Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Mkuu vipi kuhusu Lucky Dube.. je nae alikuwa mwanachama? Maana kuna songi lake moja huwa nalisikilizaga... Hilo songi la majuto sana... Yaani wale wazee wa kusikiliza deep zaidi kutambua namna gani alikuwa anajihisi muandishi na muimbaji wa nyimbo nilifeel ile hali ambayo jamaa alikuwa anapitia........ Bwana leftie worldie akinijibu nitawatajia songi lenyewe.....NI SIKU YA JUMANNE, NI SIKU KAMA SIKU ZINGINE, ITAKUWA NI MWISHO WA KUJADILI MADA ZA FREEMASON KATIKA HILI JUKWAA.
AHSANTE KWA KUSHIRIKI NDUGU YANGU.
RASTAFARI WENGI WAPO HURU, WENGI HAWAPENDI MAMBO YA USHETANI, WENGI HAWAPENDI MAOVU. KWAHIYO LUCKY DUBE KAMWE HAKUWAHI KUWA MWANASHIRIKA WA FREEMASON.Mkuu vipi kuhusu Lucky Dube.. je nae alikuwa mwanachama? Maana kuna songi lake moja huwa nalisikilizaga... Hilo songi la majuto sana... Yaani wale wazee wa kusikiliza deep zaidi kutambua namna gani alikuwa anajihisi muandishi na muimbaji wa nyimbo nilifeel ile hali ambayo jamaa alikuwa anapitia........ Bwana leftie worldie akinijibu nitawatajia songi lenyewe.....
HUWEZI KUMPANGIA MUNGU MWENYEZI, YEYE NDIYO ALIPANGA IWE HIVYO. NA ALIJUA HILO LITATOKEA ILA ANA SABABU ZAKE.Hadith tamu sana....vipi sasa sayansi imekuwa na tumegundua kuna sayari nyingi ulimwenguni kuliko mchanga wa bahari zote duniani,,, sasa kwanini Mungu aliamua kumtupa lucifer kwenye sayari hii? Na kwann kuzimu akaileta huku?
Kwann asingemtupa mfano Mars huko ili asisumbue watu?
Acha kushinda kwenye vijiwe vya Gahawa.Freemason kafara sio kumwaga damu ya binadamu, no wao hufanya ibada za Siri na kumwaga damu ya mbuzi.
Wanacho kufanya ni kuchukua nafsi yako hii Ina maana kwamba hata uombe vipi huwezi kusalimika, ni kwamba umemkataa Mungu Mwenyezi halafu umeuza nafsi na roho kwa shetani, ukifa unakuwa mtu wake shetani atakutesa Sana, Mali haramu na anasa ni miliki za shetani.
Shetani anatambua wanadamu wa Karne hii wanapenda pesa Basi anawapa pesa huku wewe unampa nafsi yako. Hakuna kumwaga damu ya binadamu.
Hizi stori ulithibitisha au nawewe uliambiwa tu?HUWEZI KUMPANGIA MUNGU MWENYEZI, YEYE NDIYO ALIPANGA IWE HIVYO. NA ALIJUA HILO LITATOKEA ILA ANA SABABU ZAKE.
SHETANI HATA ANGEMTUPA HUKO MARS BADO ANGEKUJA DUNIANI KURUBUNI WANADAMU. HALAFU MPAKA SASA SHETANI HUWA ANAKUTANA NA MUNGU MWENYEZI USO KWA USO ANA KWA ANA TENA WANAZUNGUMZA KABISA.
KUZIMU NI MBALI MNO NA DUNIA TENA NI MBALI SANA NDIO MAANA WACHAWI HUTUMIA BAHARI AU ZIWA KUTUMIA MAZINGAUMBWE KWENDA KUZIMU KWA MSAADA WA SHETANI BILA HIVYO HUFIKI KUNA DUA ZAO WANAOMBA YAANI KWA UFUPI BAHARI NA ZIWA AU MITO MIKUBWA HUWA NI SHORT CUT YA KWENDA KUZIMU.
Yeye si alishasema ni freemason bila kigugumizi.... Hivyo anasema kama muhusikaHizi stori ulithibitisha au nawewe uliambiwa tu?
Una ji contradict mara umo humo, mara unahimiza watu wa deal na Mungu.. uko pande gan?Hapana madam sisi hatupo hapa kuchukua pesa ya mtu.
Watanzania wanatapeliwa kwa kukosa maarifa wavivu wa kuumiza kichwa.
Hapa tunatoa elimu na kujadiliana kukomesha maovu ya lusse fere, yaani Lucifer.
Una ji contradict mara umo humo, mara unahimiza watu wa deal na Mungu.. uko pande gan?
Siku hizi wameungana. For the past 300 years Freemason na Illuminati wameungana.kaka hujajibu hapa
In return wanakupa hela au!?Hizo ni stori watu watanzania wwnazungumza, ukweli ni kwamba hakuna kafara ya mwanadamu Bali kafara ya mbuzi dume mkubwa yaani beberu, kujua Sala na kanuni Sheria na mifumo. Huu no utaratibu wao.
Wao huchukua nafsi yako na tiketi moja kwa moja mpaka kuzimu kuwatumikia kipindi umeaga dunia.
Umenifanya niachane na hii thread kwa uongo Pumbavu yani mtu atoe mbuzi dume apate utajiri??? Mbona una uwezo mdogo wa kufikiri ingekuwa hivyo wangapi wangekuwa freemason kwa kuua mbuzi tuHizo ni stori watu watanzania wwnazungumza, ukweli ni kwamba hakuna kafara ya mwanadamu Bali kafara ya mbuzi dume mkubwa yaani beberu, kujua Sala na kanuni Sheria na mifumo. Huu no utaratibu wao.
Wao huchukua nafsi yako na tiketi moja kwa moja mpaka kuzimu kuwatumikia kipindi umeaga dunia.
Umeambiwa unatoa nafsi yako kwenda kuzimu mbona una upeo mdogo ww kengeUmenifanya niachane na hii thread kwa uongo Pumbavu yani mtu atoe mbuzi dume apate utajiri??? Mbona una uwezo mdogo wa kufikiri ingekuwa hivyo wangapi wangekuwa freemason kwa kuua mbuzi tu
Diamond platnumzmtajee ata kwa code.
Yupo kasi Sana aiseeKwa uandishi huu huna ujualo kuhusu Mosons
JichanganyeNi lazima utoe kafara hasa mpendwa wako?