TANZANIAN NINJA
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 456
- 534
umachinga unahusika na ufanyaji biashara ndogondogo zikihusisha uzaji wa bidhaa za viwandani hasa kutoka mataifa ya mbele.
biashara hii miaka mingi imekuwa inaendeshwa kiholela bila kuzingatia uzalendo na athari za kiuchumi.
Umachinga unazorotesha uchumi wa nchi, machinga ni mawakala wa kukuza soko la bidhaa za nje ya nchi kuliko soko la bidhaa zinazotengenezwa ndani ya nchi.
wamachinga wengi ni watu wavivu waliokosa ubunifu, wengi wa machinga ni vijana waliokataa shule na waliokimbia jembe kijijini.
kwabahati mbaya zaidi machinga ni mtaji kwa wanasiasa kwenye kapeni za uchaguzi.
Haya ni maoni yangu, matusi na povu ruksa.
biashara hii miaka mingi imekuwa inaendeshwa kiholela bila kuzingatia uzalendo na athari za kiuchumi.
Umachinga unazorotesha uchumi wa nchi, machinga ni mawakala wa kukuza soko la bidhaa za nje ya nchi kuliko soko la bidhaa zinazotengenezwa ndani ya nchi.
wamachinga wengi ni watu wavivu waliokosa ubunifu, wengi wa machinga ni vijana waliokataa shule na waliokimbia jembe kijijini.
kwabahati mbaya zaidi machinga ni mtaji kwa wanasiasa kwenye kapeni za uchaguzi.
Haya ni maoni yangu, matusi na povu ruksa.