The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Dunia hii huna inashangaza sana kuona au kila unalolisikia ni siri, tatizo liko hapa kwenye kuweza kujua siri hiyo.. mfano hivi huwa tunasikia mbiguni ni juu na kwashetani ni chini? Je! Ushawahi kujiuliza kwanini iwe mbigu juu na sio chini?
Ni swali lahisi lenye majibu marahisi ila ni swali gumu na lisilo na jibu kwa mtu asiyefikiri nje ya Box
Ni swali lahisi lenye majibu marahisi ila ni swali gumu na lisilo na jibu kwa mtu asiyefikiri nje ya Box