Umasikini ule ulitutesa sana, Isijirudie tena...

Nilikuwepo! Niliona! Nina mtazamo kidogo tofauti. Ilikuwa ni kipindi cha marekebisho. Tungeanzisha viwanda wakati huo vingedumu. Nakumbuka viwanda vya sabuni na ubunifu mbali mbali wa mavazi. Hata china ilipitia hapo hapo lakini wao walienda nje kujifunza kwa wenzao baadaye wakajifungia ndani wakateseka sana baadaye wakajikwamua.
Yule mzee Rukhsa alipokuja akafungua milango ya kila kitu na mitumba kuingia ilitulemaza hadi leo. Hivi Killtex, Sungura tex, Mutex etc vilienda wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…