Godemae
Senior Member
- Sep 23, 2012
- 146
- 24
Ninyi mna nchi yenu na ardhi yenu mbanane huko huko...kama mnazaana hovyo hovyo ndo mtajijua.....kuzaana mzaane nyie alafu muitake ardhi ya watu...si majanga hayo.......kama mnainyemelea ardhi ya Tanzania kamwe hamtaipata...Tanzania is our motherland...hatuwezi kujishusha kwa wengine eti muipate ardhi yetu...Sheria za Tanzania zitasimamiwa na kuheshimiwa...wahamiaji wote haramu tutafukuza ........Yes Tanzania is a super power...accept or deny it....Tanzania is far ahead kulinganisha na hizo nchi nyingine zinazonuka damu...Tanzania ina amani na mazingira mazuri yanayovutia wawekezaji....ni bora kuwa na wawekezaji wa ulaya kuliko wanuka damu wa Rwanda ,Kenya na Uganda.........wabinafsi,,,wenye wivu,wenye hila na wabaguzi......We watch your moves
Eti wawekezaji mwee mmejaza wachina kariakoo eti nao wanauza kama wamachinga TZ Bado sanaaaaa kudadeeek bado hamjaamka ni watu wa kulalamika lalamika tu miaka yote na Mji kama Dar es salaam ni chafu watu city centre mama wanauza maandazi stend ubungo stand ya daladala watu wametandika makapeti wanauza mboga WTF MAISHA HAYANA UTARATIBU BONGO YANI KILA KITU SIASA OBAMA ALIKUJA WAKAJIFANYA KUWAFUKUZA WAKASEMA HUO KAMPENI ITAENDELEA WAP NA WAP KESHO WATU WAKARUDI KUUZA KMA KUNA ARDHI WHY VIJANA WANAKIMBILIA DAR KILA SIKU WAMEKIMBIA VIJIJIN KWENYE ARDHI NZURI WAKO WALALA MJIJI KARIAKOO KWENYE MADUKA YA WAHINDI SERA YENU HATUIJUI WABONGO JE NI KILIMO KWANZA ....!!!!??!