Umalaya

Umalaya

Kamueni bana!! hii haikuanza leo mbona Sodoma ilikuwepo bana!!! mtu chake ati, mtaji wa masikini nguvu zake wanangu, ila kinga muhimu si unajua technologia imepanda, na msiache kulipa kodi .....TRA alla!!!
 
kazi hii inafanyiwa promotion na serikali
kwani wauza joto hawawezikukomeshwa?
mimi nadhani kila mwenye umri wa kuoa/kuolewa akamate chombo!!!!
unakuta jitu kubwa halijaolewa unadhani hizo stim anazipeleka wapi
sex is nature bwana.........
 
Back
Top Bottom