Umalaya Shinyanga ni hatari

Watu mnachakata hadi mbususu za kisukuma. Hio zambi itawatafuna
 
Hbr km hii bila picha hainogi hata kidogo.
 
Hahahaha ! Mtaaa wa fisi noma sana pale ,siku hizi panaitwa Mtaaa wa Kumekucha.
 
Fuata kilichokupeleka Shinyanga. Ya huko waachie wenyewe wanajuana. Acha kupoteza muda wako kufuatilia yasiyokuhusu.

Hayo ndio maisha waliojichagulia.
 
Ila wakuu Mimi kununua Malaya nilishashindwa yaani kama nakaa siku kadhaa mjini natafuta demu wa kutongoza naweka maximum siku 4 awe amepatikana kinyume na hapo nitarudi bila bila..

Mimi sio Babu Hadi ninunue Malaya.
 
Ila wakuu Mimi kununua Malaya nilishashindwa yaani kama nakaa siku kadhaa mjini natafuta demu wa kutongoza naweka maximum siku 4 awe amepatikana kinyume na hapo nitarudi bila bila..

Mimi sio Babu Hadi ninunue Malaya.
Hata hao unao watongoza Ni Malaya tu maana kabla ya tendo atakula chips, beer mbili, soda nyingi na vocha halafu utamuachia ya usafiri. In short umelipia huduma Kama wanavyolipia wengine kule Mwananyamala na Sudan Temeke.
 
Mkuu acha uongooo, niko kakola hapa marumba nakunywa pepsi, sijawahi kuona unachosema nina miezi nane hapa keko town, leta location nikaone unayosema...au maeneo ya half london, anu kilo time au kwa mama ray hahahha
Acha ulevi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…