Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Yeah, hata mimi post yake nimeistukia.Nafkiri mwinyijafu ashafika Uzini
😂😂Dah nimecheka
Abeeeeeeh mlongo, sitaki kuamini wee humjui??
Kichwa kimechoka kuwaza nna mambo lundoooAbeeeeeeh mlongo, sitaki kuamini wee humjui??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwija humjui??Kichwa kimechoka kuwaza nna mambo lundooo
Diamond amefika chuo? Ni mtangazaji?Huyo mtu ni Diamond platnumz
Uzi ufungwe, umemaliza kila kitu.Mwijaku mbona ana maisha yake ya kawaida tu na istoshe mke wake pia ela anazo si haba za kwa maisha ya kutanua tu mjini kawaida,pia jamaa mbona anafahamika ni balozi wa makampuni mengi tu huko nako anaingiza mpunga tu unaoeleweka bado istoshe ni mfanyakazi CMG analipwa huko nako mbona wabongo mna chuki ya kichawi namna hii angekuwa hivyo angeweza kuwa na mke na watoto???....Basi tuseme kama ni hivyo baba levo nae wanamgeuza? Ambae nae ni chawa...Mwijaku ni balozi wa 1.Wasafi Bet 2.Billions paint 3.Kampuni ya usafirishaji wa Mr.Counsellorsallah na mengine mengi bado hujaongeza na mshahara anaolipwa CMG kweli anashindwa kuwa na maisha aliyonayo saivi?....Wabongo tuache wivu
Ndo nimeunga codes hapo kaah mjini Kuna mamboMwija humjui??
Yule Mzee wa Kaliua au?!!!Sio huyooo au yule vitenge?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado m1 naye wanamtafutia timing, sjui ni mchambuzi au mtangazaji wa soka si alipelekwa ulayaa na yule rafiki ake uchwaraaa, eti atalipwa pesaa mingii, kaishia kuliwa kinyeo buree na mzungu.
Afu tangu arudi Bongo kawaa km chizi smart, yaan kwa kifupi hayuko sawaaa.
Ohoooo 🏃♂️Mwijaku Hana baya...ana hipsi mwenyewe