Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Kama huyu jamaa anayesema wanyarwanda waende kuchukua ndugu zao walio kivu,kivipi?hao ni wakongomani mipaka waliikata wakabaki upande wa pili,mbona hamuwarudishi wajaruo mkiwaita wakenya? au wamakonde mkiwaita wamusumbiji? kama munataka kurudisha hao wanao ongea kinyarwanda nafukiri itakua vizuri wakirudi na aridhi ya mababu zao.
 
Kaka tuwe wawazi, nini sababu ya msingi ya Kagame kuisaidia M23?

Mimi sioni nikwa jinsi gani kagame na museveni wanachangia usalama mdogo afrika mashariki,al shabab kuishambulia kenya na fikiri yanatokana na uhusiano wa amerika na kenya sio m7 na pk,hao walio nje ni percentage ndogo ya wanyarwanda tena sio wote wanaopinga selikali ya rwanda,wengi wa hao wapinzani ni watu wasio kubaliana kisiasa,wengie walishiriki mauaji na wengine wezi walio toroka mkono wa sheria,naweza kukuambia kitu kidogo tu,mara baada ya kuingia madarakani kuna watu walio kamata ardhi kubwa kwasababu walikua na connection na utawala wa sasa na kagame hakulifuraia hilo ilibidi awanyanganye na kupatia wanchi hizo aridhi basi wengi wahao watu walio nyanganywa walikimbia nchi nakuanza kusema ni dikteta yeye ni mtu wa watu,hao siotishio sana,tukija kwa amani ya afrika hawa watu wako mstali wambele kupambana na ukoloni mambo leo na hili wazungu hawalifurahii ndio maana nchi za kiafrika zinatumiwa kubomoana ndio sababu utaona muungano wa nchi za afrika haita wezekana,ukichukulia mfano wakaribu EAC.
 
Mlipofika si pazuri sana. Tuwe na uvumilivu wa ndimi zetu

Hawa jamaa wanahasira za bure tu,hawautaki ukweli,hizo articles zimeandikwa na wapinzani wa pk na zingine sponsored by france ili kuharibu sura ya pk,utakua hittler ukaishi dunia yaleo? hizo ninjama za watu wachache,rwanda hivi inaongozwa vizuri na wananchi wanaufurahia uongozi wake.
 
Ndugu zanguni hasa Watanzania,

Mimi ni mtanzania ninafanya biashara zangu huku DRC Goma kwa muda mrefu. Ninaishi hapa GOMA na nimekuwa nikisafiri kwenda sehemu mbalimbali ndani ya DRC.

Nimekuwa nikifuatilia mijadala kuhusu mgogoro wa M23 na serikali ya DRC, nimegundua watu wengi hawapo informed on what is going on.


Sasa kwa wale wenye swali au chochote wanachotaka kujua kuhusu mgogoro huu, mapigano yanayoendelea, na ushiriki na mapokeo ya WaKongo kuhusu JWTZ, mnaweza kuniuliza.

Nipo hapa kwa karibu miaka kumi na mbili sasa, bila sahaka nina kitu kipya ambacho huenda ninaweza kuwahabarisha.

Eti wewe siyo mpiganaji wa M23?,tunasikia kuna wanajeshi watanzania waliostaafu wenye asili ya kibanyamulenge wako huko wanatoa mafunzo ya kijeshi kwa M23 sambamba na kupigana vita kutaka kumega ardhi ya DRC kuanzisha himaya ya wahima huko DRC,Rwanda na Uganda?.
 
Hilo ni shamba la bibi.......tena mwambieni huyo mr. dhaifu siku nyingine akome kuingilia 'ma deal' ya warlods, tena ana bahati sana, siku nyingine yatamtokea puani, mbona walio mtangulia hawakufanya hivyo?
 
Unaweza kuamini Waziri wa Ulinzi wa sasa wa Rwanda, James kabarebe, amewahi kuwa Congo DRC Defence Chief of Staff! Pia ndiye aliyeanzisha Vita ya pili ya Congo!

Halafu Rwanda inasema haihusiki na yanayotekea Congo!
Unpacking Rwanda
 
Hata mimi namkubali kwa baadhi ya masuala. Lakini hili la kuisaidia M23, sikubaliane nae kabisa. Pia ajenda yake ndani ya DRC inatufadhaisha wengi.

Kagame mi namkubali yaani..hata kama kuna mengine ambayo c mazuri kayafanya.ana mipango mizuri anajaribu kufanya vile vinaendana na mazingira yake..i salute u tall tree.!
 
Hili ni kweli kabisa. Baada tu ya Kabila (baba) kuwataka warejee kwao, vita ikaanza iliyopelekea kifo chake. Hapo dotts zinaonesha kuwa Rwanda ina mchango katika kifo Kabila baba.

Unaweza kuamini Waziri wa Ulinzi wa sasa wa Rwanda, James kabarebe, amewahi kuwa Congo DRC Defence Chief of Staff! Pia ndiye aliyeanzisha Vita ya pili ya Congo!

