Umaarufu wa "Wajumbe" wa ngazi mbalimbali za maamuzi za CCM waongezeka

Umaarufu wa "Wajumbe" wa ngazi mbalimbali za maamuzi za CCM waongezeka

Hivi Rushwa unadhani ni jambo la kimzahamzaha lisilokuwepo katika nchi za wenzetu zilizoendelea kisiasa na kiuchumi?!!!

Unapoongelea RUSHWA YA PESA NA NGONO.. jua kuwa haiko tu kwa baadhi ya wajumbe wa CCM bali hata vyama vya upinzani na huwa SIRI SANA KATI YA MTOA NA MPOKEA...

Rushwa ni jambo la siri sana sehemu ambayo kuna vita ya kweli ya kupambana na rushwa, na sio hii vita ya rushwa ya kukomoa watu, ili kusaka mtaji wa kisiasa na propaganda mfu. Kwahiyo utetezi wako wa hii rushwa ya wazi ya ccm juzi, ni kuwa hiyo rushwa haiko ccm tu, bali iko hadi upinzani!? Kwa huu utetezi wa kijinga ni bora ungekaa kimya tu.
 
Chambilecho Mwijaku wa KAWE,wajumbe hawataki kuuliza maswali,wewe umeona mchakato gani hakuna maswali😂😂
 
Rushwa ni jambo la siri sana sehemu ambayo kuna vita ya kweli ya kupambana na rushwa, na sio hii vita ya rushwa ya kukomoa watu, ili kusaka mtaji wa kisiasa na propaganda mfu. Kwahiyo utetezi wako wa hii rushwa ya wazi ya ccm juzi, ni kuwa hiyo rushwa haiko ccm tu, bali iko hadi upinzani!? Kwa huu utetezi wa kijinga ni bora ungekaa kimya tu.
Hata huko unakowapa sifa ya Kupambana dhidi ya rushwa kwa kiwango bora, bado rushwa haijesha.....
Usiwashambulie baadhi ya wajumbe wa CCM ilihali rushwa ni dhambi...dhambi ya mtoa na MPOKEA......

Japo reform nzuri waliyonayo PCCB lakini BADO Kuna maeneo WANATETEREKA....yote kwa kuwa RUSHWA huhusisha HULKA YA TAMAA ya baadhi yetu wanadamu........
 
Leo nasikia Lijualikali kaonekana ana fanyia service boda boda zake ili arudie kazi yake anayo iweza
Sawa tu Kwani kuna anayesema tumeletwa duniani ili tufanikishe kwenda BUNGENI?!!
 
Chaguzi nyingi za ccm ni magulio ya kura hivyo mwenye pesa nyingi ndio mshindi ndio maana akina kishimba ndio wabunge na wanavyo wasilisha hoja zao kila mmoja anafahamu,pole chama changu ccm.
 
Chaguzi nyingi za ccm ni magulio ya kura hivyo mwenye pesa nyingi ndio mshindi ndio maana akina kishimba ndio wabunge na wanavyo wasilisha hoja zao kila mmoja anafahamu,pole chama changu ccm.
kuna waliopigwa chini na fedha zao
 
Ogopa sana kukutana na Wajumbe, hizo kauli zinazotembea kuhusu wajumbe ni za kweli kabisaa.!
IMG_20200725_191832_458.jpeg
IMG-20200714-WA0003.jpeg
 
Hata huko unakowapa sifa ya Kupambana dhidi ya rushwa kwa kiwango bora, bado rushwa haijesha.....
Usiwashambulie baadhi ya wajumbe wa CCM ilihali rushwa ni dhambi...dhambi ya mtoa na MPOKEA......

Japo reform nzuri waliyonayo PCCB lakini BADO Kuna maeneo WANATETEREKA....yote kwa kuwa RUSHWA huhusisha HULKA YA TAMAA ya baadhi yetu wanadamu........

Alizungumzia kumalizika kwa rushwa, nazungumzia chama kilichokuwa kinahadaa wananchi kuwa , serikali ya chama chao imedhibiti rushwa. Sikutegemea kilichokuwa kinahubiriwa na chama hicho hicho, kifanyike kwa uwazi na kwa kiwango kikubwa hivyo. Kibaya zaidi hao PCCB wakawa ni sehemu ya hiyo rushwa. Huyo jingalao anasema kamati ya ccm ina picha za watoa rushwa, badala ya watu hao kupelekwa mahakamani!

Ni kweli kuna reform hapo PCCB, lakini zaidi ya kuweka mwanajeshi anayetembea na sare za jeshi, hakuna lolote kubwa la maana unaloweza kusema ni reform. Nadhani uliona juzi rais alipokuwa anawaumbua hao takukuru na jengo lao, na kuwaambia kuwa wasijipendekeze kwake maana haridhishwi na utendaji wao.

Kwa taarifa yako kura hizi za maoni za ccm, zimewafanya PCCB kuwa sehemu ya rushwa ndani ya nchi hii. Kama kweli kulikuwa na vita ya rushwa nchi hii na sio siasa chafu, leo hii kungekuwa na wanaccm sio chini ya 500 mahakamani, na kwa uchache sana 100 wangefungwa. Kwahiyo iwapo ccm watabaka tena box la kura, tutakuwa na bunge lililopatikana kutokana na kutoa rushwa.
 
Daaah Mjombangu Kalungele Mpote.....

Mkuu Sawima umemuomba ruhusa kupost hii picha?!!
 
Back
Top Bottom