Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

Ninyi mna nchi yenu na ardhi yenu mbanane huko huko...kama mnazaana hovyo hovyo ndo mtajijua.....kuzaana mzaane nyie alafu muitake ardhi ya watu...si majanga hayo.......kama mnainyemelea ardhi ya Tanzania kamwe hamtaipata...Tanzania is our motherland...hatuwezi kujishusha kwa wengine eti muipate ardhi yetu...Sheria za Tanzania zitasimamiwa na kuheshimiwa...wahamiaji wote haramu tutafukuza ........Yes Tanzania is a super power...accept or deny it....Tanzania is far ahead kulinganisha na hizo nchi nyingine zinazonuka damu...Tanzania ina amani na mazingira mazuri yanayovutia wawekezaji....ni bora kuwa na wawekezaji wa ulaya kuliko wanuka damu wa Rwanda ,Kenya na Uganda.........wabinafsi,,,wenye wivu,wenye hila na wabaguzi......We watch your moves

Eti wawekezaji mwee mmejaza wachina kariakoo eti nao wanauza kama wamachinga TZ Bado sanaaaaa kudadeeek bado hamjaamka ni watu wa kulalamika lalamika tu miaka yote na Mji kama Dar es salaam ni chafu watu city centre mama wanauza maandazi stend ubungo stand ya daladala watu wametandika makapeti wanauza mboga WTF MAISHA HAYANA UTARATIBU BONGO YANI KILA KITU SIASA OBAMA ALIKUJA WAKAJIFANYA KUWAFUKUZA WAKASEMA HUO KAMPENI ITAENDELEA WAP NA WAP KESHO WATU WAKARUDI KUUZA KMA KUNA ARDHI WHY VIJANA WANAKIMBILIA DAR KILA SIKU WAMEKIMBIA VIJIJIN KWENYE ARDHI NZURI WAKO WALALA MJIJI KARIAKOO KWENYE MADUKA YA WAHINDI SERA YENU HATUIJUI WABONGO JE NI KILIMO KWANZA ....!!!!??!
 
Watanzania tunajiamini kwa tulichonacho..sisi sio watu wenye majivuno...sisi sio wabaguzi wa kikabila...sisi mikono yetu hainuki damu.....Tanzania ni nchi yenye amani ya pekee Afrika nzima.........Umasikini wa watanzania unakuuma nini wewe? kama nchi yetui maskini wanyarwanda mlikua mnatafuta nin i nchini kwetu? si unajua tumewatimua majuzi hapa......Mkuu...Tanzania ina heshima yake mkuu...Tanzania hua hatukurupuki...soon mtaisoma namba na kutambua kwamba TZ is the super power in this region......

We jamaa ni mtambo kweli heshima bila pesa ni bure umaskini ni shida super power ni america ni Tajiri super power sio maskini super power sio vijana kumaliza chuo kukosa ishu au maarifa ili ajiajiri elimu ya form4 ziro 70%.Rwanda hakuna ukabila ma nigga utofauti wa TZ na Rwanda ni kwamba Rwanda kwenye suala la uwajibikaji hakuna usela kama TZ na mtakua maskini mpka Yesu arudi......!!!!!!
 
Watanzania tunajiamini kwa tulichonacho..sisi sio watu wenye majivuno...sisi sio wabaguzi wa kikabila...sisi mikono yetu hainuki damu.....Tanzania ni nchi yenye amani ya pekee Afrika nzima.........Umasikini wa watanzania unakuuma nini wewe? kama nchi yetui maskini wanyarwanda mlikua mnatafuta nin i nchini kwetu? si unajua tumewatimua majuzi hapa......Mkuu...Tanzania ina heshima yake mkuu...Tanzania hua hatukurupuki...soon mtaisoma namba na kutambua kwamba TZ is the super power in this region......

Jibu la swali TZ NI EAC AU SADC....??????????
 
