Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

Hii nimekujibu Mana na tred usdcad,gbpusd,us30 na xauusd. Ndo pair zangu zingine ni nacheki tu Kama mtazamaji mwingine Ila hasahasa hizo za forex ndo nataka ziote kichwani mwangu. Gold na us30 huwa nakuwa nazo Mana during any world economy crisis you can make a fortune like March 2020 kacheki korona ilichoifanya us30. Yaani ilishuka from 29500 mpaka 18600 ivi.kuanzia figa ya tatu Sina uhakika Ila mbili za mwanzo Nina uhakika.
Mana Kuna wengine wao ni kumcheki makosa kukosoa ama kumu approve mtu wrong pia mie sio guru jamani. Bado ni newbie najifunza pia napenda Sana kukosolewa na sipendi niwe sahihi, yaani you can call me kilaza it's okay as long what I care is just to make my living out of market an sio kukufanya kuwa mie ni guru nianze kuwatoa watu hela mifukoni mwao.
Nachopenda ni kuwapa wengine haka kamwanga kadogo Sana kama chembe ya mbegu ya ulezi Mana haradani sijawahi kuiona kuhusu Forex wasije wakapigwa na wajue kuwa Kuna kazi utafanya nothing easy, nothing free,
Kweli ndugu kuna watu wanatabia ya kuchallenge mtu lakini kwa mtu ambaye anaelewa ,kwenye forex industry you can't be right all the time, sio kwamba market isipofata analysis zako ndio kuwa huelewi hapana.

Mimi wakati nimeanza kujifunza forex miaka michache hapo nyuma nilikuwa ni mtu mwenye tamaa sana, na tamaa yangu ilichochewa sana na first deposite niliyo ifanya ilikuwa 120$ nilipandisha kwa muda wa wiki hadi ikafika 800$,

Kuanzia hapo nikawa sijipi nafasi yaani sipumziki sio usiku sio mchana nikutrade tu halafu lotsize nilizokuwa nikiingia nazo kwenye soko nilikuwa najipa pips 50 au 60 kuchoma acc.

Ile market crush iliotokea 2018 kwenye pair zenye yen mfano gj ule usiku nilitengeneza 3500$ kupitia Gj kwa lot ya 0.5

But all in all hazikudumu nilianza kuzipoteza siku baada ya siku, soko likianza kunifundisha discipline taratibu taratibu, ile confidence ya kuweka lotsize kubwa ikapotea, kiukweli nimejifunza mambo mengi sana upande wa nidhamu.

Imefika mahala ili nichome acc nimejiwekea gap la pips 500 au zaidi now hata market ikiniendea vibaya hasara inakuwa ndogo, kwa uchumi wa bongo ukiwa hata na 3000$ ukawa unafukuzia profit ya 15$ hadi 20$ hata market ikienda vibaya ukapoteza 50$ bado ni stahimilivu.
 
Si unazijua correlated pairs katika world of trading lakini.
Hii itakusaidia Sana ukishajua. Mfano anaye tredi mafuta na cad ni kitu kimoja kwa movement,pia aud na gold is + correlated nzd and milk price milk.
Pia Kuna Kama pairs sita ziko very strong duniani.
Wakati hizi zikiwa bearish tatu zingine zinakuwa bullish and vice versa just to balance equilibrium ya uchumi wa dunia
Hizo ninazifahamu vizuri mkuu. Hata kwenye news mfano crude oil inventory huwa currency ya kwanza tunayoitazama ni Canadian dollar.

Kuna kipindi nadhani 2019 Gbpjpy na Gbpusd correlation btn hizo pair ilkuwa imefika 95 percent .zilikuwa zinachora maumbo sawa but zinatofautiana muda kidogo mfano kwenye H4 ,Gbpusd ndio alikuwa anaongoza njia then Gbpjpy anafuatia soo ilikuwa gu ikipandisha bar ya h4 kwenda juu gj unakuta bado iko chini lakini unakua na 95 perc kuwa itaifata gu kule juu soo unascalp fasta fasta.
 
Hizo ninazifahamu vizuri mkuu. Hata kwenye news mfano crude oil inventory huwa currency ya kwanza tunayoitazama ni Canadian dollar.

