David M Mrope
Senior Member
- Jul 13, 2021
- 115
- 74
🌺Hivi ulishawahi kuwaza kama inawezekana kwa muuza genge la nyanya, vitunguu, kabichi n.k akapata mafanikio zaidi ya mwenye duka hata la nguo au lingine lenye hadhi kubwa?
🌺Hapa ishu ni umakini. Katika kile kidogo ulichonacho kama utajitahidi kukipa umakini mkubwa unaweza ukawazidi wengi wenye kitu kikubwa.
🌺Unavyojitahidi kuwa mbunifu wa vitu tofauti tofauti basi hakikisha katika huo huo ubunifu unakuwa makini na kazi yako.
NB.
👉Ubunifu ni wa mda mchache, ila umakini ni wakila siku.
DAVID M MROPE
SUA
🌺Hapa ishu ni umakini. Katika kile kidogo ulichonacho kama utajitahidi kukipa umakini mkubwa unaweza ukawazidi wengi wenye kitu kikubwa.
🌺Unavyojitahidi kuwa mbunifu wa vitu tofauti tofauti basi hakikisha katika huo huo ubunifu unakuwa makini na kazi yako.
NB.
👉Ubunifu ni wa mda mchache, ila umakini ni wakila siku.
DAVID M MROPE
SUA