Uliza swali lolote juu ya afya ya ngozi

Uliza swali lolote juu ya afya ya ngozi

Mm natatzo la kuwashwa sana asa kichwa ninapo pata joto nawashwa mno kichwa kwenye jua ndo tabu kabxa sas kwa sas naon tatzo linazd mpk kwenye ngoz naanza kuwashwa japo kwa mbal mpka nahs jua kua adui yangu.
Hao ni MBA wanaokaa kwenye shina la nywele. Tuwasiliane kwa 0713-039875 nikupatie dawa
 
Nina ngozi yenye mafuta sana sana usoni. Nina miaka zaidi ya 10 sijapaka mafuta usoni. Lakini jua likiwaka ni kama nimejipaka Vaseline. Ushauri wako ni upi kwa sabuni na vipodozi vya ngozi ya aina hii? Angalizo ni kuwa visiwe vileeee vinavyochubua uso. Sijichubui. Asante
Kwa kuwa una ngozi ya mafuta, unahitaji bidhaa zenye lemon au zisozidisha mafuta, tuwasiliane kuna sabuni natengeneza za udongo, walotumia zimewasaidia
 
Nasumbuliwa na vidonda kichwan kwenye shina la nywele nimetumia dawa nyingi sana vinapotea na kurudi sometime vinatoa had damu nakuta damu kwenye mto...ni kama vile vipele vidogo vidogo baadae vinaiva vinatoa damu au usaha..!... Vimenisumbua kwa miaka mingi..dawa yake ipo?
Mkuu nina tatizo kama la kwako,ukipata tiba naomba unitaarifu na mimi nipate.
 
TIPS ZA KUONDOA WEUSI WA MAKALIO, MAPAJA NA USO
3.GANDA LA CHUNGWA NA ASALI AU NATURAL CLAY


Kama mnavyojua machungwa yana vitamin C, na hivyo ukichukua ganda la chungwa pamoja na asali, mchanganyiko wake pia unaondoa weusi. Fuata step hizi::
Chukua ganda la chungwa na kijiko kimoja cha asali.
Kamua hilo ganda maji yake yangie kwenye asali.
Kausha nakusaga hilo ganda kisha poda yake ichanganye na asali
Paka mchanganyiko huo katika sehemu yenye weusi, kaa kwa muda wa dakika 15
Osha na maji ya kawaida hadi kugandaganda kupotee.
Kama huna muda wa kuandaa mchanganyiko huu tuwasiliane, nikupe natural clay
Unga wa Liwa unaweza kutumika badala ya natural clay?
 
TIPS ZA KUONDOA WEUSI WA MAKALIO, MAPAJA NA USO
3.GANDA LA CHUNGWA NA ASALI AU NATURAL CLAY


Kama mnavyojua machungwa yana vitamin C, na hivyo ukichukua ganda la chungwa pamoja na asali, mchanganyiko wake pia unaondoa weusi. Fuata step hizi::
Chukua ganda la chungwa na kijiko kimoja cha asali.
Kamua hilo ganda maji yake yangie kwenye asali.
Kausha nakusaga hilo ganda kisha poda yake ichanganye na asali
Paka mchanganyiko huo katika sehemu yenye weusi, kaa kwa muda wa dakika 15
Osha na maji ya kawaida hadi kugandaganda kupotee.
Kama huna muda wa kuandaa mchanganyiko huu tuwasiliane, nikupe natural clay
Mkuu nisaidie nina tatizo la mba kichwani ni sugu aisee. Yaani hata ninyoe upara zikiota nywele mba zinajaa hadi nakua kama kichwani nimeweka unga. msaada please maana zinswasha kinoma
 
Mkuu nisaidie nina tatizo la mba kichwani ni sugu aisee. Yaani hata ninyoe upara zikiota nywele mba zinajaa hadi nakua kama kichwani nimeweka unga. msaada please maana zinswasha kinoma
Tuwasiliane kwa 0713-039875 nipate maelezo zaidi
 
Nilivaa kofia chafu kutokana na mazingira niliyokuwa.. Na wakati huo nilikuwa nanyoa nywele zote ila siku nilipoacha kunyoa nywele zikaota nikagundua kuna madoa yamejitokeza kichwani na hapo kwenye madoa nywele zimegoma kuota leo ni mwezi wa tatu.. Pako kama kipara hakuna hata dalili za kuota nywele.. Hii ni shida gani na sijawahi kutokewa na ishu kama hiyo..
IMG_20180814_145759.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...mkuu vitundu vya kwenye ngozi sehemu z juu mashavuni nitaviondoaje ?
 
Nilivaa kofia chafu kutokana na mazingira niliyokuwa.. Na wakati huo nilikuwa nanyoa nywele zote ila siku nilipoacha kunyoa nywele zikaota nikagundua kuna madoa yamejitokeza kichwani na hapo kwenye madoa nywele zimegoma kuota leo ni mwezi wa tatu.. Pako kama kipara hakuna hata dalili za kuota nywele.. Hii ni shida gani na sijawahi kutokewa na ishu kama hiyo..View attachment 841314

Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana, hawa ni fangasi wameathiri mzizi wa nywele. tumia natural clay ambayo tumetibia wengi humu jf na fb
 
pole sana, hawa ni fangasi wameathiri mzizi wa nywele. tumia natural clay ambayo tumetibia wengi humu jf na fb
Natural clay nini nini na naipata wap? Na matumizi yake yanakuaje naomba unosaidie kufahamu hilo...
 
Mimi mwanzo uso wako hakuwa na mafuta ila sasa una mafuta, na kuna vipele vinaniota vingine vitoa usaa vingine havitoi yaani vinakua kama jipu baada ya miez kadhaa vinapotea na nilisha tumia dawa kadhaa na nilienda kama kairuki kumuona dk. Wa ngozi lakn bado nisaidie kwa hili
1539840723818.jpeg
 
Mabaka mabaka/makovu yatokanayo na chunus huolewa kwa dawa ipi ??
 
Natural clay nini nini na naipata wap? Na matumizi yake yanakuaje naomba unosaidie kufahamu hilo...
Huu udongo ni natural 100% na unasaidia sana matatizo yote yanayohusiana na ngozi.
wengi wanautumia, wengi sana umewasaidia kwa vipele, chunusi, mapele ya shaving, fungus miguuni na sehemu zingine, rangi tofauti usoni
Tunasambaza ,unaletewa popote ulipo Piga 0713-039875 nijue upo jirani na wakala yupi .Hii hapa picha ya natural clay
WhatsApp Image 2018-10-15 at 01.18.51.jpeg
 
Back
Top Bottom