Kuna kipindi nadhani 2019 Gbpjpy na Gbpusd correlation btn hizo pair ilkuwa imefika 95 percent .zilikuwa zinachora maumbo sawa but zinatofautiana muda kidogo mfano kwenye H4 ,Gbpusd ndio alikuwa anaongoza njia then Gbpjpy anafuatia soo ilikuwa gu ikipandisha bar ya h4 kwenda juu gj unakuta bado iko chini lakini unakua na 95 perc kuwa itaifata gu kule juu soo unascalp fasta fast
Unachoongea pia ni sawa Ila nadhani ni tofauti na nilichoongea.
Kwa iyo wewe unachoongea iko mfano all pairs of gbp ambazo gbp ni base currency zikiwa zikiwa bullish ni bullish zote haijalishi Nini.
Kama ikiwa ni quote currency iyo gbp itakuwa ni bearish. Hii ni kwa pair zote hata jpy nzd cad chf pairs
 
Kweli ndugu kuna watu wanatabia ya kuchallenge mtu lakini kwa mtu ambaye anaelewa ,kwenye forex industry you can't be right all the time, sio kwamba market isipofata analysis zako ndio kuwa huelewi hapana.

Mimi wakati nimeanza kujifunza forex miaka michache hapo nyuma nilikuwa ni mtu mwenye tamaa sana, na tamaa yangu ilichochewa sana na first deposite niliyo ifanya ilikuwa 120$ nilipandisha kwa muda wa wiki hadi ikafika 800$,

Kuanzia hapo nikawa sijipi nafasi yaani sipumziki sio usiku sio mchana nikutrade tu halafu lotsize nilizokuwa nikiingia nazo kwenye soko nilikuwa najipa pips 50 au 60 kuchoma acc.

Ile market crush iliotokea 2018 kwenye pair zenye yen mfano gj ule usiku nilitengeneza 3500$ kupitia Gj kwa lot ya 0.5

But all in all hazikudumu nilianza kuzipoteza siku baada ya siku, soko likianza kunifundisha discipline taratibu taratibu, ile confidence ya kuweka lotsize kubwa ikapotea, kiukweli nimejifunza mambo mengi sana upande wa nidhamu.

Imefika mahala ili nichome acc nimejiwekea gap la pips 500 au zaidi now hata market ikiniendea vibaya hasara inakuwa ndogo, kwa uchumi wa bongo ukiwa hata na 3000$ ukawa unafukuzia profit ya 15$ hadi 20$ hata market ikienda vibaya ukapoteza 50$ bado ni stahimilivu.
Sure mkuu ukiwa na mtaji huo uki Target kwa mwezi Dola 250-500 unazipata kirahisi sana. Yaani fanya soko likulipe your living.
Kuna muda nilikuwa driven Sana na ego nikataka mzee kutuma Kama Dola 20k Ila nikasita nikanunua nyumba ya kuishi Mana sikuwa na makazi. Ila Nina Imani kwa uwezo niliyokuwa muda huo ningezipoteza Ila saivi hazipotei kabisa
 
Unachoongea pia ni sawa Ila nadhani ni tofauti na nilichoongea.
Kwa iyo wewe unachoongea iko mfano all pairs of gbp ambazo gbp ni base currency zikiwa zikiwa bullish ni bullish zote haijalishi Nini.
Kama ikiwa ni quote currency iyo gbp itakuwa ni bearish. Hii ni kwa pair zote hata jpy nzd cad chf pairs
Nilichokuwa namaanisha kuna pair huwa ziko positive correlated mfano gu na gj nyingine -correlated mfano eurgbp na gbpusd lakini katika correlation huwa kuna percentage fulani kuna muda unakuta inakuwa juu muda mwingine inashuka kidogo. Mfano kuna muda gu inabuy kwa let say 5 percent halafu huo muda ukiangalia eurgbp imesell kwa 2.5 percent. Ila kuna wakati hizo pair zinakuwa correlated kwa 100 percent.

Lakini sio kweli kwamba pair zote ambazo gbp ni base currency zote huwa ziko positive correlated inadepend pia na nguvu ya specific quote currency iliyoibeba
 
Sure mkuu ukiwa na mtaji huo uki Target kwa mwezi Dola 250-500 unazipata kirahisi sana. Yaani fanya soko likulipe your living.
Kuna muda nilikuwa driven Sana na ego nikataka mzee kutuma Kama Dola 20k Ila nikasita nikanunua nyumba ya kuishi Mana sikuwa na makazi. Ila Nina Imani kwa uwezo niliyokuwa muda huo ningezipoteza Ila saivi hazipotei kabisa
Kweli ndugu kumfundisha mtu discipline kwenye soko ni kazi unaweza kusoma vitabu hata 100 lakini ukirudi kwenye soko unarudia makosa yale yale, ila hakuna mwalimu mzuri kama soko anajua kutengeneza mtu, anajua kushape mtu, anajua kufundisha na hana huruma ukirudia kosa anakuadhibu.

