Allibu m
Member
- Sep 11, 2017
- 31
- 24
Mimi nimejikita kutibu ngozi kwa njia za Asili tu kuanzia dawa, sabuni,scrub, ukuzaji nywele, kutibu ngozi ilobabuka kwa dawa kama metakelfin au vipodozi. Hivyo tiba kama waxing sina ufahamu nazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimejikita kutibu ngozi kwa njia za Asili tu kuanzia dawa, sabuni,scrub, ukuzaji nywele, kutibu ngozi ilobabuka kwa dawa kama metakelfin au vipodozi. Hivyo tiba kama waxing sina ufahamu nazo
Hicho ni kisukari mpime sukari aiseeView attachment 765967 Msaada tafadhari, hvi huuni ugonjwa gani ametembea kila baadhi ya hospitali lakini hapewi majibu ya kueleweka.
Hana sukari mkuu, tulimpima sukari akawa ana 5.1mmol/L ambayo ni CTRL 2(RBG)/ afer eating.Hicho ni kisukari mpime sukari aisee
HahahaaaaNgozi ya uume kuwa na mabaka baka kama mmba nini tatizo na dawa yake ni nini??
Moja ya matatizo ya kiafya yanayowasumbua watu wengi duniani na kuwanyima raha ya maisha, ni tatizo la mwili kuwasha baada ya kuoga.Mkuu zaganza ..nina tatizo la kuwashwa mwili ..hasa wakati wa jua, mwili unakuwa kama una sisimka alafu na hali flani kama ya kuchoma choma hutokea.
Au nikinywa chai au kitu chochote cha moto au mwili ukipata joto tu mf nikiwa natembea haraka na mwili kupata joto basi hiyo hali hunipata.
Kama ni allergy mkuu plizi nisaidie namna ya kuisha.
Nina ngozi yenye mafuta sana sana usoni. Nina miaka zaidi ya 10 sijapaka mafuta usoni. Lakini jua likiwaka ni kama nimejipaka Vaseline. Ushauri wako ni upi kwa sabuni na vipodozi vya ngozi ya aina hii? Angalizo ni kuwa visiwe vileeee vinavyochubua uso. Sijichubui. AsanteMimi nimejikita kutibu ngozi kwa njia za Asili tu kuanzia dawa, sabuni,scrub, ukuzaji nywele, kutibu ngozi ilobabuka kwa dawa kama metakelfin au vipodozi. Hivyo tiba kama waxing sina ufahamu nazo
Dili hilo mbonaNinatatizo la lipsi kua nyekundu nifanye kipi kuliondoa
Una tatizo kama la kwangu ukipata dawa pia njoo pmNasumbuliwa na vidonda kichwan kwenye shina la nywele nimetumia dawa nyingi sana vinapotea na kurudi sometime vinatoa had damu nakuta damu kwenye mto...ni kama vile vipele vidogo vidogo baadae vinaiva vinatoa damu au usaha..!... Vimenisumbua kwa miaka mingi..dawa yake ipo?
Pole kaka.Mi nimejikita kwenye matatizo ya ngozi.Hapo pichani naona kama kidonda, kama hospitali za kawaida ushapitia,nenda Muhimbili, wahi usihatarishe mguu wake ,kwani hauna speaView attachment 765967 Msaada tafadhari, hvi huuni ugonjwa gani ametembea kila baadhi ya hospitali lakini hapewi majibu ya kueleweka.