na eneo la kivu wakati mmoja liliku chini ya utawala wamfalme wa rwanda,hapa kua na mipaka nakubali kuna watusi wa 1959 lakini wengi walirudi rwanda lakini kuna hao wa zamani kabla ya mipaka 90%ya wakazi wa kivu kaskazini wanaongea kinyarwanda,kingine hakuna kabila ya mtusi au muhutu kabila ni mnyarwanda.

HAHAHAAA, don't break my ribs cause of laughter. Mbona huwa mnajifariji mkisema mauaji ya kimbari dhidi ya watusi na hamsemi genocide against wanyarwanda? Hivi nyie mnadhani umoja wa kitaifa ndani ya Rwanda utakuja kwa kufuta makabila ya watu ili kuwafanya wahutu wasahau kabila lao? Hamwezi kutafuta jinsi ya kuwa na umoja, ushirikiano na upatano wa kitaifa huku kila mtu akiwa anatambua na kujivunia kabila lake? Hakuna kabila linaloitwa mtanzania, mnyarwanda , mburundi au mzambia. Hiyo ni gia tu ya kutaka kuwapumbaza wahutu na watwa wasistukie agenda zenu za kutaka kuwakalia kimabavu.
 
Wadau hasa flash hider na mukamasimba kwanza nawakubali kwa ufafanuzi wenu mzuri. Kwakuwa mmeonyesha kuwa wawazi kwetu me swala langu ni dogo tu nani aliyehusika hasa na mauaji ya Kabila (senior) ambae mtoto wake kwasasa ndio rais wa congo? Je, ni kweli mtoto wake (rais wa sasa) anahusika? Naomba ufafanuzi wenu jamani!

Kaka ukiunganisha dotts, utagundua kuwa Rwanda inahusika katika hilo. Ujue kifo chake kilikuja muda mfupi baada ya yeye kuwaondoa wananyarwanda wote ambao walikuwa ni washauri wake. Kumbuka Waziri wa Ulinzi wa sasa wa Rwanda Bw James Kabelebe alikuwa ndiyo Mkuu wa Majeshi hapa DRC. Mtoto wake sidhani kama ulihusika..
 
This is a big lesson to me! kabila ya mtusi au muhutu kabila ni mnyarwanda. Ingawa sina uhakika lakini nadhani si kweli.

Hakuna Kabila bal
HAHAHAAA, don't break my ribs cause of laughter. Mbona huwa mnajifariji mkisema mauaji ya kimbari dhidi ya watusi na hamsemi genocide against wanyarwanda? Hivi nyie mnadhani umoja wa kitaifa ndani ya Rwanda utakuja kwa kufuta makabila ya watu ili kuwafanya wahutu wasahau kabila lao? Hamwezi kutafuta jinsi ya kuwa na umoja, ushirikiano na upatano wa kitaifa huku kila mtu akiwa anatambua na kujivunia kabila lake? Hakuna kabila linaloitwa mtanzania, mnyarwanda , mburundi au mzambia. Hiyo ni gia tu ya kutaka kuwapumbaza wahutu na watwa wasistukie agenda zenu za kutaka kuwakalia kimabavu.
 
Kaka ukiunganisha dotts, utagundua kuwa Rwanda inahusika katika hilo. Ujue kifo chake kilikuja muda mfupi baada ya yeye kuwaondoa wananyarwanda wote ambao walikuwa ni washauri wake. Kumbuka Waziri wa Ulinzi wa sasa wa Rwanda Bw James Kabelebe alikuwa ndiyo Mkuu wa Majeshi hapa DRC. Mtoto wake sidhani kama ulihusika..

Flash hider hili swali langu lina tatizo au hulioni kiongozi samahan lakin km ntakua nimekukwaza in one way or another
 
Nimewahi kusoma sehemu au kuambiwa na jamaa kuwa huenda suala la kutoruhusu Watu wengine warudi Rwanda ni kutokana na udogo wa nchi ukilinganisha na idadi ya watu. Population density (wastani wa idadi ya watu wanaoishi katika Kila kilometa moja ya mraba) ya Rwanda ya sasa (2013) ni 430, Tanzania ni 51, DRC ni 30. Wakirudi hao mnadhani wataishi vipi na wapi baada ya miaka 10 ijayo? Ujue kama nilivyosema resorces pia ni chache Rwanda. Nasikia ndiyo maana TZ ilikataa ajenda ya ardhi kwa kulitabua hili mapemaaa. (I stand to be correctec)


pk akubali kupokea wanyarwanda wote bila kujali hutu/tutsi watoke drc no matter wamekaa miaka 50 au zaidi warudi nyumbani yao wajenge nchi yao,leadership mean you combine all that have diff idea you put them together in the manner of one things one heart and one spirit BUT PK GOES ANTICLOCKWISE he believe in separation egoism and brutality
 