Watanzania tunajiamini kwa tulichonacho..sisi sio watu wenye majivuno...sisi sio wabaguzi wa kikabila...sisi mikono yetu hainuki damu.....Tanzania ni nchi yenye amani ya pekee Afrika nzima.........Umasikini wa watanzania unakuuma nini wewe? kama nchi yetui maskini wanyarwanda mlikua mnatafuta nin i nchini kwetu? si unajua tumewatimua majuzi hapa......Mkuu...Tanzania ina heshima yake mkuu...Tanzania hua hatukurupuki...soon mtaisoma namba na kutambua kwamba TZ is the super power in this region......

Utamu wa nchi Yenu ni shamba la Bibi kila mtu anakuja kula hapa kama kweli TZ ni super Power Membe amue maamuzi magumu ajitoe EAC na mfanye maamuzi magumu kuwatoa wahindi(Watanzania wenye asili ya asia kama mnavyowaita) upanga kudadeeek na hao mliowafukuza wana id za kupigia kura na hapa juz wamejiandikisha NIDA hapo sasa....
 
Eti wawekezaji mwee mmejaza wachina kariakoo eti nao wanauza kama wamachinga TZ Bado sanaaaaa kudadeeek bado hamjaamka ni watu wa kulalamika lalamika tu miaka yote na Mji kama Dar es salaam ni chafu watu city centre mama wanauza maandazi stend ubungo stand ya daladala watu wametandika makapeti wanauza mboga WTF MAISHA HAYANA UTARATIBU BONGO YANI KILA KITU SIASA OBAMA ALIKUJA WAKAJIFANYA KUWAFUKUZA WAKASEMA HUO KAMPENI ITAENDELEA WAP NA WAP KESHO WATU WAKARUDI KUUZA KMA KUNA ARDHI WHY VIJANA WANAKIMBILIA DAR KILA SIKU WAMEKIMBIA VIJIJIN KWENYE ARDHI NZURI WAKO WALALA MJIJI KARIAKOO KWENYE MADUKA YA WAHINDI SERA YENU HATUIJUI WABONGO JE NI KILIMO KWANZA ....!!!!??!

It doesnt matter.....Hao wachina wameweza kuwa kariakoo kwa sababu kuna opportunity...Afteral ni bora kuwa marafiki na Chinese lakini sio wanuka damu wa Rwanda.........Tanzania kuna multi billion investors...Bakhressa mwenyewe anakilisha hiko kimkoa chenu cha Rwanda....

My foot..yani itakuwa ajabu sana kwa kinnchi cha rwanda chenye size kama mkoa wa singida kuwa na guts za kubishana na the Giant Tanzania........Unajidanganya eti bongo hakuna Utaratibu.....kusingekua na utaratibu watu wangeshauana kama huko kwenu Rwanda.......Tanzania kuna utaratibu mzuri tu uliotuwezesha hata kuwatimua ninyi wazamiaji wa kirwanda...........Hii nchi inajielewa bana...hatukurupuki kama watoto wanaobalehe......mnapelekeshwa na Uhuru kenyatta mtu mwenye balehe saa hivi......ganja.

Rural Urban Migration ni kitu cha kawaida sana kipo duniani kote........ila kwa kimkoa chenu hicho kinaitwa Rwanda mmejazana hapoooo weeee...mtaenda wapi?

Yes...Ni kilimo kwanza and you know kwamba we feed the region...si unalijua hilo eeeeeh
 
Watusi(wanajiita wanyarwanda) wanawafundisha waTZ Demokrasie, Wanulize ati kwa nini hambadilishi chama kinachotawala na kila siku mnalala mika umasikini maisha magumu.

Wacha nicheke, Napita tuu hapa lakini maana inaelekea huko Rwanda kuna Demokrasia kubwa sana.
 
Utamu wa nchi Yenu ni shamba la Bibi kila mtu anakuja kula hapa kama kweli TZ ni super Power Membe amue maamuzi magumu ajitoe EAC na mfanye maamuzi magumu kuwatoa wahindi(Watanzania wenye asili ya asia kama mnavyowaita) upanga kudadeeek na hao mliowafukuza wana id za kupigia kura na hapa juz wamejiandikisha NIDA hapo sasa....

