Umafia katika Usajili: Simba SC yamsainisha Niyonzima kwa Mil.100 huku Yanga FC ikipigwa butwaa

Mbona unapuyanga tuu.. Hueleweki, tuko katika uwanja mara unaruka hadi FIFA, na kama unaleta habari za Rage hapa, Unakumbuka Katibu Mkuu wa Cecafa Nicolas Musonye, aliwaambia nini nyinyi Yanga? Yaonyesha unajiongelea tu. Achilia mbali soka la ridhaa enzi za akina Zamonyoni Hivi hujui kuwa Kaseja alitumika sana Simba halafu mkamnunua kwa bei Yanga, sasa la ajabu lipi Niyonzima kwenye Simba..

This is Simba bhana

 
What is so special about Simba kiasi kila saa ubane pua this is thimba bwana!

Musonye hawezi kuwajua wanayanga kiasi ambacho Rage anajua Simba ni mbumbumbu.
 
What is so special about Simba kiasi kila saa ubane pua this is thimba bwana!

Musonye hawezi kuwajua wanayanga kiasi ambacho Rage anajua Simba ni mbumbumbu.
Kujibu hoja huwezi ila mipasho ndo uwezayo! Hapa hakuna taarabu nakuliza tena, Je uwanja ulijengwa? au mmeanza na kufuga Samaki kwanza?

Huwezi kujibu peleka kwenu ujuha wako huko

... This is Simba wewe.!
.. Slogan
 
Kujibu hoja huwezi ila mipasho ndo uwezayo! Hapa hakuna taarabu nakuliza tena, Je uwanja ulijengwa? au mmeanza na kufuga Samaki kwanza

Huwezi kujibu peleka kwenu ujuha wako huko

... This is Simba wewe.!
Mbona unapaaaanic...povu jiiiingi! Hiyo kwenye bold ndio taarabu na mipasho. Si ajabu wakati unaandika kidole cha mwisho kilikuwa juu na kimepakwa rangi ya kucha.

Aliyetuambia Wanayanga kuhusu uwanja hakusema ataujenga msimu huu zaidi ya kusema kuwa tunapaswa kuwa na uwanja. Nyie manyumbu mlidanganywa kwamba kazi imeanza, mkabeba makwanja na majembe kwenda kupalilia ardhi huku mbegu ya viazi bado iko Gairo. Mkaahidiwa na ubingwa pia. Kwa mlivyo wasahaulifu mkasahau kuwa ubingwa mwenyewe nani.

By the way, ujuha ni hali ya kufikiri kuwa unaweza kupigwa 2-1 uwanjani halafu ukaenda kusawazisha mezani.
 
Sasa mbona unaeleza tofauti na alivyosema Manji mwaka 2012..?! ilhali wewe ni ShikaShika Miguu Manji FC tu. Yaani Kama vile Bakharesa aseme kuwa Azam FC, tunapaswa kuwa na uwanja lakini si mwaka huu ndo maneno gani? Yaingia akilini kweli? Ni ahadi au miadi? Habari za kujenga uwanja Manji na kuifanya kuwa Klabu Bora Afrika, ziko tele baadhi ya Blog na sasa amesepa, halafu unasema uongo hapa..!

Naona nikuache tu uendelee na na Ujuha wako. Kwa vile Nicolas Musonye hakukosea kusema vile

 
Na hili la kupigwa katerero na kukimbilia mezani, sio ujuha?
 
Na hili la kupigwa katerero na kukimbilia mezani, sio ujuha?
Sasa kama Unashindwa kujenga hoja na kukimbilia matusi, bado hujajishtukia tu kuwa umegeuka kituko kwenye hii thread? Na wala unisumbui kwa vile fuse yako moja ninayo huku.

This is Simba... Slogan!
 
Mi huwaga sielewi ama!!? Mbona ulaya dau wanapewa timu inayo mmliki mchezaji wakati huku dau anapewa mchezaji??
mkuu hela inapewa timu yake kama mchezaji bado yupo ndani ya mkataba kama mchezaji yupo Huru mzigo wote wakwake,,....hapa bongo wachezaji wanaondoka kwene timu zao wakimaliza Mikataba yao wanakua huru ndo maana wanachukua hela wao
 
Akiwa Yanga anaitwa gharasha akiwa simba anaitwa Fundi hii ndo bongo
 
Mi huwaga sielewi ama!!? Mbona ulaya dau wanapewa timu inayo mmliki mchezaji wakati huku dau anapewa mchezaji??
Ulaya Mchezaji anakua bado ana mkataba na timu, mfano kwa sasa still CR7 ana mkataba na Real madrid lakini Manchester wanamtaka hivyo hivyo hata kwa kuvunja mkataba, hapo lazimawavunje kibubu tu.

Lakini huku tunasubiri mpaka mchezaji awe huru ndio anasajiliwa. Hapo mnapata tu na mchezaji lakini sio timu
 
Ndio maana hatutaendelea katika mchezo wa soka.
Why hatutaendelea [emoji76]

 
Kichuuuuyaaaa !!!!!KudadadadadAaaa.HT simba wawe 7 Uwanjani
 
Sasa kama Unashindwa kujenga hoja na kukimbilia matusi, bado hujajishtukia tu kuwa umegeuka kituko kwenye hii thread? Na wala unisumbui kwa vile fuse yako moja ninayo huku.

This is Simba... Slogan!
Matusi yako wapi? Hapa tuko mimi na wewe, mbona hujiamini wewe? Hoja ni kuniita juha?

Kataa kama hamkukung'utwa 2-1 mkakimbilia kushitaki. Unashilikilia fuse zangu huku za kwako ziliungua kitambo. Next time andika HUNISUMBUI sio unisumbui.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…