MUKAMASIMBA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,655
- 362
Kama huyu jamaa anayesema wanyarwanda waende kuchukua ndugu zao walio kivu,kivipi?hao ni wakongomani mipaka waliikata wakabaki upande wa pili,mbona hamuwarudishi wajaruo mkiwaita wakenya? au wamakonde mkiwaita wamusumbiji? kama munataka kurudisha hao wanao ongea kinyarwanda nafukiri itakua vizuri wakirudi na aridhi ya mababu zao.