Tujitoe EAC kwa lipi? Sababu ipi hasa? hatutajitoa ng'oooooooooo...na tutaendelea kufanya mambo yetu kwa pace tunayoitaka sisi...Tujitoe kwa lipi hasa....ninyi wa kuja juzi mmeikuta Tanzania mnajifanya wajuajiiiiii....Tanzania ina experience ya kutosha kwenye mambo ya Muungano na challenge zake.....Afteral maoni ya watanzania ndio yanaongoza maamuzi ya serikali kuhusu cha kufanya katika jumuiya........mbona agenda ya ku fast track political federation mmeachana nayo baada ya mkwara wa TZ? Ile katiba yenu ya Federation inayoandikwa na wanuka damu watupu....The ICC candidates.....imefikia wapi?

TZ is a super power and it will remain so
 
We jamaa ni mtambo kweli heshima bila pesa ni bure umaskini ni shida super power ni america ni Tajiri super power sio maskini super power sio vijana kumaliza chuo kukosa ishu au maarifa ili ajiajiri elimu ya form4 ziro 70%.Rwanda hakuna ukabila ma nigga utofauti wa TZ na Rwanda ni kwamba Rwanda kwenye suala la uwajibikaji hakuna usela kama TZ na mtakua maskini mpka Yesu arudi......!!!!!!


Mkuu hebu chungulia huku basi List of countries by GDP (PPP) per capita - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Tujitoe EAC kwa lipi? Sababu ipi hasa? hatutajitoa ng'oooooooooo...na tutaendelea kufanya mambo yetu kwa pace tunayoitaka sisi...Tujitoe kwa lipi hasa....ninyi wa kuja juzi mmeikuta Tanzania mnajifanya wajuajiiiiii....Tanzania ina experience ya kutosha kwenye mambo ya Muungano na challenge zake.....Afteral maoni ya watanzania ndio yanaongoza maamuzi ya serikali kuhusu cha kufanya katika jumuiya........mbona agenda ya ku fast track political federation mmeachana nayo baada ya mkwara wa TZ? Ile katiba yenu ya Federation inayoandikwa na wanuka damu watupu....The ICC candidates.....imefikia wapi?

TZ is a super power and it will remain so

Mkuu Upo vizuri Hongera-"wanukaka damu"hii nimeipenda
 
Huo ndio ugonjwa wa watanzania kujisikia supper power katika EAC,super power juu ya ukubwa wanchi wenye mali nyingi zisizo faidia wanachi? jeshi kubwa lipiganalo bila msaada wa wengine? viongozi wenye hekima na kuonambali kiasi kwamba hawa waogopi wenzao EAC katika suala la ardhi? mimi sioni hiyo super power inatokea wapi,kujikomba kwa wazungu ndio super power? kwahilo naweza amini muko super power mnajua kuchongea wenzenu sana.
MUKAMASIMBA,

..taratibu kaka, naona umezungumza vitu vingi kwa wakati mmoja.

..now, which is which about Tanzanians? Tukikataa political federation mnasema "waoga." Tukisema sisi ni super power mnasema "tunajisikia."

..suala la ARDHI liacheni tu kama lilivyo. Suala hili linagusa hisia za watu kama masuala ya Wahutu vs Watutsi huko kwenu. Kwa msingi huo hebu mtupishe while we sort things out.

..kuhusu kujikomba kwa wazungu kila nchi ktk eneo hili kwa namna moja au nyingine inajikomba kwa wazungu. zaidi ya asilimia 30 ya bajeti za Tanzania na Rwanda inatokana na misaada ya wafadhili/wazungu kwa msingi huo sote tunajikomba huko na hakuna wa kumcheka mwenzake.

