Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
- Thread starter
- #61
karibu
Thanks mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks mkuu
875 nikupatie udongo tiba kwa fangasi,magaga,n.kNikivaa viatu na soksi napata joto sana ambalo linapelekea fangasi, sijajua nitumie dawa ipiView attachment 760674
ntumie picha kwenye 0713-039875 ya hivyo vipeleNaomba msaada wa tiba kwenu wataalamu wa afya. Nina vipele kichwani ambavyo haviponi mwaka mmoja sasa tangu vianze. Nimeshapewa tiba mbalimbali bila mafanikio kama vile cream za kujipaka, vidonge na shampoo za kuogea. Nilipima gonjwa la UKIMWI nikakuta Niko safi.
GNishaurini dawa wakuu ili nipone. Kabla ya kutokea vipele hivyo nilikuwa nasumbuliwa na mba kwa kipindi kirefu.
pima mzio (allegy)niliwah kuwa na tabia ya kuwa kujizonga tishu kwenye uume kutokana na wasisi wa majiji baada ya kutoka chooni, nilikua nikifanya ivo mpaka ninapohisi pamekauka. Mda mwengine nikijisahau mpaka kufika jioni mpaka unakuta ile tishu au toilet paper imeganda na ngozi. ikafika mda ikawa nikijigusisha tishu au toilet paper tu nahisi maumivu ya mchonoto. Nikaacha kabisa hiyo tabia na miaka imepita. Lakini mpaka hii leo ikitokea hata bahati mbaya kugusisha Toilet paper na uume nahisi maumivu.
Naomba msaada juu ya hili. hofu yangu ni kuja kupata maradhi au kua na dalili za maradhi.
Kwa shilling ngapi 0714906767 nichekihakikisha miguu mikavu wakati unavaa. piga 0713-039
875 nikupatie udongo tiba kwa fangasi,magaga,n.k
Akikujibu nitaKwa shilling ngapi 0714906767 nicheki
NitagAkikujibu nita
Una maana gani nduguNitag
Kwa nini sasaAkikujibu nita
I mean nipe mrejeshoKwa nini sasa
OkyI mean nipe mrejesho
pima mzio (allegy)
mzio au allegy ni kipimo cha hospital ikiwemo Muhimbili, ili kujua vitu gani vina madhara ukitumia (kula,kujipaka n.k)sjakufahamu mkuu. nieleweshe zaidi apo kidogo.