Umalaya Shinyanga ni hatari

Umalaya Shinyanga ni hatari

ila ukipata UKIMWI utahangaika nao peke yako hadi kifo.

Jihadhari bado ukimwi ni ugonjwa hatari zaidi kuliko.

Adhabu ya kumeza ARV kila siku hadi ufe sio mchezo.

Ugonjwa wenyewe unatesa bado ARV nazo zinatesa!! mateso juu ya mateso kisa ngono ya dk.3/5/10/15.

wacha kuchezea uhai wako, tunza afya yako, jilinde.
Tuishi humu,risk taker
 
Ni siku ya 4 leo nipo mjini Shinyanga kikazi, badi leo mwenyeji wangu akaniambia atanipitisha maeneo ya madada poa wa Shinyanga ili kujionea vijana wanavyo angamia na ngono zembe ndipo tukatembelea eneo linaitwa RELINI.

Hapo bana vijana wale wanaoendesha baiskeli au almaarufu kama Boda kwa hapa Shinyanga ndipo wanapojiponea kwa nunua malaya kwa bei ya Sh 500 hadi 2,500 hali ni mbaya mnooo na wanakwenda kukamuana katika mapori.
Hakikisha tu unatembea na Boksi lako la Condom kijana. Kama bei inaanzia 500–2500 inaonyesha kabisa hao Malaya wa huko hawawezi hata kuafford kununua Condom. Otherwise wawe na Condom za Msaada MSD.
 
Hakikisha tu unatembea na Boksi lako la Condom kijana. Kama bei inaanzia 500–2500 inaonyesha kabisa hao Malaya wa huko hawawezi hata kuafford kununua Condom. Otherwise wawe na Condom za Msaada MSD.
Concern yangu na mm ni bei zao, mm sio mnunuaji ila ilitokea tu accidentally tukiwa tuna enda ktk issue nyingine bac tuka pita iyo short cut ndipo tuka kutana na hayo matukio mapema saa around saa 1 usiku tu
 
Umenitamanisha sana. Huwa nikienda kwetu Ukara, mbususu ni shilingi mia mbili tu(200/=) hii ni kwa zile zenye low quality. Mbususu zilizoenda shule ni shilingi mia tano tu (500/=). Huwa natenga shilingi elfu 20, nakula mbususu mfululizo hadi zinanikinai, alafu naanza kuwanunulia rafiki zangu: Maghafu, Majura, Mahendeka, na Mahatane. Majura huwa ni mchovu, anakulaga mbususu sita tu kwa siku. Mtaalam Mapigano nakula kama napigana.
 
Ni siku ya 4 leo nipo mjini Shinyanga kikazi, badi leo mwenyeji wangu akaniambia atanipitisha maeneo ya madada poa wa Shinyanga ili kujionea vijana wanavyo angamia na ngono zembe ndipo tukatembelea eneo linaitwa RELINI.

Hapo bana vijana wale wanaoendesha baiskeli au almaarufu kama Boda kwa hapa Shinyanga ndipo wanapojiponea kwa nunua malaya kwa bei ya Sh 500 hadi 2,500 hali ni mbaya mnooo na wanakwenda kukamuana katika mapori.
mzee na wewe haukupewa buyu la asali . eb kuwa mkweli basi
 
Back
Top Bottom