..kuhusu kuchongea hakuna aliyechongewa. hii ni dunia ya utandawazi u can not hide anything. zaidi, kama unazungumzia vikwazo ambavyo Rwanda iliwekewa hivi karibu lazima ukumbuke kwamba Kagame had an audiance with John Kerry na baada ya mkutano huo mkawekewa vikwazo. U had a chance to present ur case if u had any, but I guess it wasn't good or credible enough.

cc Consigliere
 
Last edited by a moderator:
Tujitoe EAC kwa lipi? Sababu ipi hasa? hatutajitoa ng'oooooooooo...na tutaendelea kufanya mambo yetu kwa pace tunayoitaka sisi...Tujitoe kwa lipi hasa....ninyi wa kuja juzi mmeikuta Tanzania mnajifanya wajuajiiiiii....Tanzania ina experience ya kutosha kwenye mambo ya Muungano na challenge zake.....Afteral maoni ya watanzania ndio yanaongoza maamuzi ya serikali kuhusu cha kufanya katika jumuiya........mbona agenda ya ku fast track political federation mmeachana nayo baada ya mkwara wa TZ? Ile katiba yenu ya Federation inayoandikwa na wanuka damu watupu....The ICC candidates.....imefikia wapi?

TZ is a super power and it will remain so

Basi muache kulalamika eti sisi hatukubali! nyie endeleeni na pace yenu lakini punguza kulalamika eti wenzenu wame watenga,kingine kuhusu experience labda ya kuvunja muungano iyo nawakubali kabisa 100% nawapa.
 
MUKAMASIMBA,

..taratibu kaka, naona umezungumza vitu vingi kwa wakati mmoja.

..now, which is which about Tanzanians? Tukikataa political federation mnasema "waoga." Tukisema sisi ni super power mnasema "tunajisikia."

..suala la ARDHI liacheni tu kama lilivyo. Suala hili linagusa hisia za watu kama masuala ya Wahutu vs Watutsi huko kwenu. Kwa msingi huo hebu mtupishe while we sort things out.

..kuhusu kujikomba kwa wazungu kila nchi ktk eneo hili kwa namna moja au nyingine inajikomba kwa wazungu. zaidi ya asilimia 30 ya bajeti za Tanzania na Rwanda inatokana na misaada ya wafadhili/wazungu kwa msingi huo sote tunajikomba huko na hakuna wa kumcheka mwenzake.

..kuhusu kuchongea hakuna aliyechongewa. hii ni dunia ya utandawazi u can not hide anything. zaidi, kama unazungumzia vikwazo ambavyo Rwanda iliwekewa hivi karibu lazima ukumbuke kwamba Kagame had an audiance with John Kerry na baada ya mkutano huo mkawekewa vikwazo. U had a chance to present ur case if u had any, but I guess it wasn't good or credible enough.

cc Consigliere

Wanyarwanda ni tofauti na tanzania kwa mbali sana katika kupewa misaada,mnyarwanda hapigi magoti kuomba hata sikumoja anakwambia kama unanipa pesa yako inabidi ifanye kitu hiki sio wao kuwapangia cha kufanya lakini wabongo ni ombaomba tu na tuliyaona wakati wa ujio wa obama watu wanaomba bila aibu.
 
Basi muache kulalamika eti sisi hatukubali! nyie endeleeni na pace yenu lakini punguza kulalamika eti wenzenu wame watenga,kingine kuhusu experience labda ya kuvunja muungano iyo nawakubali kabisa 100% nawapa.

..wa-Znz wanataka nchi yao, halafu coalition of the willing wanatuletea habari ya federation.

..i dont think u guys r serious. probably all u want to do is confuse Tanzanians.

..Membe is bogus, he is opposing the EAC for wrong reasons. ameshindwa nini kusema kuwa Tz iko kwenye mchakato wa katiba na hatuwezi kuji-commit kwenye mchakato wa katiba ya shirikisho la EAC??
 
Wanyarwanda ni tofauti na tanzania kwa mbali sana katika kupewa misaada,mnyarwanda hapigi magoti kuomba hata sikumoja anakwambia kama unanipa pesa yako inabidi ifanye kitu hiki sio wao kuwapangia cha kufanya lakini wabongo ni ombaomba tu na tuliyaona wakati wa ujio wa obama watu wanaomba bila aibu.

..at the end of the day sote ni ombaomba tu.

..hii safari ya Obama inaelekea imewauma sana. WHY?

..mimi naona safari ile haikuwa na maana yoyote ile kwa Tanzania, lakini Rwanda na Kenya are acting as if we took something frm them.
 
..at the end of the day sote ni ombaomba tu.

..hii safari ya Obama inaelekea imewauma sana. WHY?

