Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

Huwa credit inayombeba huyu msingapore ni kuwa ameshawahi kufanya kazi Goldman Sachs. So anapata vichwa vingi Sana. Yaani Kuna watu wanatishiaga wengine kuwa namna ya banks zinavyo trade ili kula vichwa.
Kuna mwingine nilimcheki majuzi akaanza na biti la kuwa nabeti kuwa hautoongalia mpaka mwisho hii video.[emoji3][emoji3].
Yaani bana trading raha Sana. Watu wanaonyesha trades zao jinsi walivyopiga hela nyingi Ila hajawahi onyesha muamala ulivyosoma bank from trading account.
Pia Kuna wengine Fulani Wana group la telegram wanaonyesha sijui ni demo mud a huo huo wanakuambia ujiinge na vip wanaitwa fxtrade1 sijui.
Huyo ni muingereza ila amehamishia ofisi yake singapore.

Kampuni yake anayofundishia inaitwa IPTM yupo yeye na mwenzake anaitwa Raj Malhotra wote walikuwa traders.

Kwa kiasi fulani yupo sahihi ila kwa kiasi kikubwa anakosea sana.
 
Huyo ni muingereza ila amehamishia ofisi yake singapore.

Kampuni yake anayofundishia inaitwa IPTM yupo yeye na mwenzake anaitwa Raj Malhotra wote walikuwa traders.

Kwa kiasi fulani yupo sahihi ila kwa kiasi kikubwa anakosea sana.
Asili yake sio Singapore lakini. Sio kuwa hapo anafundisha virago nyumbani kwao mkuu. Ila ukimcheki asili yake ni Kama akina Adam khoo ,Karen Foo,
 
Umeona gold imerudi so ilikuwa ni pull back Jana iyo mkuu. Hongera Kama umetoka na laki+ mzee. Ila saivi mie nipo nakomaa kwanza na mafunzo.kuna akaunti ya demo nilinza nayo ikiwa 800$ saivi iko 30k+ so nataka ikifika laki ndo nitie mzigo Mana soko lipo na halikimbii.
Hiyo demo imetumia muda gani kufika hapo? Kutoka $800 mpaka $30k
 
Asili yake sio Singapore lakini. Sio kuwa hapo anafundisha virago nyumbani kwao mkuu. Ila ukimcheki asili yake ni Kama akina Adam khoo ,Karen Foo,
Anton Kreil ni muingereza. Alienda US kufanya kazi.

Alipoacha akarudi uingereza badae ndo akafungua kampuni yake akaihamishia Singapore.

Huwa anazunguka maeneo mbalimbali kufundisha mf, london, thailand, new york.

Nimekuwa namfuatilia kwa miaka mitatu sasa.
 
Huyo ni muingereza ila amehamishia ofisi yake singapore.

Kampuni yake anayofundishia inaitwa IPTM yupo yeye na mwenzake anaitwa Raj Malhotra wote walikuwa traders.

Kwa kiasi fulani yupo sahihi ila kwa kiasi kikubwa anakosea sana.
Ila Kuna Ile lecture yake ya masaa mawili anadai kuwa anawasambazasambaza ama kuwavunjavunja ,kuwavua nguo mawakala wa trading ,yapo aliyoongea mazuri mengi Ila pia mengine ni chenga.
Wanaogopesha watu kuwa hii ulikuwaga ni Siri sema saivi tunaamua kuianikia dunia kila mtu aione na ajue.
Ni Kama Ontario alivyokuja na Ile tittle ya kuwa biashara ambayo benki haitaki uijue. Mbona sijaona Kama inakatazwa. Jamaa anakuwa kuwa mkweli Kama yeye ni motivational ama ni journalists ama ni educator, financial advisor,ama ib contractor.
Yaani weka watu wazi Kama unakijua kitu na sio kuwadanganya watu kisa bado Wana matongotongo usoni hawaoni.
Ujue ishi na mtu akija kuwa mkubwa akijitambua bado awe anakukubali.
 
Hiyo demo imetumia muda gani kufika hapo? Kutoka $800 mpaka $30k
Mkuu Nina kamuda Sana Nina lengo ikifika laki nitie kitu Kama Dola 2500 angalau nianze na mini lot ,Mana ndoto yangu aisee ni kufanya standard lot. Kama yule mtunzi wa Bible of trends trading anakuambia angalau uanze na 10k$ Kama kweli uko serious.
Yaani Kuna jamaa Wana tredi zile 300 lot mpaka nawamezea mate.
Ila kiukweli ukishafikia standard lot sijui Kama itakuzuia Nini kuwa bilionea..
 
