Habari wadau wangu wa nguvu mlioko humu. Leo naomba kuwajulisha siri hii chungu kumeza!
SINA MAANA Kwamba Masikini wote ni Malaya HAPANA!
Hapa namaanisha Umalaya na Umasikini ni mapacha wanaopendana! (kulwa na doto) ikumbukwe kwamba siyo kila Doto atatokana na mapacha, Lakini waliowengi ni mapacha!
Tangu kizazi cha Ruthu chimbuko la maangamizi ni lile lile la Umalaya!
hivyo Umalaya ni roho ya kurithi Umasikini. Tendo la ngono msingi wake mkuu ni Kuzaa na starehe.
Ukitaka kuwa tajiri wa Mali kamwe Usikubali kushindana na sehemu za Siri. Hakuna aliyewahi kushinda hiyo vita!
Sehemu za siri ni Lango lenye mtego wa Utajiri na Umasikini.
Hakuna tajiri anaependa ngono! Matajiri wengi ngono kwao starehe binafsi kama kula popcorn.
Ngono inatakiwa uifanye kwa kupata mtoto au KUJIFURAHISHA. Ninaposema kujifurahisha namaanisha kujiwazia mwenyewe kuliko huyo unayefanya nae.
Ukiko... wewe inatosha siyo lazima afike kileleni kwa juhudi zako, akitaka kufika basi ajipeleke mwenyewe.
Ingekuwa ni lazima kumfikisha yeye kwanza ingeumbwa hivyo kwamba shahawa sizitoke hadi yeye afike huko!
Hivyo usitumie muda mwingi kuwaza ngono ya kumfurahisha mtu! Unapoteza muda.HUTATOBOA.
Matajiri wengi hawaogopi kuitwa wana vibamia, matajiri wengi hawaogopi kugongewa. Kikubwa wanachoogopa matajiri ni kufilisika!
Akili ya kuwaza utajiri na ile ya kuwaza ngono ni sawa na chaji zinazokinzana (unlike charges) ikiwa na maana UNACHOKIWAZA ZAIDI ndicho hutawala na kumfukuza mwengine atoke.
Yaani namaanisha ukiwaza sana utajiri husimamishi hovyo!
Ukianza kuwaza mipango ya utajili Makalio ya wanawake utayaona kama makalio ya kondoo. Kwamba kondoo aliyenona huliwa siku maalum ya sikukuu. Na si kila siku!
Ndugu zangu; utajiri hauji kizembe pasipo kuzingatia kanuni hiyo!
Ukiwaza ngono muda wote unakuwa kwenye nafasi kubwa ya Umasikini, magonjwa na hata kifo.
Kila siku utaishia kupata hela ya kula tu ili ushibe ukafanye tena ngono vizuri.
Mpeleke mwanamke kilele cha mafanikio. Hivyo Vilele vyao wacha wajipeleke wenyewe.
Utongoze wewe, uhonge wewe, kitandani wewe, shahawa za protini utoe wewe halafu na kileleni umfikishe wewe ili umlipe Hii si ni zaidi ya kuchanganyikiwa ndugu.
Tajiri hawazi ujinga huo kwanza muda huo hana. Ngoja nikumegee siri hii ifuatayo!
"UKIWA TAJIRI MWANAMKE MWILI WAKE HUWA UNAJIANDAA WENYEWE!"
Huwa wanakuwa na nyege nyingi sana wala hakuna haja ya kuwandaa tena. Tafta pesa utanishukuru.
Kazi ya tajiri ni kupiga tako mbili chali ili kuwahi majukumu mengine.
HAKUNA ALIYEFANIKIWA KWA KUSHINDANA NA SEHEMU ALIPOTOKEA!
Mwenye masikio na asikie!
SINA MAANA Kwamba Masikini wote ni Malaya HAPANA!
Hapa namaanisha Umalaya na Umasikini ni mapacha wanaopendana! (kulwa na doto) ikumbukwe kwamba siyo kila Doto atatokana na mapacha, Lakini waliowengi ni mapacha!
Tangu kizazi cha Ruthu chimbuko la maangamizi ni lile lile la Umalaya!
hivyo Umalaya ni roho ya kurithi Umasikini. Tendo la ngono msingi wake mkuu ni Kuzaa na starehe.
Ukitaka kuwa tajiri wa Mali kamwe Usikubali kushindana na sehemu za Siri. Hakuna aliyewahi kushinda hiyo vita!
Sehemu za siri ni Lango lenye mtego wa Utajiri na Umasikini.
Hakuna tajiri anaependa ngono! Matajiri wengi ngono kwao starehe binafsi kama kula popcorn.
Ngono inatakiwa uifanye kwa kupata mtoto au KUJIFURAHISHA. Ninaposema kujifurahisha namaanisha kujiwazia mwenyewe kuliko huyo unayefanya nae.
Ukiko... wewe inatosha siyo lazima afike kileleni kwa juhudi zako, akitaka kufika basi ajipeleke mwenyewe.
Ingekuwa ni lazima kumfikisha yeye kwanza ingeumbwa hivyo kwamba shahawa sizitoke hadi yeye afike huko!
Hivyo usitumie muda mwingi kuwaza ngono ya kumfurahisha mtu! Unapoteza muda.HUTATOBOA.
Matajiri wengi hawaogopi kuitwa wana vibamia, matajiri wengi hawaogopi kugongewa. Kikubwa wanachoogopa matajiri ni kufilisika!
Akili ya kuwaza utajiri na ile ya kuwaza ngono ni sawa na chaji zinazokinzana (unlike charges) ikiwa na maana UNACHOKIWAZA ZAIDI ndicho hutawala na kumfukuza mwengine atoke.
Yaani namaanisha ukiwaza sana utajiri husimamishi hovyo!
Ukianza kuwaza mipango ya utajili Makalio ya wanawake utayaona kama makalio ya kondoo. Kwamba kondoo aliyenona huliwa siku maalum ya sikukuu. Na si kila siku!
Ndugu zangu; utajiri hauji kizembe pasipo kuzingatia kanuni hiyo!
Ukiwaza ngono muda wote unakuwa kwenye nafasi kubwa ya Umasikini, magonjwa na hata kifo.
Kila siku utaishia kupata hela ya kula tu ili ushibe ukafanye tena ngono vizuri.
Mpeleke mwanamke kilele cha mafanikio. Hivyo Vilele vyao wacha wajipeleke wenyewe.
Utongoze wewe, uhonge wewe, kitandani wewe, shahawa za protini utoe wewe halafu na kileleni umfikishe wewe ili umlipe Hii si ni zaidi ya kuchanganyikiwa ndugu.
Tajiri hawazi ujinga huo kwanza muda huo hana. Ngoja nikumegee siri hii ifuatayo!
"UKIWA TAJIRI MWANAMKE MWILI WAKE HUWA UNAJIANDAA WENYEWE!"
Huwa wanakuwa na nyege nyingi sana wala hakuna haja ya kuwandaa tena. Tafta pesa utanishukuru.
Kazi ya tajiri ni kupiga tako mbili chali ili kuwahi majukumu mengine.
HAKUNA ALIYEFANIKIWA KWA KUSHINDANA NA SEHEMU ALIPOTOKEA!
Mwenye masikio na asikie!