..mimi naona safari ile haikuwa na maana yoyote ile kwa Tanzania, lakini Rwanda na Kenya are acting as if we took something frm them.

Hii safari ya obama ilitufurahisha sote kama waafrika lakini aibu ni ile kujidharaulisha kama waafrika tukiomba omba,kikwete alituaibisha sana.
 
Hii safari ya obama ilitufurahisha sote kama waafrika lakini aibu ni ile kujidharaulisha kama waafrika tukiomba omba,kikwete alituaibisha sana.

..sote tuko ktk kundi la ombaomba.

..sasa unapotudharau sisi nakuona wa ajabu kidogo.

..unakumbuka Kagame alipolalama kuhusu makao makuu ya AU kujengwa na Wachina, wakati na yeye kuna jengo la serikali in Kigali amepewa na haohao Wachina?

..again, bajeti za Tz na Rw zinafadhiliwa na mataifa ya magharibi by more than 30%. sasa tujadili jinsi ya kutoka katika tatizo hilo, na siyo kupoteza muda kushutumiana.
 
Basi muache kulalamika eti sisi hatukubali! nyie endeleeni na pace yenu lakini punguza kulalamika eti wenzenu wame watenga,kingine kuhusu experience labda ya kuvunja muungano iyo nawakubali kabisa 100% nawapa.

Mukamasimba achana na hawa jamaa hii nchi nimekaa zaidi ya miaka 30 naijua nje ndani sasa hawa wanapiga kelele as me ni mtalii nchi ya Tz haina utaratibu kilimo kwanza lakini matrekta yanatumika kubebea makontena kule DSM PORT ICD's pia hawa jamaa Watzn wana ugonjwa wa kumficha mgeni matatizo sasa hapa huyu jamaa freeland anasema Tz super power sijui wakali wa muungano kule zanzibar inawasumbua super power kwa magumashi trafiki bongo kila sehem wapo eti mpka mizani kuna trafiki polisi ya Tz inaongoza kww rushwa na hawa jamaa kila tatizo wanachukulia dogo et ooh nchi ina utaratibu wamama pale posta wanauza maandazi stend et maisha bora kuna watu ubungo wanauza stend pale serikali inawangalia Dar hyo pita manzese tandale buguruni vingunguti watu hoi hapo sijazungumza Foleni Urasimu kule Port mipakani.basi na America nae ananuka damu bt najua watanijibu kua America n mbali walivyo na akili ya Kidogo Tanzania nchi Isio na system na kama ina system basi ni mbovu ina virus .
Nimemaliza.
 
Mukamasimba achana na hawa jamaa hii nchi nimekaa zaidi ya miaka 30 naijua nje ndani sasa hawa wanapiga kelele as me ni mtalii nchi ya Tz haina utaratibu kilimo kwanza lakini matrekta yanatumika kubebea makontena kule DSM PORT ICD's pia hawa jamaa Watzn wana ugonjwa wa kumficha mgeni matatizo sasa hapa huyu jamaa freeland anasema Tz super power sijui wakali wa muungano kule zanzibar inawasumbua super power kwa magumashi trafiki bongo kila sehem wapo eti mpka mizani kuna trafiki polisi ya Tz inaongoza kww rushwa na hawa jamaa kila tatizo wanachukulia dogo et ooh nchi ina utaratibu wamama pale posta wanauza maandazi stend et maisha bora kuna watu ubungo wanauza stend pale serikali inawangalia Dar hyo pita manzese tandale buguruni vingunguti watu hoi hapo sijazungumza Foleni Urasimu kule Port mipakani.basi na America nae ananuka damu bt najua watanijibu kua America n mbali walivyo na akili ya Kidogo Tanzania nchi Isio na system na kama ina system basi ni mbovu ina virus .

Nimemaliza.

Sijakuelewa Point yako ni nini! Umeandika kama Mtoto wa darasa la kwanza,mwenzako huyo mukamasimba ameandika nimemuelewa maandiko yake,lakini wewe sijapata point yako vizuri.

