Umaarufu wa "Wajumbe" wa ngazi mbalimbali za maamuzi za CCM waongezeka

Umaarufu wa "Wajumbe" wa ngazi mbalimbali za maamuzi za CCM waongezeka

wajinga waliohamia ccm ili kujipatia vyeo wamesaidia kuwapa umaarufu wajumbe...
 
Katika mchakato wa uchaguzi wa awali ndani ya CCM unaoendelea maeneo mbalimbali pameibuka msemo maarufu kuhusu wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi katika ngazi mbalimbali za kimaamuzi ndani ya CCM.

Je, wajumbe ni kina nani haswa?

Je,roho zao ndivyo zilivyo kama wanavyosemea?

Weka neno moja tu kuhusu wajumbe

Zifahamu Lugha na kauli za Wajumbe

"tupo pamoja" "tupo nyuma yako" "unakubalika sana" "umeeleweka sana" "sifa zako zilitangulia kabla yako hata huna sababu ya kuongea nasi" "wewe ni jembe", "wapinzani wako wanataka kupima kina cha maji kwa miguu miwili", "mzee shona suti za ubunge kabisa maana njia nyeupe kabisa", "Wee mtu wetu sana tena wa nyumbani kabisaa", "mzawa"... "marehemu Babaako tumeishi nae vizuri sana kipindi yupo hai"..."wee ndio chagua letu", "Wewe ni mtu wa watu".. "Huna makuu".. "Usihofu".. "Tunasimama naww",.. "wewe ndo mtu wetu hatutaki mwingine.."
 
Tukiacha majungu umbeya na chuki binafsi, mbunge anapomaliza muda wake bungeni anapewa zaidi ya mil 200, lakini ukiachia mbali mshahara waliokuwa akipewa, kwa fursa zilizopo ifakara za kilimo na nyinginezo, haiingii akilini Lijua likali eti tu sabbu amerudi Ccm basi aende akaendeshe boda boda a angebaki Chadema hata asingechaguliwa angekuwa shujaa.
Leo nasikia Lijualikali kaonekana ana fanyia service boda boda zake ili arudie kazi yake anayo iweza
 
Back
Top Bottom