Umasikini ambao upo nchi za Africa ni umaskini bandia na sio umasikini unaotokana na Mazingira au umasikini halisi

Umasikini ambao upo nchi za Africa ni umaskini bandia na sio umasikini unaotokana na Mazingira au umasikini halisi

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Umasikini ambao tunao katika bara la Africa ni umasikini bandia na sio kwamba unapatikana Kutokana na Mazingira.

Katika post hii nitamui-invite ndugu Robert Heriel Mtibeli ambaye aliwahi kuzungumzia hili jambo .

Umasikini - ni hile hali ya mtu kushindwa kukidhi mambo makuu matatu ambayo ni chakula, maradhi na makazi.

Tukianza na chakula -Mpaka leo hii tunaona kuwa bara la Africa linasumbuliwa na tatizo la njaa ambalo linatokana na ukosefu wa chakula - huu ni umasikini wa bandia maana bara la Africa linajitosheleza na lipo na ardhi nzuri inayofaa Kwa kilimo.

Tukija Katika makazi - hapa na penyewe patakuacha midomo wazi kuona mpaka leo watu hawana makazi bora na wengine wakiishi katika nyumba za tope na nyasi

Tukija katika maradhi - hii inajumuisha swala zima la upatikanaji wa maradhi bora ikiwemo huduma bora za Afya mpaka leo Africa idadi ya watu wanaokufa Kwa kukosa maradhi bora ni kubwa .

Hivyo kupamabana na umasikini bandia ni swala gumu maana umaskini wa bandia ni man -made .

Umaskini halisi kupambana nao ni rahisi maana ni swala la kucheza na vipaumbele kipi kianze na kipi kifatie.

Hivyo ikiwa wewe ni masikini na upo Africa jaribu kuangalia Kama huo umasikini ni bandia au halisi.
 
Wanaowaita masikini, wanakuja kwenye nchi zenu kuuchukua utajiri. Wao wanawaletea karatasi eti ni Hela, wanachukua madini, chakula, mafuta na vitu kibao vya thamani.

Mnaitwa masikini wakati mnatengeneza utajiri wao.

Magu alisema sisi ni matajiri siyo masikini.
 
Africa kuna utajiri mwingi sana wa idadi kubwa ya wajinga hasa kwenye sekta ya imani yaani ni migodi inayotembea🤔

Kila sehemu hayo makundi yapo

Dini inawapa watu utajiri the same wengine wanakuwa broke kisa dini

Kazi wengine zinawapa utajiri na wengine zinawapa umaskini

Life is a game of chance nikuangalia njia zako wapi upite utoke.
 
Umasikini wa bara la afrika, viongozi wanahusika pakubwa mnoo, kiongozi anaenda kwenye mkutano na wajumbe 100, wakati mwemyeji tu hana wajumbe hao, nchi zemye uchumi mkubwa hazijabeba wajumbe hao.
Anatoa milioni 700, wakati kuna sehemu maji changamoto, umeme bado, hiyo hela ingefaa kununulia kifaa tiba kimoja na kuwekwa kwenye hospital moja wapo nchini.
Kiongozi wa ngazi ya wilaya kutembelea gari ya milioni 300+, nchi zima viongozi hao wangapi, wakinunuliwa gari za kawaida tu, za miliona 70 mpaka 100, hizo pesa zilizobaki zingepunguza matatizo mangapi.

Ardhi kweli ipo ya kutosha. Lakini kilimo cha sasa sio suala la ardhi tu, bila pembejeo ama zana za kisasa, usitegemee chochote cha maana, from no where unapata wapi zana, serikali haina mpango madhubuti kusaidia hili, hatuna viwanda vya ndani bora, hatuna teknolojia nzuri, hatuna wataalamu wa maana, huwezi kuhesabia kilimo tu kisa una ardhi, unaelima heka 10 ili mradi na anaelima heka 3 kitaalamu kabisa, wa heka 3 anaweza kuvuna zaidi yako.
 
Umasikini ambao tunao katika bara la Africa ni umasikini bandia na sio kwamba unapatikana Kutokana na Mazingira.

Katika post hii nitamui-invite ndugu Robert Heriel Mtibeli ambaye aliwahi kuzungumzia hili jambo .

Umasikini - ni hile hali ya mtu kushindwa kukidhi mambo makuu matatu ambayo ni chakula, maradhi na makazi.

Tukianza na chakula -Mpaka leo hii tunaona kuwa bara la Africa linasumbuliwa na tatizo la njaa ambalo linatokana na ukosefu wa chakula - huu ni umasikini wa bandia maana bara la Africa linajitosheleza na lipo na ardhi nzuri inayofaa Kwa kilimo.

Tukija Katika makazi - hapa na penyewe patakuacha midomo wazi kuona mpaka leo watu hawana makazi bora na wengine wakiishi katika nyumba za tope na nyasi

Tukija katika maradhi - hii inajumuisha swala zima la upatikanaji wa maradhi bora ikiwemo huduma bora za Afya mpaka leo Africa idadi ya watu wanaokufa Kwa kukosa maradhi bora ni kubwa .

Hivyo kupamabana na umasikini bandia ni swala gumu maana umaskini wa bandia ni man -made .

Umaskini halisi kupambana nao ni rahisi maana ni swala la kucheza na vipaumbele kipi kianze na kipi kifatie.

Hivyo ikiwa wewe ni masikini na upo Africa jaribu kuangalia Kama huo umasikini ni bandia au halisi.

Aya ya mwisho Wala vijana hawatakiwi kujiuliza, kwa sababu jibu lipo wazi Mkuu.

Ahsante kwa kunialika Mkuu
 
Kwa ufahamu wangu ni kuwa masikini hajitambui kuwa yeye ni masikini.Na leo mimi nabainisha mizizi ya umasikini kuwa ni dini na elimu.Vyote vime hamasishwa na jamii imevipokea bila kushughulisha akili.Mfano kijana kahitimu form six(PCB) yupo nyumbani anasubiri matokeo.Nyumbani kwao kuna genge la kuuza mbogamboga na matunda,mauzo yamekata na familia haijui chanzo.Msomi wao anajua 'big bang theory' ufumbuzi utapatikana?Yeye na familia wanaamini kwamba akisoma atapata kazi nzuri na hivyo kujikwamua kiuchumi,na je akikosa kazi hiyo itakuwaje?Mchamungu naye anaamini kwamba sisi tu wapitaji tu hapa duniani makao yetu yapo mbinguni na hivyo tusisumbukie ya ulimwengu kwani yanapita.Kwa fikra hizi mbili Mwafrika(Mtanzania) ataendelea?
 
Ndo hao wametengenez umasikini wa bandia.
Ni such thing as umasikini bandia. umasikini ni umasikin tu.
Asad news is viongozi wa mtu mweusi ndio wasababishi wakuu, mtu mweusi ana umasikini wa fikra ni real. Siku ukitoka kichwan kwa mwafrika basi umaskini mwingine utashuka
 
Back
Top Bottom