el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,058
Umaarufu wa Ali Kiba unaishia Kibaha huku mikoani watu hawamjui kabisa.. Mikoani Diamond ni maarufu kupita wanamuziki wote wa Tanzania kwa sasa.. Wivu wa mafanikio ya Diamond unawatesa sana vijana wa Dar.
Hivi ally kiba ana nyimbo mbona sijawahi zisikia??..nimeanza kumskia baada ya kuwa na bifu na Dimond