Umasikini Afrika. Vijana tuamke tushike madaraka tuingie kwenye siasa

Inauma sana ndugu yangu hivi nchi za wazungu hakuna ubinafsi na ufisadi?
 
Tumejitakia wenyewe, swala ni uongozi. Muulize professor Lumumba wa Kenya atakupa jibu.
 
Tumejitakia wenyewe, swala ni uongozi. Muulize professor Lumumba wa Kenya atakupa jibu.
The problem of Africa is this "the people who have power have no ideas and those who have ideas have no power " PLO Lumumba
 
Mtu mweusi ana matatizo hata ukienda ulaya bado utaona utofauti wa mtu mweusi na mwafrica
 
Bara ambalo lina nchi inayozidiwa na umeme wake yenyewe lakini inaenda kutumia kodi za walala hoi kununua umeme Ethiopia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…