Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

Dunia hii huna inashangaza sana kuona au kila unalolisikia ni siri, tatizo liko hapa kwenye kuweza kujua siri hiyo.. mfano hivi huwa tunasikia mbiguni ni juu na kwashetani ni chini? Je! Ushawahi kujiuliza kwanini iwe mbigu juu na sio chini?

Ni swali lahisi lenye majibu marahisi ila ni swali gumu na lisilo na jibu kwa mtu asiyefikiri nje ya Box
 
Uki tayari ujitoe kafara ili utajirike?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…