Halafu Rwanda inasema haihusiki na yanayotekea Congo!
Unpacking Rwanda
 
Sikubaliani na wewe kwani congo ya sasa imetokana na mipaka iliyotiwa na wakoloni,lakini hapo mwanzo ilikua pori bila mpaka na eneo la kivu wakati mmoja liliku chini ya utawala wamfalme wa rwanda,hapa kua na mipaka nakubali kuna watusi wa 1959 lakini wengi walirudi rwanda lakini kuna hao wa zamani kabla ya mipaka 90%ya wakazi wa kivu kaskazini wanaongea kinyarwanda,kingine hakuna kabila ya mtusi au muhutu kabila ni mnyarwanda.

Unataka kumaanisha kuwa kabla ya kuja kwa wakoloni wa kizungu Congo haikuwepo hila Rwanda ilikuwepo na ilikuwa inatawala mpaka North Kivu!!??, kama ulikuwa na maana hii basi wewe/nyinyi ni Kansa ya Shingo.
Au lah!, ulikuwa unamaanisha watawala wa kihima wa kitusi wa enzi hizooo!?,, kama ndivyo, kwahiyo mnataka kuirudisha mikononi mwenu tena itawaliwe kutoka Rwanda na wahima wa Kigali??.
Ndio maana tunasema nyie sio watu wema, ni manyang'au.
Vipi kuhusu Kagera si nasikia na hii ilikuwa yenu mliitawala kwa raha zenu?,, njooni basi muichukuwe, tuwarudishe kwenye ufukara wa kutupwa.
 
Kaka huku GOMA tunasema MALEMBE (taratibu).

Hilo ni shamba la bibi.......tena mwambieni huyo mr. dhaifu siku nyingine akome kuingilia 'ma deal' ya warlods, tena ana bahati sana, siku nyingine yatamtokea puani, mbona walio mtangulia hawakufanya hivyo?
 
Mr.Freeland,unauliza M23 wanatoa wapi siaha?kwanza hawa watu niwapiganaji wasiku nyingi tangu enzi za kabila mkubwa,wamekua makamanda wa jeshi la kongo kwa muda murefu,wanapesa nyingi kutokana na biashara za madini,congo ina vikundi vingi vyenye silaha,wakati wote ukiwa na pesa silaha utazipata bila tabu,sasa sijui rwanda inahusikaje na kutoa silaha,nakubali SADC inaushirikiano wa kulindana lakini huko kulindana inabidi watu kua waangalifu isiwe kulindana kwa kukandamiza jamii fulani,kinachotakiwa nikusikiliza kiini cha tatizo na kulitatua sio vita,lakini congo wao wanasikia lugha ya bunduki,ndio sababu M23 wamekamata silaha ili jamii zao zipate amani ya kudumu waache kuwabagua.
 
Wanajeshi wa Tanzania? Sina taarifa hizo. Lakini logically nadhani haiwezekani. Unajua M23 chimbuko lake ni Rwanda. Sina kumbukumbu kama kumewahi kuwa na wanajeshi wa Tanzania huko Rwanda. Pia habari zote zilizopo hapa DRC zinaeleza Wanajeshi wa Rwanda. Leo hii kwenye magazeti ya leo hapa DRC wametoa vitambulisho vya wanayarwanda vilivyoachwa na wapiganaji wa M23.

Eti wewe siyo mpiganaji wa M23?,tunasikia kuna wanajeshi watanzania waliostaafu wenye asili ya kibanyamulenge wako huko wanatoa mafunzo ya kijeshi kwa M23 sambamba na kupigana vita kutaka kumega ardhi ya DRC kuanzisha himaya ya wahima huko DRC,Rwanda na Uganda?.
 
Unaweza kuamini Waziri wa Ulinzi wa sasa wa Rwanda, James kabarebe, amewahi kuwa Congo DRC Defence Chief of Staff! Pia ndiye aliyeanzisha Vita ya pili ya Congo!

Halafu Rwanda inasema haihusiki na yanayotekea Congo!
Unpacking Rwanda

Sasa kua alikua kiongozi kongo anahusikaje na vurugu za congo? hizo mai mai ni yeye anazipa silaha,nafikiri HIDER alijaribu kuligusia hili huko congo ni shamba la bibi kila tajiri anajeshi lake la kurinda migodi yake hata hao wazungu ndio kazi yao,kabarebe huyu niwajuzi tu mambo ya wapiganaji yalianza zamani,nafikiri tatizo M23 ni jeshi lililo organised lenye objectives ambazo zita wanyima hao wazungu kupora mali ya congo.
 