Zamani nilikuwa naujinga naopen trade zikienda against let say pips 30 na add more trade kwenye same direction nilikuwa na amini kuwa market itakuwa imesogea kwenye entry iliyo sahihi kitu ambacho kilikuwa sio kweli.

Nilikuwa naopen trade kila muda, but atleast now naweza fanya analysis na nikaacha soko liamue lenyewe weather niko sahii au siko sahii. Kupanmbana na soko nimeacha .
 
Nilichokuwa namaanisha kuna pair huwa ziko positive correlated mfano gu na gj nyingine -correlated mfano eurgbp na gbpusd lakini katika correlation huwa kuna percentage fulani kuna muda unakuta inakuwa juu muda mwingine inashuka kidogo. Mfano kuna muda gu inabuy kwa let say 5 percent halafu huo muda ukiangalia eurgbp imesell kwa 2.5 percent. Ila kuna wakati hizo pair zinakuwa correlated kwa 100 percent.

Lakini sio kweli kwamba pair zote ambazo gbp ni base currency zote huwa ziko positive correlated inadepend pia na nguvu ya specific quote currency iliyoibeba
100% ulichosema. Pia kumbuka Kuna strong currency zile majors ones , huwa zina impact pia Sana.
Kweli unategemea na quote currency. Mfano gbp itakavyoifanya thb ni tofauti itakavyoifanya euro mkuu. Sure ni % fulani Ivi correlated
 
Sihitaji kujiunga labda useme niwe nakupa nondo uwe unawalekeza huko unawachangisha alfu 20,30,50------

Ila ukijua kitu raha Sana unakuwa unawacheki makonki ama mastar.
Mfano Ontario haijui na alikuwa haijui ama Kama alikuwa anaijua aliamua kuwabia watu.
Live trading sio ya kukombilia ivi ivi.
If you don't make money in demo account you'll never in live account.
To win in a market doesn't need any skills at all may the skills to move a cursor and click sell or buy button,

The big ishu Iko kwenye consistent income au kuwa consistent profitable trader month after month or year in and year out ndo Kuna mtiti
AISEE NIMEKUKUBALI MKUU HONGERA KWA KUTUFUMBUA MACHO
 
Kweli ndugu kumfundisha mtu discipline kwenye soko ni kazi unaweza kusoma vitabu hata 100 lakini ukirudi kwenye soko unarudia makosa yale yale, ila hakuna mwalimu mzuri kama soko anajua kutengeneza mtu, anajua kushape mtu, anajua kufundisha na hana huruma ukirudia kosa anakuadhibu.

Zamani nilikuwa naujinga naopen trade zikienda against let say pips 30 na add more trade kwenye same direction nilikuwa na amini kuwa market itakuwa imesogea kwenye entry iliyo sahihi kitu ambacho kilikuwa sio kweli.

Nilikuwa naopen trade kila muda, but atleast now naweza fanya analysis na nikaacha soko liamue lenyewe weather niko sahii au siko sahii. Kupanmbana na soko nimeacha .
Ahsante kuwa na mtazamo huo mzuri. Hii wanaiita supermarket mentality ukienda sokoni leo Bei imepungua na unavutiwa na 50% off so unajua umewaokota so unanunua Sana.
Sure kuijua trading ni kujijua wewe na udhaifu wako unajirekebisha. Afu trading ni lonely professional. Mana sehemu ya practical unayo pia kusifiwa kama unafanya vizuri unaona mwenyewe.
Ndo Mana huwa mkiwa Kama watu watatu ivi mliojitoa kabisa kuwa Bora muwe masikini Kama hii fani imefeli poa. Yaani wale walio burn all bridge.
Kuna captain mmoja alienda na wajeda vitani waliotumia boti mkuu so walivyofika ng'ambo akazichoma zile boti zao akawaambia kuwa mnaona huo Moshi wa boti zinavyoungua.
Sasa hapa you've to win or perish. Jamaa wameingia mzigoni wakajua hakuna no point of return walikuwa wachache dhidi ya waliokuwa wanapambana nao.
Ila finally makamanda walishinda Vita wakarudi om kwa ushindi.
Huwa naamini binadamu tuna uwezo mkubwa Sana pale unapoambiwa kuwa hapa option ya kushindwa ni kifo utamuona Ile reptile brain Ina vyofanya kazi ya ku flight or fight
 
Kweli ndugu kumfundisha mtu discipline kwenye soko ni kazi unaweza kusoma vitabu hata 100 lakini ukirudi kwenye soko unarudia makosa yale yale, ila hakuna mwalimu mzuri kama soko anajua kutengeneza mtu, anajua kushape mtu, anajua kufundisha na hana huruma ukirudia kosa anakuadhibu.