Ila Kuna Ile lecture yake ya masaa mawili anadai kuwa anawasambazasambaza ama kuwavunjavunja ,kuwavua nguo mawakala wa trading ,yapo aliyoongea mazuri mengi Ila pia mengine ni chenga.
Wanaogopesha watu kuwa hii ulikuwaga ni Siri sema saivi tunaamua kuianikia dunia kila mtu aione na ajue.
Ni Kama Ontario alivyokuja na Ile tittle ya kuwa biashara ambayo benki haitaki uijue. Mbona sijaona Kama inakatazwa. Jamaa anakuwa kuwa mkweli Kama yeye ni motivational ama ni journalists ama ni educator, financial advisor,ama ib contractor.
Yaani weka watu wazi Kama unakijua kitu na sio kuwadanganya watu kisa bado Wana matongotongo usoni hawaoni.
Ujue ishi na mtu akija kuwa mkubwa akijitambua bado awe anakukubali.
Nikishaona mtu anaongelea strategy yake based on vitisho namuona kanjanja tu.

Nitamsikiliza ila badae najiondokea.

Ontario toka alivyoanza kujihusisha na wale South Africans nikajua basi mchezo kwisha.

Na hakuna kitu kibaya kama mwanafunzi amsikilize mwalimu kila kitu anachokisema. Vingine unatakiwa machale yakucheze ujiongeze.
 
Mkuu Nina kamuda Sana Nina lengo ikifika laki nitie kitu Kama Dola 2500 angalau nianze na mini lot ,Mana ndoto yangu aisee ni kufanya standard lot. Kama yule mtunzi wa Bible of trends trading anakuambia angalau uanze na 10k$ Kama kweli uko serious.
Yaani Kuna jamaa Wana tredi zile 300 lot mpaka nawamezea mate.
Ila kiukweli ukishafikia standard lot sijui Kama itakuzuia Nini kuwa bilionea..
Nadhani hujanijibu swali langu. Nataka kufahamu timeframe. Umeanza siku flani mpaka leo.

Kama hutajali naomba screenshot ya zile trade zako 10-20 za mwanzo baada ya kupewa hiyo demo account.
 
Mkuu Nina kamuda Sana Nina lengo ikifika laki nitie kitu Kama Dola 2500 angalau nianze na mini lot ,Mana ndoto yangu aisee ni kufanya standard lot. Kama yule mtunzi wa Bible of trends trading anakuambia angalau uanze na 10k$ Kama kweli uko serious.
Yaani Kuna jamaa Wana tredi zile 300 lot mpaka nawamezea mate.
Ila kiukweli ukishafikia standard lot sijui Kama itakuzuia Nini kuwa bilionea..
Muda gani sasa boss miezi au miaka
 
Nadhani hujanijibu swali langu. Nataka kufahamu timeframe. Umeanza siku flani mpaka leo.

Kama hutajali naomba screenshot ya zile trade zako 10-20 za mwanzo baada ya kupewa hiyo demo account.
aisee napiga ila naona nguvu nyingi sana natumia
 
Unashinda lumumba muda wote lazima ule mbanga
Akili cha kibavicha hizi!

Endelea kulalama kwamba huna ajira huku ukisubiri mama aachie hela mtaani muwe mnaokota wenzio tunapambana!

Kwa akili zako hizi lazima ukoo wako upukutike kwa umasikini.
 
Huwa credit inayombeba huyu msingapore ni kuwa ameshawahi kufanya kazi Goldman Sachs. So anapata vichwa vingi Sana. Yaani Kuna watu wanatishiaga wengine kuwa namna ya banks zinavyo trade ili kula vichwa.
Kuna mwingine nilimcheki majuzi akaanza na biti la kuwa nabeti kuwa hautoongalia mpaka mwisho hii video.[emoji3][emoji3].
Yaani bana trading raha Sana. Watu wanaonyesha trades zao jinsi walivyopiga hela nyingi Ila hajawahi onyesha muamala ulivyosoma bank from trading account.
Pia Kuna wengine Fulani Wana group la telegram wanaonyesha sijui ni demo mud a huo huo wanakuambia ujiinge na vip wanaitwa fxtrade1 sijui.
Group la telegram ninalo liaminia mimi ni yule jamaa wa GreenbabyPips basi,

Maana yeye chart ndio huwa inaongea
 
unapambana mpka lumumba

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Dogo!

Unaona hizi coments zote kwenye huu uzi? Hawa ni vijana wenzako tunapambana!

Wewe endelea kuwasikiliza hao uchwara wako kwamba kuna siku ukiwachagua watakuja kukujazia magunia ya hela hapo getoni kwako.

Ni aibu sana una haribu maana ya huu uzi,!
 
Dogo!

Unaona hizi coments zote kwenye huu uzi? Hawa ni vijana wenzako tunapambana!

Wewe endelea kuwasikiliza hao uchwara wako kwamba kuna siku ukiwachagua watakuja kukujazia magunia ya hela hapo getoni kwako.

