Uliza swali lolote juu ya afya ya ngozi

BAADHI YA VIPODOZI UNAVYOWEZA KUTUMIA KWA MATUMIZI MENGI



1.Mafuta mgando ya karafuu
Dr Mussa Zaganza:
Wengi hupenda kupaka ili ngozi isipauke. Lakini pia mafuta haya ni mbadala kwa wasiotumia lotion. Ukipaka midomoni huzuia lips kukatika, na ukipaka kwenye lips na sukari ,kisha ukascrub kidoogo, basi huhitaji kupaka lipstick



Mazuri kwa watoto wenye mapunye kichwani na matangotango kwa ngozi hasa wanafunzi


Mafuta haya ni mazuri kwa tiba ya magaga pamoja na sugu za mikononi

 
2.HABAT SAUDA

Wengi walikuwa wakiitumia kwa kuipa ngozi unyevu(moisture).Lakini kunywa mafuta ya habat sauda kuna faida nyingi ikiwemo kuupa mwili nguvu na uchangamfu, kuondoa hali ya kuchanganyikiwa (stress) na wasiwasi au huzuni (Anxiety), madonda ya koo (tonsils).Mafuta haya ni sehemu ya tiba ya kuondoa maumivu ya mgongo na kiuno,ganzi ya miguu na mikono ,sambamba na kurudisha ute wa magoti. Hakuna namna ya kuelezea Habat sauda vizuri zaidi kuliko kuyatumia.

 
haya mafuta nimesikia sifa zake nyingi sana,ngoja niyatafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…