Zamani nilikuwa naujinga naopen trade zikienda against let say pips 30 na add more trade kwenye same direction nilikuwa na amini kuwa market itakuwa imesogea kwenye entry iliyo sahihi kitu ambacho kilikuwa sio kweli.

Nilikuwa naopen trade kila muda, but atleast now naweza fanya analysis na nikaacha soko liamue lenyewe weather niko sahii au siko sahii. Kupanmbana na soko nimeacha .
Hiyo paragraph ya mwisho Soma kitabu kinaitwa phantom of pits. Jamaa anasisitiza inatakiwa uwahi kutoka ama uamue wewe Kama umekosea utoke haraka Mana lenyewe likiamua litatokea na nyingi so save your coco before
 
Forex haitaki kuwa utake kuonekana kuwa you're the smartest trader. Mana what we're doing is educated probabalistic guessing. Ni Kama coin flip ambayo ni 50/50 chance but in trading angalau unayo 50%+ the odds to be in your favour. Kama huwa unacheza zile za mchina Bonanza sijui pale hakuna namna ya kusubiria pattern itokee ndo uweke hela Ila huku unasubiria patterns to emerge ndo una pull the trigger.
Let me control my ego
 
Umeeleza vizuri sana mkuu. Ila sio kwamba kuuliza hivyo ndio kwamba natamaa , au kupitia majibu yako nitakurupuka tu niingie sokoni hapana. Sometimes kupata informations tofauti tofauti kwa watu tofauti tofauti ni bora zaidi kuliko kukumbatia kile unacho kiamini.
Umeona Mambo yalivyokuwa faya mkuu. Ila kwa forex ukipatia kitu sio kuwa ujione kuwa wewe unajua Bali ni probability. Mie kubashiri kuwa mtt wa kike atazaliwa sema unakuta nimefanya upelelezi aka analysis nishajua period ya mama siku zake na lini walikutana na mmewe so nafanya mautundu ya sayansi unabeti Ila bado unaweza usiwe sahihi.

Yaani hii kitu inatesa Sana unapoianza huwa Kama Kuna formula aka holy Grail tunatafuta yaani Ile uwe exactly entry and exit. You can't control market,even if you've an edge over the market it takes one person only one person in the world to negate your edge.
Mana atabofya orders za mabilions kwani hajabadiili upepo wa soko jamani.
Pia tunakuwa na mind ambayo inatutaka kujua kinachotokea i.e certainty while here we're dealing with uncertainties ambayo brain tulizo nazo hazipendi kabisa. Na zinataka kitu kamili kabisa kuwa eneo la mstatili ni urefu Mara upanaa.hii makitu haipo hapa. Train your mind.
Na Ile Hali ya kutaka kuwa ukipata kitu basi wewe ujione kidume juu ya wengine Haina nafasi huku kwa hili gemu.
 
Ukicheki mafuta yamepanda Sana na Kumbuka zile tatu commodity dollars aud,nzd and cad,
Cad iko correlated na mafuta positively.
News za Jana ziliipa nguvu Sana Coco so leo I think zitaishusha value just to balance world economy.
Jana coco imekuwa na nguvu Sana na Kama umecheki XAUUsd ilishuka Sana from 1909 where traded high of the day mpaka 1865.+++ Na Leo during Asian trading hours imeshuka mpaka 1855.++ Saivi naona Ina tred around 1870.+++.
Hizi news Dola itakuwa weak na gold ita gain strength. So usdcad itashuka na mafuta yaweza kushuka probably.
But please stay in a chart and see what's happening and act accordingly.

Disclaimer.