Ni aibu sana una haribu maana ya huu uzi,!
utaendelea kumiss out entry na kula mbanga kama kawaida usipotenganisha muda wa lumumba na fx

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Group la telegram ninalo liaminia mimi ni yule jamaa wa GreenbabyPips basi,

Maana yeye chart ndio huwa inaongea
Nawapata hao nilikuwa nao nishajitoa mpaka babypips nimejitoa majuzi. Yaani nimefikia stage sitaki kusikiliza ama kukaribisha kelele toka nje. I need to make my own craft mkuu. Hchi hichi nilichokwishakifahamu niwe good at it.
Nakumbuka wakati nikiwa shule nilikuwa nachagua topics za kukomaa nazo kufa na kupona. Mana namuuliza mtu kuwa kwani unapozisoma zote huwa unajibu maswali yote mkuu.
Unanikumbuka Ile Congruence and similarity ya f2 muda huo Ina maksi 8 namwambia mtu achaana nayo fanya ivi pata hizo 92% basi.
Mpaka physics sijasoma electronics na nimesoma pcm.
Yaani nashukuru nilipofikia kuwa sihitaji guru Wala baba yake na guru. Am only God of myself.
Am sure am missing nothing just to craft my own and to control emotions that we get out.

Many can talk the talk but few can walk the walk when the real money is on line mkuu. Yaani tukianza kuchoma Moto hela zako ndipo hapo traders wanazaliwa Sasa wanaonekana Nani ni Nani Ila before we were good at talking blah blahhaa za kufa mtu.
Ni Nani anaweza akaitoa milioni yake aichenji iwe buku buku afu asimame juu ghorofani airushe chini aione watu wanaiokota. Na asiumie some ni kawaida.
Inshort hawapo na ndo Mana rate ya success katika trading ni 5% .

You need to have cold blood in veins.
 
Hapo zikianza kuchomwa demons zinatokea zile za automatic mfano unajitahidi uzirudishe. Ile revenge Mana hii Ipo tokea miaka billions ya maisha ya binadamu. Katika hapo kwenye ku revenge unachapwa zaidi.
Yaani mtu akipoteza 500$ akifika break even Ana close fasta , na huku lengo ingefika hata 2000$,
So mtu amekwisha revenge anasepa zake anaacha hela zikimwagika.
So mtu Ana trade due to pain or just to cool the pain ili awe na furaha.
 
Muda gani sasa boss miezi au miaka
Miaka mkuu sio miezi. Ina Mana hujajua kuwa waweza dabo account ndani ya siku. Yaani Kuna education nyingi sana tunaipata ambayo sio sahihi mkuu. In trading is just be ready to any sapraizi.
Yaani vitabu ni vingi Sana unaweza ukajaza fuso Ila vilivyo na elimu sahihi unavibeba mkononi.
Nachoshukuru nimefikia sehemu ambayo Kama nikisoma kitabu najua hichi ni Cha mwandishi,mfundishaji ama Cha trader.
Wengi tunaipata wrong education Sana Tena Sana smt ndo inayotufanya tunaiona hii makitu ni ngumu sana.
 
Nadhani hujanijibu swali langu. Nataka kufahamu timeframe. Umeanza siku flani mpaka leo.

Kama hutajali naomba screenshot ya zile trade zako 10-20 za mwanzo baada ya kupewa hiyo demo account.
Mkuu hapa nitajali Sana. I need to be professionalism ifanye kazi kwangu. Kwanza Jana baadaye nimeumia sijui kwa Nini nilituma zile picha za trades. In trade we need to humble and we should not to prove to someone that we're good at this.
Otherwise we grow our ego within ourselves.
Needless to prove something may be you're good at something.

Yaani ishu ni challenge kubwa Sana about our built in demons.

Kuna benki moja ya akina Lehman brothers walifilisikaga ivi ivi.
Jesse Livermore mwenyewe alijiuaga ,majuzi hapa Kuna dogo akajiua akapoteza 700k$.
Yaani smt we trade to prove to others.
Am sure wewe ni mwenyeji Kitambo kwa hili gemu.
 
Nikishaona mtu anaongelea strategy yake based on vitisho namuona kanjanja tu.

Nitamsikiliza ila badae najiondokea.

Ontario toka alivyoanza kujihusisha na wale South Africans nikajua basi mchezo kwisha.

Na hakuna kitu kibaya kama mwanafunzi amsikilize mwalimu kila kitu anachokisema. Vingine unatakiwa machale yakucheze ujiongeze.
Mkuu sio kuwa wewe ndiye Ontario Mana ule uzi mlikuwaga mnasapotiana Sana. Uko wapi saivi kwa hapa tz.
Yaani trading ni watu masikini wachache Sana wanaifanya inaonekana Kama ni utapeli.
Mana Kama Hawa account management wamejaa sana.
Wanachofanya nikiwa na akaunti mbili nabofya lot kubwa Sana kwa sell kwako na kwa mbususu nabofya buy so Kama kwako imeji double yule nimeunguza ,natumia ya kwako kutafuta wenye greed na kupata pesa ya haraka..
Mchezo unakuwa ni huo huo.kuna watu wanaifanya kazi hela za watu Mana za kwao ni za Moto kuzishika
 
Back
Top Bottom