Umalaya na Umasikini ni kulwa na doto

Umalaya na Umasikini ni kulwa na doto

Sijui ila hamna kitu kinauma kama kuongewa kisa hauna hela, inauma vibaya sana. Atleast ukiwana hela hata ukigongewa utaumia ila hela zita kufariji kidogo, ila huna kitu halafu umegongewa hayo maumivu yake haya helekezeki plus nyodo na dharau za mwanamke utapewa kila jina bovu.
Binafs nikigongewa na alienizid hata siumii maana najifunza kitu afu inanikomaza sana.

Maana akili yangu inajua pesa ndo kila kitu.

Kugongewa na uliemzidi inaumiza San KICHWA, unajiuliza unakwama wapi upati jibu.
 
Binafs nikigongewa na alienizid hata siumii maana najifunza kitu afu inanikomaza sana.

Maana akili yangu inajua pesa ndo kila kitu.

Kugongewa na uliemzidi inaumiza San KICHWA, unajiuliza unakwama wapi upati jibu.
Hujapitia hiyo hali ndio maana huwezi jua nina wanangu wawili walifanyiwa walikuwa wanyonge kabisa.
 
Hujapitia hiyo hali ndio maana huwezi jua nina wanangu wawili walifanyiwa walikuwa wanyonge kabisa.
Kimahusiano tangu nakua nmeanzia uko,
Hata siumii maana najua pesa ndo inatawala Dunia kwa Sasa.

Bila pesa utateseka Sana ktk Dunia hi isiyokua na huruma[emoji4]
 
Piga pachuchi kwa starehe hasa unatakiwa kupiga tako zisizidi tano kisha unawaza mambo mengine ya maana ya kutafuta hela, hakika hili ni somo sana kwangu, hizi mbususu zina cost sana maisha yetu japo ni tamu jamani.😂😂😂
Mabaharia walikubaliana hakuna kuzidisha dakika 20 bed full stop.
Njoo karne ya 21 uone Mwanaume anavyoporwa utawala na mwanamke na kugeuzwa mtumwa. Anaetaka kujua nyoka alichomwambia Eva aniulize nimwambie!!
 
Mabaharia walikubaliana hakuna kuzidisha dakika 20 bed full stop.
Njoo karne ya 21 uone Mwanaume anavyoporwa utawala na mwanamke na kugeuzwa mtumwa. Anaetaka kujua nyoka alichomwambia Eva aniulize nimwambie!!
Noma
 
Back
Top Bottom