MUKAMASIMBA hajielewi, anasema kabla mipaka haijawekwa na wazungu watutsi walikuwa wanajipitia tu ndiyo wakaingia Kivu lkn ni watutsi na nyie Rwanda mnawajua haswa, sasa kwanini msiende kuwachukua ndugu zenu muwarudishe nyumbani muwaambie acheni vita kwenye nchi ya watu kama wale wahutu wanavyotaka kurudi nyumbani lkn Kagame na wewe hamtaki warudi nyumbani??
Mfano wa nyie kutotaka kurudi nyumbani na kuleta vita kwenye nchi ya watu ndiyo kilichopelekea tukawafukuza haraka sana huku TZ(nadhani uliona wengine 30yrs in TZ) kwa sababu hamna adabu ya kuishi na mtu mwingine zaidi ya nyie wenyewe, Historically mnajieleza vizuri sana.
Huu umoja mliojiundia wa EAC nyie wanyarwanda ndiyo mtauvunja wenyewe kwa sababu ya ubinafsi na ututsi wenu, kamfano kadogo tu EAC headquater Arusha ukimkuta myarwanda(mtutsi) anafanya kazi pale unamkuta ana dereva kutoka kwao, housegirl/boy kutoka kwao mpaka secretary awe wa kwao sasa hii ni shida kubwa mtakapokutana face to face na Mkenya.
Cha msingi, mwambieni Kagame arudishe watu wenu hm na awafundishe tabia nzuri ya kuishi na watu wengine ambao siyo watutsi mkiweza hilo mtaishi na majirani vizuri sana na mtakaribishwa otherwise mtapigwa TU.
 
Last edited by a moderator:
Bro bila shaka nimekujibu. Unajua tunatofautiana saa moja kati ya TZ na hapa GOMA. Ndo nimefika ofcn.

Flash hider hili swali langu lina tatizo au hulioni kiongozi samahan lakin km ntakua nimekukwaza in one way or another
 
Hivyi ninvyoandika ninaangalia TV hapa, miji yote ambayo ilikuwa imekaliwa na M23 imekwishachukuliwa na FARDC. Kanzia Kiwanja, Rumangabo, Katale, Kibati (ulichukuliwa siku nyingi) yote ipo chini ya FARDC. Wamebakiza mji wa BUNAGANA ambapo ni mpakani kabisa na Uganda. Bila shaka kufikia Kesho mtasikia M23 imekwisha. Tuombe yasitokee tena mauaji kwa JWTZ maana naambiwa wanafanya kweli huko front.


Asante sana FLASH Kwa habari motomoto. Je? Rwanda Uchumi wao unategemea nini? Wanapitisha makontena ya madini hapa Tanzania na moja limewahi ibiwa na lilipatikana na thamani yeke ilikuwa ni kubwa sana, Wana migodi wapi Wanyarwanda? Ni bidhaa gani kutoka Tanzania zina Fursa DRC na Bidhaa Gani za DRC zina Fursa Bongo? Ninaweza kuja Goma Kibiashara na Kurudi salama pamoja na SINTOFAHAMU Hiyo ya Vita vinavyoendelea????

 
Maneno haya yana ukweli ndani yake ila Kaka ni makali sana.

MUKAMASIMBA hajielewi, anasema kabla mipaka haijawekwa na wazungu watutsi walikuwa wanajipitia tu ndiyo wakaingia Kivu lkn ni watutsi na nyie Rwanda mnawajua haswa, sasa kwanini msiende kuwachukua ndugu zenu muwarudishe nyumbani muwaambie acheni vita kwenye nchi ya watu kama wale wahutu wanavyotaka kurudi nyumbani lkn Kagame na wewe hamtaki warudi nyumbani??
Mfano wa nyie kutotaka kurudi nyumbani na kuleta vita kwenye nchi ya watu ndiyo kilichopelekea tukawafukuza haraka sana huku TZ(nadhani uliona wengine 30yrs in TZ) kwa sababu hamna adabu ya kuishi na mtu mwingine zaidi ya nyie wenyewe, Historically mnajieleza vizuri sana.
Huu umoja mliojiundia wa EAC nyie wanyarwanda ndiyo mtauvunja wenyewe kwa sababu ya ubinafsi na ututsi wenu, kamfano kadogo tu EAC headquater Arusha ukimkuta myarwanda(mtutsi) anafanya kazi pale unamkuta ana dereva kutoka kwao, housegirl/boy kutoka kwao mpaka secretary awe wa kwao sasa hii ni shida kubwa mtakapokutana face to face na Mkenya.
Cha msingi, mwambieni Kagame arudishe watu wenu hm na awafundishe tabia nzuri ya kuishi na watu wengine ambao siyo watutsi mkiweza hilo mtaishi na majirani vizuri sana na mtakaribishwa otherwise mtapigwa TU.
 