Wewe umetokea nchi gani ya Africa ambayo haina matatizo kama Tanzania? maana kama ni Rwanda hata sisi wengine tumekaa sana na tunaijua sana tu tena mimi hata Mke wangu ni Mnyarwanda tena ni mtusi na wala simchukii na hana dharau kama nyie na akina Mukamasima,ndiyo maana nashangaa nyie watu wengine mnatoa wapi chuki na kiburi namna hiyo? kwanini siku zote hatujadili mambo ya maendeleo na jinsi ya kutatua matatizo yetu ktk nchi za kiafrica.

Basi kama wewe unatoka kwenye nchi ya neema sana,isiyo na rushwa,yenye uongozi mzuri,demokrasia na utawala bora unabahati kuwa ktk nchi hiyo.
 
Mukamasimba achana na hawa jamaa hii nchi nimekaa zaidi ya miaka 30 naijua nje ndani sasa hawa wanapiga kelele as me ni mtalii nchi ya Tz haina utaratibu kilimo kwanza lakini matrekta yanatumika kubebea makontena kule DSM PORT ICD's pia hawa jamaa Watzn wana ugonjwa wa kumficha mgeni matatizo sasa hapa huyu jamaa freeland anasema Tz super power sijui wakali wa muungano kule zanzibar inawasumbua super power kwa magumashi trafiki bongo kila sehem wapo eti mpka mizani kuna trafiki polisi ya Tz inaongoza kww rushwa na hawa jamaa kila tatizo wanachukulia dogo et ooh nchi ina utaratibu wamama pale posta wanauza maandazi stend et maisha bora kuna watu ubungo wanauza stend pale serikali inawangalia Dar hyo pita manzese tandale buguruni vingunguti watu hoi hapo sijazungumza Foleni Urasimu kule Port mipakani.basi na America nae ananuka damu bt najua watanijibu kua America n mbali walivyo na akili ya Kidogo Tanzania nchi Isio na system na kama ina system basi ni mbovu ina virus .
Nimemaliza.


  • Mkuu,Wewe Tanzania huijui na hauwezi kuijua….Kukaa miaka 30 sio kuijua Tanzania,,,,tena eti nje ndani…wewe huyu…..uijue TZ nje ndani ? Tanzania unayoifahamu wewe sio hii nchi yetu nzuri na ya kupendeza tunayoishi humu…….Tanzania is a beautiful country bana in all aspects……Ukitaka ku compare GDP and Per Capital Income tumewazidi kwa mbali sana ninyi Rwanda,Tuko vizuri katika mazingira ya uwekezaji ndio maana great nations in the world zimeonesha interest za zina heavy investments Tanzania…..Tuna upendo na Amani kati yetu……Tuna ushirikiano na hatuna ubaguzi.
  • Yes…Kilimo Kwanza ni sera yetu ya Sasa ya kufanya mapinduzi ya kilimo….Na tumefanya substantial Improvement….Stock yote ya Kwanza y a Pili nay a tatu ya Matrekta ya SUMA JKT Imeuzwa kwa wakulima….Na ujue kwamba Tanzania is feeding the whole region eeeh……Usisahau hilo mkuu.
  • Tanzania is a super power in this region…Accept or deny it….Kwa mfano katika fujo zenu hizi za balehe kwenye EAC Mwisho wa siku mtarudi kwa the giant Tanzania kuomba msaada wake…Time will tell…We just watch you……………Zanzibar tumekuwa katika muungano kwa nusu karne…..Tumeishi vyema sana ukiacha changamoto ndogo za Muungano ambazo hua zinafanyiwa kazi…..Ninyi makabila mawili tu mmeshindwa kukaa pamoja mkageuzana visusio……
  • Hilo la wamama kuwa posta mbona linakuuma sana…………Utaratibu upo ndio maana wanauza vitu vyao then wanaondoka…….Usilazimishe kama kwenu wamama hawaruhusiwi kuuza vitu maeneo yale na kwetu iwe hivyo…huo ni utaratibu wenu na huu ni utaratibu wetu……
  • Nyie hamna lolote watutsi wabaguzi ……..and we are not going to give u space hata ya kupumua katika economy yetu….Blood Stinking………..
  • We jamaa hata hujui kupanga argument zako……….
 
Back
Top Bottom