Kama huyu jamaa anayesema wanyarwanda waende kuchukua ndugu zao walio kivu,kivipi?hao ni wakongomani mipaka waliikata wakabaki upande wa pili,mbona hamuwarudishi wajaruo mkiwaita wakenya? au wamakonde mkiwaita wamusumbiji? kama munataka kurudisha hao wanao ongea kinyarwanda nafukiri itakua vizuri wakirudi na aridhi ya mababu zao.

wewe ni kiazi toka hapa, wewe si ulisema hiyo kivu ilikuwa chini ya wafalme wa Rwanda kwa maana hiyo Kivu kwa maana hiyo Kivu ni yenu au sio wewe!?? alikuwa mwenzako?, hiyo ID mnatumia wengi kama mdau mmoja alivyo tangulia kusema awali, ndio maana hamna kumbukumbu ya nini mwenzio kakiandika kabla ya zamu yako kufika.
Hayo makabila yetu uliyo yataja, hayana uchu wa kuigawanya nchi hii na wala hayatumiki kwa nchi nyingine kuihujumu TANZANIA. Toka hapa nyang'au weeee, manina...
 
mukamasimba,
Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani kuhusu hawa jamaa wanavyopata silaha. Mwezi wa saba ilitolewa taarifa ya Wataalamu wa UN iliyoeleza wazi kuwa M23 wanapata msaada wa vifaa na silaha kutoka Rwanda. Nitawawekea hapa. Usikatae suala la Rwanda kutoa msaada kwa M23 hilo lipo wazi.

Mr.Freeland,unauliza M23 wanatoa wapi siaha?kwanza hawa watu niwapiganaji wasiku nyingi tangu enzi za kabila mkubwa,wamekua makamanda wa jeshi la kongo kwa muda murefu,wanapesa nyingi kutokana na biashara za madini,congo ina vikundi vingi vyenye silaha,wakati wote ukiwa na pesa silaha utazipata bila tabu,sasa sijui rwanda inahusikaje na kutoa silaha,nakubali SADC inaushirikiano wa kulindana lakini huko kulindana inabidi watu kua waangalifu isiwe kulindana kwa kukandamiza jamii fulani,kinachotakiwa nikusikiliza kiini cha tatizo na kulitatua sio vita,lakini congo wao wanasikia lugha ya bunduki,ndio sababu M23 wamekamata silaha ili jamii zao zipate amani ya kudumu waache kuwabagua.
 
Wanajeshi wa Tanzania? Sina taarifa hizo. Lakini logically nadhani haiwezekani. Unajua M23 chimbuko lake ni Rwanda. Sina kumbukumbu kama kumewahi kuwa na wanajeshi wa Tanzania huko Rwanda. Pia habari zote zilizopo hapa DRC zinaeleza Wanajeshi wa Rwanda. Leo hii kwenye magazeti ya leo hapa DRC wametoa vitambulisho vya wanayarwanda vilivyoachwa na wapiganaji wa M23.

Kweli HIDER na wewe unakubaliana na hilo? Unajua wakati wote DRC ikipewa kichapo inataka kuonyesha eti nirwanda wakati ni M23 ,kweli kwa jinsi UN inavyo utafuta ushahidi wa rwanda katika mapigano kama nikweli wanaweza kutuma najeshi na vitu vinavyo weza kuwatambulisha?ndio maana wakati wote kongo inazua vitambulisho vya fake na kuambulia kuaibika.
 
Hebu nisaidieni tafsiri rahisi kwenye hii Taarifa ya Umoja wa Mataifa kuhusu Mgogoro wa DRC. Inapatinaka uki Google tu, Group of expert report 2012.
Support provided by the Government of Rwanda to M23​
6. The Government of Rwanda has continued to support M23 and other armedgroups in all categories of arms embargo violations previously documented by theGroup. Rwandan officials have provided military support to M23 through permanenttroop reinforcements and clandestine support through special forces units of thearmed forces stationed alongside the Congolese armed forces in Rutshuru for jointoperations. Officers of the Rwandan armed forces have also furnished the rebelswith weapons, facilitated the evacuation of casualties to Rwanda and sharedcommunication equipment with M23. Recruitment for M23 has continued inRwandan villages, former CNDP officers have joined the rebellion throughRwandan territory and Front patriotique rwandais (RPF) members have collectedfunds for the movement. Rwandan officials created the political branch andgovernment of M23 and provided political advice. M23 continues to be commandedby Gen. Bosco Ntaganda, a sanctioned individual who operates under the orders andguidance of Rwandan officials.7. Various Southern African Development Community, European, Ugandan andBurundian intelligence agents also confirmed the Group's findings concerning​
Rwandan violations of the embargo.

Sasa kua alikua kiongozi kongo anahusikaje na vurugu za congo? hizo mai mai ni yeye anazipa silaha,nafikiri HIDER alijaribu kuligusia hili huko congo ni shamba la bibi kila tajiri anajeshi lake la kurinda migodi yake hata hao wazungu ndio kazi yao,kabarebe huyu niwajuzi tu mambo ya wapiganaji yalianza zamani,nafikiri tatizo M23 ni jeshi lililo organised lenye objectives ambazo zita wanyima hao wazungu kupora mali ya congo.
 
Ndani ya Congo kuna jamaa zako Kagame na Museveni M23 jina hili hutokana na tarehe 23 Machi mwaka 2009, siku siku ambayo serikali ya Congo ilifikia makubaliano ya amani na kundi la waasi wa CNDP.
 
Ni kweli kabisa

Ndani ya Congo kuna jamaa zako Kagame na Museveni M23 jina hili hutokana na tarehe 23 Machi mwaka 2009, siku siku ambayo serikali ya Congo ilifikia makubaliano ya amani na kundi la waasi wa CNDP.
 
Back
Top Bottom