Umaarufu wa "Wajumbe" wa ngazi mbalimbali za maamuzi za CCM waongezeka

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Katika mchakato wa uchaguzi wa awali ndani ya CCM unaoendelea maeneo mbalimbali pameibuka msemo maarufu kuhusu wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi katika ngazi mbalimbali za kimaamuzi ndani ya CCM.

Je, wajumbe ni kina nani haswa?

Je,roho zao ndivyo zilivyo kama wanavyosemea?

Weka neno moja tu kuhusu wajumbe
 
Wajumbe sio watu wazuri kabisa ukitaka kujua hilo waulize watia nia watakuambia unapiga story na mtu vizuri lakini kura akupigii alafu ukitoka nje anakuomba Selfie kama sio yy alikuwepo ndani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mtu yoyote atakae kufanyia rohombaya huyo ni mjumbe.
 
Kwa waliotoa rushwa picha na video zao zipo mahali salama na kamwe hawatapenya

Kama ni hivyo ccm itakuwa haina wagombea. Badala ya PCCB kufanya kazi yake, mnasubiri kamati ya wanasiasa kukata watu kwa kisingizio cha rushwa! Mtoa rushwa anatakiwa awe jela na sio kuweka picha yake kwenye ipad ya Polepole.
 
Kama ni hivyo ccm itakuwa haina wagombea. Badala ya PCCB kufanya kazi yake, mnasubiri kamati ya wanasiasa kukata watu kwa kisingizio cha rushwa! Mtoa rushwa anatakiwa awe jela na sio kuweka picha yake kwenye ipad ya Polepole.
Hivi Rushwa unadhani ni jambo la kimzahamzaha lisilokuwepo katika nchi za wenzetu zilizoendelea kisiasa na kiuchumi?!!!

Unapoongelea RUSHWA YA PESA NA NGONO.. jua kuwa haiko tu kwa baadhi ya wajumbe wa CCM bali hata vyama vya upinzani na huwa SIRI SANA KATI YA MTOA NA MPOKEA...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…