NB. Hii ni my own personal experience about trading na isije ikatumika Kama trading advice. If you act with this information please , it's up to your responsibility na Keisangora responsibility.
You did it bro. Nimetoka na 50$ sio mbaya
 
View attachment 1808066yaani ni ndani ya dakika tatu Ila hela hii ambayo ni 2309*1400=3,232.6k Tzs mtu aweza kuitumikia kwa muda wa mwaka.kuna umuhimu Sana wa value in investing in yourself.
Mfano Usain bolt alikimbia so chini ya dakika mbili kwa maisha yake yote Ila akalipwa takribani 70bn Tzs money. But it took him 20 years to reach there that we're calling overnight success.
The more you work the more you become luckier.
Na hiyo gold sell nilisahau kuitoa Mana niliisel tokea asubuhi.
Hii demo so msiwe na presha.natest Kitambo yangu Kama inaweza ikapiga bara lingine. He batani ya nuclear weapons natembea nayo ama.
If you don't make money in demo account you can't make in live account.
Yaani hakika ndugu. Watu wengi wanadharau haya mambo pengine kwa kutokujua, au anasikia mtu fulani anasema kitu hiki ni scam na yeye nae anaunga humo humo. Kiukweli hii biashara ukikaa ukatulia inaweza kukufikisha mbali sana kwa muda mfupi.
 
Umeona Mambo yalivyokuwa faya mkuu. Ila kwa forex ukipatia kitu sio kuwa ujione kuwa wewe unajua Bali ni probability. Mie kubashiri kuwa mtt wa kike atazaliwa sema unakuta nimefanya upelelezi aka analysis nishajua period ya mama siku zake na lini walikutana na mmewe so nafanya mautundu ya sayansi unabeti Ila bado unaweza usiwe sahihi.

Yaani hii kitu inatesa Sana unapoianza huwa Kama Kuna formula aka holy Grail tunatafuta yaani Ile uwe exactly entry and exit. You can't control market,even if you've an edge over the market it takes one person only one person in the world to negate your edge.
Mana atabofya orders za mabilions kwani hajabadiili upepo wa soko jamani.
Pia tunakuwa na mind ambayo inatutaka kujua kinachotokea i.e certainty while here we're dealing with uncertainties ambayo brain tulizo nazo hazipendi kabisa. Na zinataka kitu kamili kabisa kuwa eneo la mstatili ni urefu Mara upanaa.hii makitu haipo hapa. Train your mind.
Na Ile Hali ya kutaka kuwa ukipata kitu basi wewe ujione kidume juu ya wengine Haina nafasi huku kwa hili gemu.
Shukrani sana ndugu kwa maelezo mazuri, watakao pita hapa nadhani watapata maarifa muhimu, kwani haya mambo unayoandika ni too practical mpaka utakapo ingia sokoni ndio unakutana nayo,
 
Kweli ndugu kumfundisha mtu discipline kwenye soko ni kazi unaweza kusoma vitabu hata 100 lakini ukirudi kwenye soko unarudia makosa yale yale, ila hakuna mwalimu mzuri kama soko anajua kutengeneza mtu, anajua kushape mtu, anajua kufundisha na hana huruma ukirudia kosa anakuadhibu.

Zamani nilikuwa naujinga naopen trade zikienda against let say pips 30 na add more trade kwenye same direction nilikuwa na amini kuwa market itakuwa imesogea kwenye entry iliyo sahihi kitu ambacho kilikuwa sio kweli.

Nilikuwa naopen trade kila muda, but atleast now naweza fanya analysis na nikaacha soko liamue lenyewe weather niko sahii au siko sahii. Kupanmbana na soko nimeacha .
Account zangu zote zilizoungua, ziliungua kwa stail hii
 
Huyu Anthony kreil nilishamsikiliza Sana Tena Sana around two years back. Sema hatoi real code za trading ni blah blah za kutosha
Huyo anton mwenyewe anafundisha.

Sijawahi ona trades zake hata siku moja.
 
Huyo anton mwenyewe anafundisha.

Sijawahi ona trades zake hata siku moja.
Huwa credit inayombeba huyu msingapore ni kuwa ameshawahi kufanya kazi Goldman Sachs. So anapata vichwa vingi Sana. Yaani Kuna watu wanatishiaga wengine kuwa namna ya banks zinavyo trade ili kula vichwa.
Kuna mwingine nilimcheki majuzi akaanza na biti la kuwa nabeti kuwa hautoongalia mpaka mwisho hii video.😀😀.
Yaani bana trading raha Sana. Watu wanaonyesha trades zao jinsi walivyopiga hela nyingi Ila hajawahi onyesha muamala ulivyosoma bank from trading account.
Pia Kuna wengine Fulani Wana group la telegram wanaonyesha sijui ni demo mud a huo huo wanakuambia ujiinge na vip wanaitwa fxtrade1 sijui.
 
Back
Top Bottom