Man ....you have given out a very brilliant point.

Mbona rwanda inafanya hivyo,lakini ujue watu wengine inabidi wabadili ideology zao sana sana hao wauaji,na wanakaribishwa na kupelekwa shule ka ya miezi sita ili kuwafundisha jinsi ya kuishi nawenzao.
 
This is a big lesson to me! kabila ya mtusi au muhutu kabila ni mnyarwanda. Ingawa sina uhakika lakini nadhani si kweli.

Hakuna Kabila bal

Kabila lina tambuliwa na lugha,sasa awe mtusi au muhutu anaongea kinyarwanda hakuna kitusi au kihutu,tofauti ni kwamba watusi ni wafugaji na wahutu wakulima hakuna tofauti ya lugha sasa hiyo iliendelea hata wale ambao hawana nifugo waliuwawa just because wanazaliwa na hao wafugaji.
 
Nadhani humu JF kuna walimu wazuri sana wanaoelewa historia vizuri. Tufundisheni jamani.

Hapa tunazunguka point....All this does not justify Rwanda ninyi wanyarwanda kuitetea M23.............m23 Wanapata wapi silaha? mtwara walileta upinzani hawakuwa na silaha...hao M23 wanapata wapi silaha? Na ni kwa nini kwa sababu ni watutsi wawe linked na Rwanda? huko Rwanda hakuna wahutu? au bado mambo yenu ya ukabila mnayaendeleza?

SADC.....Specifically Tanzania iko makini sana kujiingiza sehemu katika missions za UN........Amani ya Congo ni muhimu kwa ukanda wa SADC ambayo DRC ni mwanachama wake....SADC ina haki ya kumlinda mwanachama mwenzake kutokana na threat yoyote ile.....M23 ni waasi .....Serikali halali ni ya Kabila...SADC inatetea serikali halali......hata kama kuna internal weaknesses ndani ya serikali ya Congo...ni lazima SADC iisaidie DRC.....Sasa inashangaza sana ninyi waheshimiwa wa Rwanda mnawatetea waasi wanaopigana na serikali halali.......How comes msiandamwe na dunia nzima?

SADC kama jumuiya ya kimaendeleo inakaribisha investments between member countries...SA kuwa na migodi DRC sio dhambi kwa kuwa imeingia mikataba na serikali HALALI Ya DRC......Ndio maana hata huku Tanzania kuna makampuni mengi tu ya South Africa....Sasa how Comes kikundi cha waasi cha M23 kilazimishe kukalia sehemu ya Sovereign state na kuanza kujichimbia madini....That is un acceptable duniani kote...Cha ajabu Rwanda ndio ina wa support
 
Sidhani kama nina sifa hizo. Hebu fuatilia mchango wa wengine humu, utagundua kuna watu wanaelewa sana masuala ya dunia hasa ukanda wetu huu.

mkuu FLASH HIDER hongera sana kwa kazi nzuri.najua huwezi kukubari kuwa wewe "asset agent" wetu hapo goma,dah ila wewe mkareee jooo.
miaka kumi c mchezo..u must have gathered lot of intels bout m23.
 
No comment


ndoto za mchana kuamini 98% ya wanyarwanda wapo chini ya kagame hata watusi wanaomuunga mkono kagame ni chini ya 30% na ndiyo maana FLDR inapata nguvu kila kunapokucha. Kitanuka kigali muda si mrefu yupo wapi generali nyaumba aliyenusurika kuuwawa na kagame? tusemeje kuhusu mshirika wake wa karibu aliesaidia sana RPF kuingia madarakani mr Bizimungu? ni bomu linalosubiri kupasuka mmefanikiwa kumdhibiti yeye lakini mawazo yake yapo katika mioyo ya wanyarwanda ambayohamtaweza kuyafuta kwa ukabila wenu kamwe
 
Mlipofika si pazuri sana. Tuwe na uvumilivu wa ndimi zetu

These are just some of the evidence on Kagame. The guy is a brutal killer and remember he will never say I have killed but will always hide the truth only his aides will come forward with true stories. Take a look:

Kagame the African Adolf Hitler.(Has killed 7Millions of people so far). - YouTube

Who will bring Kagame to Justice???? - YouTube

PAUL KAGAME KILLED PRESIDENT JUVENAL HABYARIMANA CIUT radio - Canada Part1 - YouTube

PAUL KAGAME BELONGS TO ICC - YouTube
(kwa wasiojuwa kifaransa. Hii ya mwisho wananchi wa afrika wa canada wanaandamana na kumpinga Kagame na kusema kuwa ni yeye ndiye muuaji wa marais wa Burundi na Rwanda pamoja na Mze Kabila bila kusahau maelfu ya watu wa ukanda huo na huyu mama anasema kila mtu anajuwa hivyo kuwa Kagame ni muuaji).
 
Back
Top Bottom