cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ouk ni sawaah.Crush wangu sikupingi nachosema watu wasikariri mtu akiwa na pesa basi hana marinda . Isikaririwe. Yaani wa stick to the point wasihushishe maisha binafsi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ouk ni sawaah.Crush wangu sikupingi nachosema watu wasikariri mtu akiwa na pesa basi hana marinda . Isikaririwe. Yaani wa stick to the point wasihushishe maisha binafsi.
Kwa hiyo jamaa kapoteza ubingwaJAKUMWI mbona alianza kushikishwa ukuta mdomdo tangu pale kile chuo Morogoro ambacho yeye anadai hakusoma wakati alifukuzwa kwa utapeli ndio akaja Dar kuanza pale Mlimani..
Hizi tabia anazo tangu anakaa kwa dada yake Nanenane Morogoro sema ndio hivyo hakuwa serious na kazi yake hii kufika mjini ndio akaamua akabidhi ubingwa jumla kwa wakubwa..Mji mzito sana huu
Wanataka kila mtu awe kapigika kama wao ili waanza kujifariji wao kwa kukufariji wewe,sijui pambana mwanangu utatoka tu,mara utawasikia kaza mkuu ndio maisha.
Wewe jamaa ni shoga.Kuwa na pesa hakumzuii mtu kuwa choko, kuwa na mke hakumzuii mtu kuwa choko(wako mchicha mwiba wengi tu yaani wale wanaokula na kuliwa na ndoa zao zinadumu tu), kuwa kwake choko hakulazimishi kwamba na chawa wenzake nao lazima wawe machoko kwani uchoko ni tabia ya mtu binafsi.
Kuhusu yeye kuwa choko kwangu mimi sina uhakika kwani mjini mtu anaweza akazushiwa kitu mpaka kikaaminika lakini pia siwezi kumtetea kwamba si choko ilhali nimeanza kusikia uvumi wa kuwa analiwa jicho tokea enzi zile yuko pale THT akifanya kazi chini ya Ruge, naweka probable chances 50/50 kwa kuwa sina ushahidi wa kumuhukumu na wala sina ushahidi wa kumtetea.
Aisee! Nimecheka sana mpaka machozi. Unabaki kushangaa, kwani hawa wanaongea lugha gani!?Hii nchi ukitoka miaka miwili tu ukirudi unaweza usielewe Lugha inayozungumzwa
Marinda >> Speaker >> Masega.