LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Kuna wakati natamani kuchepuka lakini nikishawawekaga mademu sawa tu siku ya tukio mimi ndio nakuwa na sababu na kuingia mitini.
Umalaya sio pesa wala mali bali ni kipaji tu kama vipaji vingine hata hao wanaokwambia uache umalaya muda mwingine wanatamani pia na wao kukubalika na mademu
Kiujumla tu kuna watu wamelala na wanawake wengi ambao hawezi kuwakumbuka mpaka awaone,
Yaani watu wa aina hii hata akifumaniwa yeye ndo huombwa msamaha na mfumaniaji, nimeshuhudia mara kadhaa matukio kama haya,
Kuna mtu ana uwezo wa kupanga mademu kumi ndani ya siku moja na wote wakatokea geto
Ila wengine nauli zinaliwa na anaambulia manyoya
Umalaya ni kipaji.
Umalaya sio pesa wala mali bali ni kipaji tu kama vipaji vingine hata hao wanaokwambia uache umalaya muda mwingine wanatamani pia na wao kukubalika na mademu
Kiujumla tu kuna watu wamelala na wanawake wengi ambao hawezi kuwakumbuka mpaka awaone,
Yaani watu wa aina hii hata akifumaniwa yeye ndo huombwa msamaha na mfumaniaji, nimeshuhudia mara kadhaa matukio kama haya,
Kuna mtu ana uwezo wa kupanga mademu kumi ndani ya siku moja na wote wakatokea geto
Ila wengine nauli zinaliwa na anaambulia manyoya
Umalaya ni kipaji.