ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo Sabasaba mlango wa nyuma hapa kama unatokea square, opposite na Tawi la chuo cha NIT.Waswanu si wanajifanya matawi pale bei ndefuuu...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwenyeji badala ya kukuonesha makanisa anakuonesha machimbo ya ma***ya
Wananunua condom 1000/= ya kwenda kulala na Mwanamke wa 500/=? [emoji1787]Ni siku ya 4 leo nipo mjini Shinyanga kikazi, badi leo mwenyeji wangu akaniambia atanipitisha maeneo ya madada poa wa Shinyanga ili kujionea vijana wanavyo angamia na ngono zembe ndipo tukatembelea eneo linaitwa RELINI.
Hapo bana vijana wale wanaoendesha baiskeli au almaarufu kama Boda kwa hapa Shinyanga ndipo wanapojiponea kwa nunua malaya kwa bei ya Sh 500 hadi 2,500 hali ni mbaya mnooo na wanakwenda kukamuana katika mapori.
Ulifuata tu kuangalia vijana wanavyoangamia, au basi tuishie hapo!Ni siku ya 4 leo nipo mjini Shinyanga kikazi, badi leo mwenyeji wangu akaniambia atanipitisha maeneo ya madada poa wa Shinyanga ili kujionea vijana wanavyo angamia na ngono zembe ndipo tukatembelea eneo linaitwa RELINI.
Hapo bana vijana wale wanaoendesha baiskeli au almaarufu kama Boda kwa hapa Shinyanga ndipo wanapojiponea kwa nunua malaya kwa bei ya Sh 500 hadi 2,500 hali ni mbaya mnooo na wanakwenda kukamuana katika mapori.
Tupe location ya mwanza yote tuu
Ebu nyoosha maelezo mkuu lumambo ndo wap? Au lamidatiTreni ikija mechi inagairishwa. Nliwahi fika hapo nikiwa advansi old Shinyanga. Tumehudumiwa Sana hapo bakurutu (lumambo). Pia hata lyamidati nilikuwa napewa vitu vimeenda shule. WASUKUMA watani zangu wabarikiwe Sana Walahi
Shinyanga center kubwa hapo inaitwa ngokolo. Ulizia mtaa unaitwa bakulutuEbu nyoosha maelezo mkuu lumambo ndo wap? Au lamidati
Kondomu ni bureWananunua condom 1000/= ya kwenda kulala na Mwanamke wa 500/=? [emoji1787]
Hadii kondoa tenaKondoa KUMEKUCHA...
Kuna sehemu sasa hv isiyokua na hayo mambo? Si afadhari hata hao wanaojiuza mtu unajua kabisa wamekamatwa na shetani, maeneo mengine hakuna Cha wanao jioanga usiku wala wa mitaani kawaida majumbani, wote wako sawa tu, ulishayembelea Manyara wewe? Karatu na Mbulu?Ni siku ya 4 leo nipo mjini Shinyanga kikazi, badi leo mwenyeji wangu akaniambia atanipitisha maeneo ya madada poa wa Shinyanga ili kujionea vijana wanavyo angamia na ngono zembe ndipo tukatembelea eneo linaitwa RELINI.
Hapo bana vijana wale wanaoendesha baiskeli au almaarufu kama Boda kwa hapa Shinyanga ndipo wanapojiponea kwa nunua malaya kwa bei ya Sh 500 hadi 2,500 hali ni mbaya mnooo na wanakwenda kukamuana katika mapori.
WeupeeeHadii kondoa tena
Huyo mwenyeji wako hana kazi ya kufanya hapo mjini Shinyanga? Eti ngoja nikupeleke kqa madada poa wa Shinyanga. Bure kabisaNi siku ya 4 leo nipo mjini Shinyanga kikazi, badi leo mwenyeji wangu akaniambia atanipitisha maeneo ya madada poa wa Shinyanga ili kujionea vijana wanavyo angamia na ngono zembe ndipo tukatembelea eneo linaitwa RELINI.
Hapo bana vijana wale wanaoendesha baiskeli au almaarufu kama Boda kwa hapa Shinyanga ndipo wanapojiponea kwa nunua malaya kwa bei ya Sh 500 hadi 2,500 hali ni mbaya mnooo na wanakwenda kukamuana katika mapori.
Wanawake wanaojiuza huwa wako kama vichaa mkorogo umedunda halafu wako Wa.....fu sanaNini Shy, we nenda Kakola ukajionee papa inavyonadiwa hadharani.