Umalaya ni kipaji kama vipaji vingine tu ambavyo si kila mtu anavyo

Umalaya ni kipaji kama vipaji vingine tu ambavyo si kila mtu anavyo

Maamaee Nyonzo bin mvule Israel FOREVER whether you like it or not.

Nyoooonzooooo

20240617_104327.jpg
 
Kipaji na tamaa. Wengi wanakua na tabia za umalaya kwa tamaa, kila atakachoona anakitaka, mwisho wa siku anajikuta kawapanga msululu bila kutarajia.
 
Kuna wakati natamani kuchepuka lakini nikishawawekaga mademu sawa tu siku ya tukio mimi ndio nakuwa na sababu na kuingia mitini.

Umalaya sio pesa wala mali bali ni kipaji tu kama vipaji vingine hata hao wanaokwambia uache umalaya muda mwingine wanatamani pia na wao kukubalika na mademu

Kiujumla tu kuna watu wamelala na wanawake wengi ambao hawezi kuwakumbuka mpaka awaone,

Yaani watu wa aina hii hata akifumaniwa yeye ndo huombwa msamaha na mfumaniaji, nimeshuhudia mara kadhaa matukio kama haya,

Kuna mtu ana uwezo wa kupanga mademu kumi ndani ya siku moja na wote wakatokea geto

Ila wengine nauli zinaliwa na anaambulia manyoya

Umalaya ni kipaji.
Sio kipaji ni spirit inayowa drive wafanye hivyo.
 
Back
Top Bottom